Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Baba jaden kwa maana ya rayvan? Acha basiHao wanasiasa mbna wengi wao ni wadau, yule msomali wa kanda karibu na kat, si kawabokolesha baba Jaden na PHD, had phd kawa km shoga wa buza, full uswahili na uswazi msieeew.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilijua tu, lazima utie nenk kwenye huu uzi[emoji23][emoji3][emoji3][emoji23][emoji3][emoji3][emoji23] nilichogundua wee ndo unaingia ktk himaya zao, usikatae hapa lol.
Afu naomba kujua chatt za shoga n ipi, na yako n Ipi, maan sielew vizuri.
Mmmmmh hapana sio kweli lol. [emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hakunaa kabisaa siwajah chokoz hwa watu wala sijawah ingia ktk group zao, ila kunq zile page sijui mapenzi nini na nini, huwa nacomment koment zangu ni za kunyegesha sasa inbox nawaona hao huwa na wanawawke wanakuja ila sad hwa ndo wengi mpaka naijiuliza
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] jiji zito hili,Baba jaden kwa maana ya rayvan? Acha basi
Hahaha nilikutana nae sehemu ambayo hatungeez kufanya ilimaradi tu, akanielekeza kuna mahali ubungo external ipo bar ina guest hata tukienda hawatuulizi mana ipo kwa ajili ya mambo hayo hasa usiku hadi watu wenye heshima zaoBado na mashaka na ww why ukakutane naye uyo mtu? Ila utajua mwenyew ata ukienda topeni fangasi utapa ww sio dunia nzima
Mbna ndo nimetawala yaan. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Nilijua tu, lazima utie nenk kwenye huu uzi
Acha hizo[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] jiji zito hili,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]Umeona tena alikuwa anafirahia kabisa hapo soma text vzr inaonesha mzee kaingia topeni ila hataki kukubali mtu mpka una meet nae then mnaongea means alikuwa anataka mzigo
Poleeeeeh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha hizo
Unacholia.[emoji15][emoji849]Ndo tatizo la gays baadhi kutaka kugandana na wadada, yaan hawajui kuishi maisha yao. Mbna life simple hili ukilipangilia vyedi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui wanakwama wapi.
Ila nacholia kila siku 80% ya gays wa Bongo hawana Elimu, hawajasoma, huko uswazi vitoto vinsishia 4m 4 bas, rasmi kudanga mweeeh.
Nilikuwa na drive force ya kumla ndani yangu ila ilipingana na nafsi shetani wa zamu alikuwa weak sana siku iyo alishindwa padogo sana kukamilisha mission yake nikaibuka kidedeaUmeona tena alikuwa anafirahia kabisa hapo soma text vzr inaonesha mzee kaingia topeni ila hataki kukubali mtu mpka una meet nae then mnaongea means alikuwa anataka mzigo
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sasa nnUnacholia.[emoji15][emoji849]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2][emoji3577]
Nilikuwa na drive force ya kumla ndani yangu ila ilipingana na nafsi shetani wa zamu alikuwa weak sana siku iyo alishindwa padogo sana kukamilisha mission yake nikaibuka kidedea
I
NashukuruAcha kujisikitisha na mtoa mada huu ni mkakati kupromoti ushoga
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ila iyo stori yako ina maswali mengi ase au basi
Sema nn kazan sawa ila dah au basi [emoji850][emoji850]
Kwani kwa mfano Shemale wametambuliwa na Biblia?.Uzi wa usio ridhiki afu uzi mrefuu sana.
Kama ushoga issue ya kuzaliwa nao basi ingekuwa ni KILEMA basi hata biblia ingewatambua kuwa ni watu wenye mahitaji maalum.
Maana kuzaliwa bila kutaka ni ukilema.
Kwa kuwa imelaaniwa basi kusema ni kujikuta tu ni kutafuta sympathy tu ili mkubalike na kupenyeza kwenye mind za watu.
Hauna lolote.
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]Siku hizi JF kuna kitufe cha like, sad,love,wow kwa hiyo unapoona reaction zingine ni za mishangao na zingine ni za kuobyesha huzuni sio zote ni like, inaonekana wewe ni mgeni hapa JF au mshamba