Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

wakuu haya maswala yapo nnje ya leo lengo la.uzi huu, mbona msiulize mambo ya msingi kuliko kutaka kujua haya?

anyway gay ni mwanaume kama ulivyo wewe kimaumbile isipokua kihisia tu, unavofika mshindo wewe ndivyo anavyofika yeye pia.
Broo nanii gay naomba usiendele kujibu msg za wanna humu ndani waache mnk hawna maswal ya msingi na mpk sas wengi wanasikitika tu na hawan way forward Ni Bora ungiee mitini usijubu comment zozotr kaah zako kimya ukitafakari jins ya kuepukan na hyo zambi
 
Huyu mlete Uzi.. Ana zaidi ya alichotaka tujue..

Kwanza anasema hisia zake ndio zinamtuma hivyo..lakini Kuna mtu kasema Kuna dawa inarekebisha hiyo hisia na unapona Hilo laana..lakini kwa alichojibu ni.muelekeo wa kupingana na hiyo tiba!
Na inaonyesha Ni anapenda na kufurahia hiyo Tabia na hachukii Hilo.. .. kinachomsumbua mpaka kusikitika Ni kitendo Cha yeye kulazimika kuishi kwa kupretend ili kuficha kitu ambacho angependa kiwe wazi..yaani awe huru .. . Ndio maana anajichukia.. ..

Mtoa mada ukitaka unaweza Sana kubadilika.. ..
Hukuzaliwa hivyo .. ..usingesimamisha kabisa.. na wale wa sodoma wasingechomwa ..maana MMungu ndio angekuwa kawaumba hivyo!

mwanamme mwenzio .. anakung'wanyua na wewe unarembua...jionee huruma .. ..ukishindwa kabisa jiue tu upumzike.. .. .

Unakwenda kunawa mbegu za mwenzio.. .unaitia nuksi familia.. ...
 
To actively engage oneself in a gay lifestyle is a choice a person makes. Hujalazimishwa kushiriki mapenzi ya jinsia moja bali uliamua hivyo kwa utashi wako mwenyewe. Binadamu siyo mnyama, ambao kwa kiasi kikubwa wanaishi kwa kufuata natural aka biololgical instincts zao. Kwahiyo, hayo mambo yako ya “feelings” ni bullshit.
 
Watu wanamjua sana, wameamua kumsitiri na kumstahi, couz yeye ana maintain na kulinda heshima na status yake. Ila wanajua vizuri uhalisia wake.
Na wewe unamjua Sana na vizuri ...?!
 
Nashindwa kukupa pole ila walau kuna kitu nmeongeza kichwa na mtazamo japo sio kwa asilimia kubwa.

Kwanza kabisa nikiri tu kuwa Sipendi ushoga,siwapendi mashoga kabisa,hata huu uzi nimeuruka lakini nikataka kujua nini kimeandikwa.

Ila nina swali
1-Je gay unafikaje kileleni,mfano sisi wanaume tunapiga bao,nyie gay huwa mnafikaje na mnafurahia nini katika mahusiano

2-je mnapofanya mapenzi huko mavi huwa hayatoki maana ni njia yake,yakitoka mnafurahia?au mnafanyaje yasinuke

Nb:mimi hata mtu akifira mwanamke nae namuona ni gay tu
 
Kama kuna dawa zitumie ili hizo hisia ziishe, weka imani kuwa dawa hiyo itakuponesha
 
Huyu jamaa amekuwa muungwana sana. Amekuwa muwazi kwa faida ya vijana wengi,wazazi na jamii kwa ujumla. Nashangaa wengi tunamkejeli na kumuuliza maswali yenye lengo la kumdhalilisha. Kama alivyosimulia pengine amewakwaza wengi humu wenye shida hiyo na ndio sababu wanashibedua as if they are very smart na labda hawakutaka aseme huo ukweli. Kwangu mimi namshukuru na ninamuombea sana kwa Mungu apate ukombozi. Imeandikwa, Ukweli utakuweka huru.Hongera sana mkuu Mungu akukumbuke.
 
Lipia T A N G A Z O

Nikisoma nitarudi kukomenti
 
Mnatetea ujinga tu sidhani kama kuna mtu anazaliwa shoga, kwanza anasema kama wanawake tu nae anapata hisia na wanaume sasa mwanamke akipata hisia ana sehemu inamcheza kisimi au uchi unasikia hamu ambapo ni sehemu maalum kwa kazi hiyo.

Sasa wewe mwanaume ukipata hisia unatoa tigo kwanini? panahusikaje hapo na mapenzi maana sio sehemu sahihi haikutengenezwa kwa ajili hio.

Hata hao wanyama ng'ombe punda nk, wanarukia uchi lakini hakuna siku nimeona mboo imeenda mkunduni hata wao wadudu wanajua sio sehemu sahihi na utashi wao mdogo. Nenda kajitibu kama kweli una nia ya kuacha hiyo michezo utamtia maza ako fedheha kubwa sana anaweza hata kuchukua hatua mbaya dhidi yake siku akijua na Mungu akusaidie kama una nia hiyo.
 

Huyu ukisoma na kumwelewa ni kwamba anahamasisha watu humu wawe mashoga kwa vile yeye anatimbwa, ndiyo maana unakuta anajifanya kujuta kuwa shoga lakini hapo hapo anakuambia mshindo unaoupata wewe kwa sex na mwanamke ndiyo mshindo anaoupata shoga kwa mwanaume mwenzie! Hivyo, ukitafakari sana utaona na kutambua kuwa huyu ametumwa na wenzie mashoga kuja kuhamasisha watu humu wawe mashoga kama yeye! Haya ndiyo makundi ya watu waliokwisha laaniwa hapa duniani pamoja ns wale wa madawa ya kulevya! Damn them!
 
This is very bad,where are the moderators?sitegemei double standard hapa,huu uzi ufutwe haraka...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…