Mambo unayoweza kuyafanya kwa fedha kiasi cha Laki tano

Mambo unayoweza kuyafanya kwa fedha kiasi cha Laki tano

hii ndio point

usikatishe wengine tamaa kwa sababu tu ulifeli ukashindwa

huwezi jua mwenzako atafanyaje na akatoka kupitia hicho unachomkatisha nacho tamaa

sio kwasababu unaona unachofanya kina faida ukafikiri kila mtu atafanya hicho

jiulize unasema kilimo hasara ila watu wanalima na wana ushuhuda nacho kwa kilivyowatoa

unakazanaje kukomalia eti mtu asikudanganye chochote kwenye kilimo,wewe sema ulifeli

then tulia zako, watu hawashuhudiii Failures zao watu tunashuhudia Ushindi Tu ili alie chini ainuke,apate nguvu ya kusimama

sasa kila mtu akisema changamoto anazopitia kwenye kile anafanya unafikir nani atakua "mjasiriamali"

Jifunze kukaaa kimya kwa mambo uliyojaribu kufanya yakakushinda.


Naona umenikomalia kweli..😅 kwahy woote walosema haiwezekan umeshindwa kuwaeleza😅!ngoja nikuweke ignore list!nipunguze jam!
 
hii ndio point

usikatishe wengine tamaa kwa sababu tu ulifeli ukashindwa

huwezi jua mwenzako atafanyaje na akatoka kupitia hicho unachomkatisha nacho tamaa

sio kwasababu unaona unachofanya kina faida ukafikiri kila mtu atafanya hicho

jiulize unasema kilimo hasara ila watu wanalima na wana ushuhuda nacho kwa kilivyowatoa

unakazanaje kukomalia eti mtu asikudanganye chochote kwenye kilimo,wewe sema ulifeli

then tulia zako, watu hawashuhudiii Failures zao watu tunashuhudia Ushindi Tu ili alie chini ainuke,apate nguvu ya kusimama

sasa kila mtu akisema changamoto anazopitia kwenye kile anafanya unafikir nani atakua "mjasiriamali"

Jifunze kukaaa kimya kwa mambo uliyojaribu kufanya yakakushinda.


Naona umenikomalia kweli..😅 kwahy woote walosema haiwezekan umeshindwa kuwaeleza😅!ngoja nikuweke ignore list!nipunguze jam!
 
You have a point mkuu, shida watu kusikia hio laki 5 wanaanza kutengeneza imagination kuhusu production kua lazima iwe modern and large scale agriculture ukiwa mtafutaji lazima uwe tayari kutembea sehemu tofauti tofauti, na Tanzania hii ni kubwa sana katika zunguka zunguka kuna sehemu niliwahi fika kuna watu wa vijijini wana mashamba mengi balaa halafu wametanguliza pesa mbele kupita kiasi kana kwamba hata elfu 30 unaweza kupata hekari moja kwa kukodi,, then managament zote za shambani hata laki 3 haifiki ukiifanya local, I mean hapa utumie samadi, spray ukiwa na pampu hata mwenyewe unaifanya + dawa zake unatumia hata hizi za kuogeshea ng'ombe chupa moja around 5k,, issue za palizi pia ni cheap within hio laki tano inaweza kutosha na kama itaongezeka haiwezi kuzidi laki sita (japo kwa baadhi ya maeneo niliyotembe tembea haiwezi kufika kote huko)

Always utamu wa ngoma zama ndani ucheze, muhimu ni kuanza kidogo kidogo sio kisa Masanja analima ekari 100 za mpunga basi na wewe lazima ulime ekari mia hapana, even knowledge is expensive kama katika hio laki 5 utalima na ukapata hasara nina uhakika kabisa kuna vitu vingi utakua umejifunza kuliko usingefanya utekelezaji wowote.

