Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Kuna jamaa yupo kwenye mpira vijana wengi wanamshtumu anaitwa yale madini magumu sana na nyimbo ya zamani iliyopata umaarufu muda huu

Huyo jamaa vijana waliopita mikono yake wanajua tabia yake au labda umpe ndugu yako hata mzazi wako
Mbona wewoo
 
Nmewahi kusikia pia yupo mmoja anajina kama la mchezaji wa Nigeria aliecheza portsmouth na Arsenal
Yupo legend aliewafungaga sana utopolo
yupo mwingine mropokaji koach la taifa
Ingawa sikuwahi kuthibitisha ila wanaosema ni hao hao wachezaji
Ipo pia skendo ya viongoz wa team na staff zao
Hahahaha hizi tuhuma za huyo coach la Taifa za muda sana
 
Ni uzushi tu Kwa sababu soka la bongo hasa Simba na yanga hakuna papa au aliyejimilikisha club

Cha pili wachezaji wenyewe wenye vipaji vya ukweli huwa ni wakugombania mfano ni lameck lawi na wengine mpaka mfikie huko si atachukuliwa na timu pinzani na huko ataenda kutoa Siri?
Aliyetoa siri ya kabwili Ni Yondani akilalamika kwamba wengine wanacheza yanga kwa vinyelo vyao.
 
Katika pita pita zangu asubuhi hii, nikasema nikae kidogo kwenye kijiwe cha kahawa, nichangamshe kinywa na kufurahia upepo mwanana wa alfajiri. Watu walikuwa kwenye gumzo, kila mmoja akitoa maoni yake juu ya hali ya maisha, siasa, na bila shaka, mpira wa miguu. Lakini ghafla, mada moja iliyoibuka ilinifanya nishtuke – eti rushwa ya ngono inatawala soka la Tanzania, hasa katika timu kubwa!

Nikatulia kidogo nikitafakari. Kwa haraka haraka, akili yangu ilikataa wazo hili. Hivi kweli kuna wanawake wenye mamlaka ya juu kiasi cha kuwalazimisha wachezaji wa Simba au Yanga kulala nao ili wapewe nafasi ya kucheza? Wazee wengine waliokuwa kwenye kijiwe nao wakaonekana kushangaa kwa mtazamo kama wangu. Lakini mtoa mada hakukata tamaa:

"Naona hatuelewani," akasema kwa msisitizo. "Wachezaji wanaliwa mchicha ndio wanapata mkataba."

Kijiwe kizima kikasema kwa mshangao mkubwa: "Astaghafillulah!"

Mzee akaendelea kueleza kwamba si jambo la ajabu kwa watu wenye mamlaka katika soka – iwe ni makocha, mawakala, au viongozi wa timu – kutumia nafasi zao vibaya na kuwatumia wachezaji vijana kwa tamaa zao binafsi. Akaongeza kuwa, kama ilivyo katika sekta nyingine, kuna watu wenye tabia za ajabu ambao huona vijana kama vyombo vya kufanikisha matamanio yao badala ya vipaji vya kuendelezwa; Hapa nikakumbuka Kuna mchezaji fulani alitoka Yanga kwenda Azam kwa ugomvi na sahizi anarudi, nikakumbuka interview yake alivyokuwa anajing'atang'ata kwamba alikuwa "anateseka" nikasema kimoyo moyo "labda ndio mambo hayo"

Kwa haraka nikaanza kuwaza jinsi sekta ya muziki nchini ilivyojaa uvumi wa wasanii – wa kiume na wa kike – wanaolazimika "kulipa fadhila" kwa njia ambazo si za kawaida ili wapate nafasi ya kung'ara. Na hapo ndipo nikajiuliza, je, kuna uwezekano kwamba hata katika soka mambo haya yanatokea? Je, kuna wachezaji ambao wameathirika na mfumo huu lakini hawana pa kusemea?

Nikakumbuka hadithi za kimataifa za wachezaji kama Andy Woodward, aliyefichua unyanyasaji wa kingono alioupitia akiwa kinda huko Uingereza, au yale madai yaliyowahi kumkumba Sepp Blatter, aliyekuwa Rais wa FIFA, kuhusu tabia zake zisizofaa. Kwa Afrika, hizi habari hazisikiki sana – lakini hilo linamaanisha hazipo?

Labda kuna ukweli fulani ndani ya gumzo la kijiwe hiki. Labda bado tunaishi katika jamii inayodhani kuwa rushwa ya ngono ni tatizo la wanawake pekee, huku vijana wa kiume wakilazimika kunyamaza kwa hofu ya kudharauliwa au kupoteza ndoto zao. Lakini je, tunapaswa kupuuza madai haya kwa sababu yanaonekana kutovutia macho yetu kwa haraka?

Swali linabaki: Je, kuna watu wanaoliwa viboga kwa tamaa za mafanikio? Na kama jibu ni ndio, tunafanya nini kama jamii kuhakikisha kuwa soka, muziki, na sekta zingine zinabaki safi kwa vipaji vyote vinavyoinuka?
Utajibiwa kwenye kijiwe cha kahawa
 
Sidhani kama kuna kiongozi au kocha anaweza kumtafuna mchezaji, mpira wa miguu unahitaji nguvu na ukakamavu wa hali ya juu sasa mchezaji akiwa bwabwa ukakamavu si utaondoka na kubakia kuwa mlenda mlenda tu, kwangu hili haliingii akilini kabisa.
 
Sidhani kama kuna kiongozi au kocha anaweza kumtafuna mchezaji, mpira wa miguu unahitaji nguvu na ukakamavu wa hali ya juu sasa mchezaji akiwa bwabwa ukakamavu si utaondoka na kubakia kuwa mlenda mlenda tu, kwangu hili haliingii akilini kabisa.
Mpira wa miguu ni kazi ngumu kuliko jeshi
 
Hii thread haiendani na hadhi ya jamii forum mods futeni uzi@moderator@Paw
 
Back
Top Bottom