Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kwa haraka unaweza kuingia mkenge ukatoa hiyo hela ama ukakodi hilo shamba.. Lakini kuna mengi hapo yanakusubiri
Nguvu kazi
Madawa
Mahitaji mengine
Mahitaji yako ya kila siku
Gharama za kuvuna na kuhifadhi
Gharama za usafiri Mk
Kama unadhani ni laki 5 tuu. [emoji144][emoji144]
Nguvu kazi
Madawa
Mahitaji mengine
Mahitaji yako ya kila siku
Gharama za kuvuna na kuhifadhi
Gharama za usafiri Mk
Kama unadhani ni laki 5 tuu. [emoji144][emoji144]
Laki tano, uanze biashara ya maji?!! Kwanibiashara ya maji ni tank tu ndio linatakiwa? Chanzo cha hayo maji, kiko wapi, kisima? Unacho? Kama ni ya mamlaka ya maji, kibali unacho? Yaani hiyo laki tano, kama hata unatumia majiya mamlaka itaishia kwenye vifaa tu, kabla hata ya hilo tank.