Sio upande wa kilimo tu kwenye jambo lolote hakuna siku itatoke tu paah ukapata mtaji kwa100% ndio uanze kutekeleza ndoto zako kwa mazingira yetu kibongo bongo ni ngumu sana, siandiki hapa ili kuonekana mjuaji hapana ila nina uhakika kabisa hio laki tano ukiamua kulima Tanzania hii kuna sehemu unapata kabisa eneo (ekari 1 kama kima cha chini) ambayo haizidi hata elfu 50 (around 30-40+)
uko sahihi mkuuu,heri wewe unasema sehemu unakodisha kwa chini ya 50k,ila nakuhakikishia zipo sehemu nyingi zinazokodishwa bure bureeeeeeeee unalima then unamlipa mwenye shamba lake pesa baada ya mavuno shambani.

kuna sehemu watu wanatoa huduma ya kuandaa shamba A-Z wewe mpe chakula tu then mshahara wake utampa baada ya mavuno,itategemea na makubaliano yenu.

tatizo watu wameona laki 5 halafu anataka alime kilimo anacholima masanja (kilimo cha kisasa) jamani wengine hapa ni mashahidi tuna ma bibi na ma babu huko vijijini,wana mashamba wanayalima kwa dawa za asili kabsa na wanavuna vizuri tu,na nguvu kazi ya kilimo si lazima kila kitu ulipe watu "hivi leo ukahamia kijijini ukatengeneza marafiki hautolima"

nina mfano ulio hai kijiji cha baba angu huko wakitaka kulima wanaungana,leo wanalima shamba la flani vijana wote,wanamaliza,kesho wanaingia la mwenzao wanamaliza, palizi hivyo hvyo mpk uvunaji ni hivyo hivyo.

malipo yao ni siku tupo kwenye shmba lako,wewe utatulisha mpk tunamaliza kazi,tukenda shamba la mwingine nae anatulisha mpk tunamaliza (hawana kutumia hela) tatizo watu wapo kutaka kutumia hela kila mahali,asee pesa sio kila kitu hata ukipewa mil.10 uambiwe ulime unaweza isitoshe kama utaamua kutumia hela kila sehemu.

Humu watu wanajua kukatisha watu tamaaa tu,hamna kazi isiyo nafaida na kama ipo basi kazi ya kwanza isiyo na faida ni hiyo unayoifanya sasa hivi (maana yupo mtu hata kwa bakora umwambie aifanye hiyo kazi yako hawezi ifanya)

Tusikatishe watu tamaaa hapa,kama yamekushinda basi yamekushinda wewe na bichwa lako waacheni wengine wafanye msifikir wote wana mabichwa kama yenu mlioshindwa
 
Naona umenikomalia kweli..😅 kwahy woote walosema haiwezekan umeshindwa kuwaeleza😅!ngoja nikuweke ignore list!nipunguze jam!
sijakukomalia huwa mtu akijipendekeza kuni quote huwa lazima nimpe yake,sikukutuma uni quote na sijawafata wengine kwasababu hawaja ni quote wao wameongea yao ya moyoni ila wewe umeona unakereketwa na comment yangu ukaona uni quote kabisa,aseeee mimi ukijipendekeza kwangu lazima nikupe makavu yako.

ukiniweka kwenye ignore list utakua umefanya jambo la maana kuwahi tokea tangu dunia iumbwe au tangu uamue jiunga na JF,usipende jipendekeza quote quote watu usiowajua,acha kisebu sebu bibi wewe.

Upunguze jam ushawahi niona nikiunga foleni kwako? never on earth punguza jam kwa hao wanaokufata fata not me ndio mana hujawahi ona niki quote comment yako kijinga jinga ila wewe na kuwashwa washwa kwako unaona naandika unaamua ni quote acha mazoea we kistuli.
 
uko sahihi mkuuu,heri wewe unasema sehemu unakodisha kwa chini ya 50k,ila nakuhakikishia zipo sehemu nyingi zinazokodishwa bure bureeeeeeeee unalima then unamlipa mwenye shamba lake pesa baada ya mavuno shambani.

kuna sehemu watu wanatoa huduma ya kuandaa shamba A-Z wewe mpe chakula tu then mshahara wake utampa baada ya mavuno,itategemea na makubaliano yenu.

tatizo watu wameona laki 5 halafu anataka alime kilimo anacholima masanja (kilimo cha kisasa) jamani wengine hapa ni mashahidi tuna ma bibi na ma babu huko vijijini,wana mashamba wanayalima kwa dawa za asili kabsa na wanavuna vizuri tu,na nguvu kazi ya kilimo si lazima kila kitu ulipe watu "hivi leo ukahamia kijijini ukatengeneza marafiki hautolima"

nina mfano ulio hai kijiji cha baba angu huko wakitaka kulima wanaungana,leo wanalima shamba la flani vijana wote,wanamaliza,kesho wanaingia la mwenzao wanamaliza, palizi hivyo hvyo mpk uvunaji ni hivyo hivyo.

malipo yao ni siku tupo kwenye shmba lako,wewe utatulisha mpk tunamaliza kazi,tukenda shamba la mwingine nae anatulisha mpk tunamaliza (hawana kutumia hela) tatizo watu wapo kutaka kutumia hela kila mahali,asee pesa sio kila kitu hata ukipewa mil.10 uambiwe ulime unaweza isitoshe kama utaamua kutumia hela kila sehemu.

Humu watu wanajua kukatisha watu tamaaa tu,hamna kazi isiyo nafaida na kama ipo basi kazi ya kwanza isiyo na faida ni hiyo unayoifanya sasa hivi (maana yupo mtu hata kwa bakora umwambie aifanye hiyo kazi yako hawezi ifanya)

Tusikatishe watu tamaaa hapa,kama yamekushinda basi yamekushinda wewe na bichwa lako waacheni wengine wafanye msifikir wote wana mabichwa kama yenu mlioshindwa
Kilimo ni hisabati Kali sana na wengi wanapata namba za viatu...

Mashamba yapo mengi... Nimesha uziwa mashamba hekari 10,000/-, 20,000/- vijijini huko una chukua hekari 20, 40, una hifadhi na una wapa walio kuuzia tumieni zalisheni hapa wana kusaidia kulisafisha zaidi kama walikupa pori...

Una kuja baada ya muda una liwekea mipango mkakati ili lizalishe sasa... Una kuta tuna panda korosho na tuna lima mazao ya muda mfupi vilevile kwa pamoja, utavuna mazao yako ya muda mfupi na korosho za muda mrefu zina endelea kukua...

Kilimo hisabati ambazo huwezi kuambiwa njia iliyo tumika wewe utapewa swali na jibu... Ukisema uongo kalagabao... Kila MTU abaki na jibu lake

Hatupo kubishana,

Prof jay ana sema ukinicheka shambani Mimi nitakucheka sokoni...
 
Ameandika MASANJA MKANDAMIZAJI

AKILI YAKO UTAJIRI WAKO:

Lakini , Laki Tano hii ina uwezo wa kukodi shamba Ekari 13 pale Kiteto au Mpwapwa na ikakutengenezea Million 15 baada ya Miezi MITATU kwa kulima Matikiti maji. Laki Tano hii hii ina uwezo wa kununua SIMTANK la lita 5000 ( ndoo 250 za lita 20) ambal inaweza kutumika kusolve shida ya maji mtaani kwako kwa kuuza ndoo 1 Sh 500 na ukaingiza 125,000 kwa kila SIMTANK unalouza.

Laki tano hii hii inaweza kulima Ekari 2 za Maharage pale Simanjiro na baada ya Miezi Minne ukavuna si chini ya Million 3 ambazo zitaexpand kilimo chako MARA 6 zaidi ya Mwanzo na Kuexpand Kipato chako mara 6 zaidi ya Mkupuo wa kwanza. Laki Tano hii ina uwezo wa kulima Matikiti Maji Ekari 2 na zikakupa si chini ya Milion 2 na nusu baada ya SIKU 90!

SHIDA NI: Kila mtu anataka akae mjini AONEKANE SAMAKI SAMAKI, aonekane Muvi Mlimani City, Apost akiwa Escape 1, Apige Snapchat akiwa 777 ... Kila mtu anataka aonekane MDARISALAMA. Yuko mjini.

MDADA yupo radhi aishi mjini kwa kuuza mwili wake kuliko kwenda Ruaha Mbuyuni Kuinvest kulima Vitunguu... Ataonyesha saa ngapi CROP TOP yake Mpya kutoka YAHYA BOUTIQUE? Sistaduu alime vitunguu?? Hapana, bora atafute Danga la Laki 2 akalale nalo.

Big Up kwa wadada wote wajanja WALIOINVEST KWENYE KILIMO., kila Jumamosi wakati wewe unaona sifa kwenda HIGH SPIRIT LOUNGE Wadada wenzako wako RUVU wamekodi mashamba wanalima mpunga, unashangaa Huyu mdada anafanya nini kumbe mwenzio analima.

KUDOS kwa wanaume wenzangu ambao wamegundua siri kwamba kuuza Sura hakulipi ma wameinvest Shamba, kila weekend wanapotea kwenda kusimamia nyanya na pilipili Bagamoyo.

Utaendelea kuwashangaa wenzio wanatajirika na kudhani kila mtu anauza UNGA hapa mjini, Kilimo ndio unga mpya... nnadhani mkandamizaji amenuunua ile BMW X6 kwa episode za ORIJINO COMEDY? Thubutu, nenda MBARARI umkute amejaa Matope akipalilia Mpunga wake ndo utajua na wewe kwa nini unapanda Bajaji mpaka
NI HAYO TU KWA LEO.
Ukweli mtupu, kilimo kinalipa ili mradi tu uwe tayari kukabiliana na changamoto zake.
 
Laki 5 simple like that???
Aisee sio rahisi hivo..Field sio rahisi namna hiyo.Na kama ni rahisi hivo wengi wangeshatoboa.Watu wamekomaa wamechoma mpaka pesa za mikopo.
Ingia field kwa ushauri wa kipambuvu hivi then utakuja kutupa majibu..
 
Kilimo ni hisabati Kali sana na wengi wanapata namba za viatu...

Mashamba yapo mengi... Nimesha uziwa mashamba hekari 10,000/-, 20,000/- vijijini huko una chukua hekari 20, 40, una hifadhi na una wapa walio kuuzia tumieni zalisheni hapa wana kusaidia kulisafisha zaidi kama walikupa pori...

Una kuja baada ya muda una liwekea mipango mkakati ili lizalishe sasa... Una kuta tuna panda korosho na tuna lima mazao ya muda mfupi vilevile kwa pamoja, utavuna mazao yako ya muda mfupi na korosho za muda mrefu zina endelea kukua...

Kilimo hisabati ambazo huwezi kuambiwa njia iliyo tumika wewe utapewa swali na jibu... Ukisema uongo kalagabao... Kila MTU abaki na jibu lake

Hatupo kubishana,

Prof jay ana sema ukinicheka shambani Mimi nitakucheka sokoni...
Technics+Timing
 
Summry ameuza mabasi kaweka pesa ktk kilimo... Wazungu wanatoka na pesa zao ulaya wanakuja kulima mpunga, ngano, kahawa, mihogo Lindi... Nk... Wakina mohamed au mwamedi analima katani bakharesa ana nunua mazao ya wakulima nk...

Tulime jamani

britanicca kifinga mng'ato manengelo


There u r!kilimo kinalipa ukilima in bulk..sio kwa eka 5hizi tunazolima sisi!...n kilimo kinalipa zaidi ukiongeza thamani!
Tikiti lima liprocess liwe juic uza..hapo sawa!
Lima hindi saga unga paki
 
Naona wachambuzi wako vizuri! Vipi ukianzia hyo laki tano ukakua kidogo kidogo huku ukipata uzoefu?
Tatizo ni kiwango, hiyo laki tano ni ndogo sana kuanzia shughuri ya kilimo, na utegemee, kukua, sana sana labda ulime tuta tano za mchicha! Na hapo hadi uziuze pesa yote umeshaitumia kwenye kula!!
 
uko sahihi mkuuu,heri wewe unasema sehemu unakodisha kwa chini ya 50k,ila nakuhakikishia zipo sehemu nyingi zinazokodishwa bure bureeeeeeeee unalima then unamlipa mwenye shamba lake pesa baada ya mavuno shambani.

kuna sehemu watu wanatoa huduma ya kuandaa shamba A-Z wewe mpe chakula tu then mshahara wake utampa baada ya mavuno,itategemea na makubaliano yenu.

tatizo watu wameona laki 5 halafu anataka alime kilimo anacholima masanja (kilimo cha kisasa) jamani wengine hapa ni mashahidi tuna ma bibi na ma babu huko vijijini,wana mashamba wanayalima kwa dawa za asili kabsa na wanavuna vizuri tu,na nguvu kazi ya kilimo si lazima kila kitu ulipe watu "hivi leo ukahamia kijijini ukatengeneza marafiki hautolima"

nina mfano ulio hai kijiji cha baba angu huko wakitaka kulima wanaungana,leo wanalima shamba la flani vijana wote,wanamaliza,kesho wanaingia la mwenzao wanamaliza, palizi hivyo hvyo mpk uvunaji ni hivyo hivyo.

malipo yao ni siku tupo kwenye shmba lako,wewe utatulisha mpk tunamaliza kazi,tukenda shamba la mwingine nae anatulisha mpk tunamaliza (hawana kutumia hela) tatizo watu wapo kutaka kutumia hela kila mahali,asee pesa sio kila kitu hata ukipewa mil.10 uambiwe ulime unaweza isitoshe kama utaamua kutumia hela kila sehemu.

Humu watu wanajua kukatisha watu tamaaa tu,hamna kazi isiyo nafaida na kama ipo basi kazi ya kwanza isiyo na faida ni hiyo unayoifanya sasa hivi (maana yupo mtu hata kwa bakora umwambie aifanye hiyo kazi yako hawezi ifanya)

Tusikatishe watu tamaaa hapa,kama yamekushinda basi yamekushinda wewe na bichwa lako waacheni wengine wafanye msifikir wote wana mabichwa kama yenu mlioshindwa
Hadithi za nini lete mchanguo wa hicho kilimo ambacho utatumia laki tano!! Upate hayo mamilioni!!!!!achana na mambo mala watu wanalimiana bure, huo utaratibu una historia yake, hadi ifikiwe kulimiwa hivyo,kila shughuri ya kiuchumi ina kiwango chake angalau cha mtaji wa kuanzia, na ugumu wa kilimo ni kwanza unawekeza tu, sasa hiyo laki tano, hata mtu akupe shamba bure, uliandae, upande, upalilie, upulizie dawa, mbolea, kama ni mazao ya muda mfupi, umwagilie, na hapo sio kama unafanya hizo kazi pekee yako, kuna mfanyakazi/wafanyakazi. NASEMA HIVI LABDA KAMA NI KILIMO HARAMU, UFANIKIWE KUTOBOA, WASIYAONE NA KUYAKATA KATA!!! kwa mazao halali haiwezekani,
 
Mzee baba Sumry ana machine pale shambani kwake yaani machine ile 1 tu inagharimu mpk million 600,ana stock ya mahindi ya kufa mtu serikali ilipopiga marufuku kupeleka mahindi nje jamaa alilia kilio cha kufa mtu.

Mo mashamba ya mkonge anayo maelfu ya ma-ekari na akivuna anaenda kutengenezea magunia kwny kiwanda chake huko moro then anaingiza magunia sokoni fasta,Sokoni demand ya magunia kwa mwaka ni magunia 20mil wkt Mo anazalisha karibu magunia mil.8 kwa mwaka.Yaani karibu 40% ya magunia nchi nzima yanamtegemea Mo.

Bakhresaa nae ni bad number ananunua mazao anatengeneza products then anazurudisha sokoni wana nzengo tunanunua.

Inshort,kilimo kinataka mtaji heavy mkuu na ni profession kama zilivyo taaluma nyingine na sio kama ilivyo sasa kila anaefeli kwny maisha/kazi ndo anakimbilia huko kwny kilimo mkuu.
Summry ameuza mabasi kaweka pesa ktk kilimo... Wazungu wanatoka na pesa zao ulaya wanakuja kulima mpunga, ngano, kahawa, mihogo Lindi... Nk... Wakina mohamed au mwamedi analima katani bakharesa ana nunua mazao ya wakulima nk...

Tulime jamani

britanicca kifinga mng'ato manengelo
 
Technics+Timing


Miaka 5 nyuma techiniques zilitubeba saana na timing!..ukilipanda august tikiti unalivuna oct kiangazi fulan...ss hv panda hyo hyo august ukitegemea mtakuwa wachache sokoni...unkuta fuso km 20 ziko sokoni!ishu labda kipatikane kiwanda cha kusindika matunda!
 
Back
Top Bottom