Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Kwanini mashoga inafikia time wanadhoofu? Yaani akipigwa kwa muda mrefu anapandisha kenchi hata kama haumwi, na midomo kuwa myekundu
Mmmmmh kwan straight hawaumwi? Tutolee uongo wako hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umeandika mavitu ya hovyo kwa mwandiko wa hovyo
 
Wewe jamaa ni mwongo sema umetoa SoMo zuri kuhusu tatizo lililoko kwa jamii.umesema hutaki kujulikana mbona umeshajitambulisha kwa kusema mamako hapendi gays na alisema akijua atapiga risasi au amwekee simu afe,halafu ukasema aliwahi kumpiga gay mmoja baadae ya kumtaka cousin wako.kama mamako na cousin wako wako humu,wameshakujua na Leo utakula risasi
 
Gay ni neno la jumla la uliyoyataja
 
Unsubscribe kwaherini wafiraji na wafirwaji [emoji112][emoji112]
 
Pole sana
Natamani kufahamu
Kwa hiyo uko straight na unaweza muatend vizur girl friend wako? Na huyo guy mwengine yupo straight pia?
 
Kwa comments za cocastic zimenifanya nianze kuelewa story ya ile movie ya "Shoga" wakina Tino waliitoa wap
 
Kwanini mashoga inafikia time wanadhoofu? Yaani akipigwa kwa muda mrefu anapandisha kenchi hata kama haumwi, na midomo kuwa myekundu
Umewajuwaje Kam siyo unawachakata kwa hyo wew mtu akiwa na mdomo mwekundu tayar Ni shoga
 
Ukipitia michango ya wadau utagundua jinsi Watz hawana uelewa juu ya Homosexual people,

Wengi wakisikia Shoga akili zao zinawatuma ni watu wa ngono ngono tu, yaani hawana impact yoyote ya Maisha zaidi ya kufanya ngono tu,

Mnawachanganya na sex workers, wengi waliotoa hadi shuhuda ni walikutana na Gays ambao ni Sex workers ni kama vile Wadada sex workers so huwezi kusema wadada wote wanajiuza kisa ulitongozwa na anayejiuza,

Shoga ni Mwanaume ambae anavutiwa na Wanaume wenzake kwenye Mapenzi, sio kama Shoga huyo hawezi kusoma, hawezi kua na fani, hawezi kua single, hawezi kua na mpenzi wake permanent, matamanio yake ya kingono hayawezi kuathiri mfumo wake wa maisha,

The same na heterosexual people sio kwa kua wewe unavutiwa na wanawake kingono basi kila mwanamke umuonae unataka kumparamia mfanye ngono, yaani ushindwe kufanya mambo mengine uwaze ngono tu hiyo sio kweli na kama utakua hivyo basi msaada wa haraka utahitajika sababu haipo kwenye hali ya ukawaida,

Mimi binafsi sipendi my kid aje kua homo, sababu najua kero atakazokutana nazo kwenye dunia hii iliyokosa Utu wala Usawa, sitopenda my kid anyanyapaliwe, anyooshewe vidole, ashindwe kuishi maisha ya uhuru badala yake awe na hofu mwisho apate depression afe, so hua namuombea kila siku lakini ikitokea sitaweza kufanya jambo lolote zaidi ya kumpa upendo zaidi na zaidi,

Cha mwisho ndugu zangu tuacheni unafki tuishi kwa uhuru na kujiamini huku upendo ukitawala, kunyoosheana vidole kisa fulani yupo kwenye mtazamo tofauti na wewe sio poa, wewe angalia watoto wako maana hujui ya kesho ni yapi.
 
Tunakunyooshea kidole maana we sio mtu wa kawaida, yani unatamani kudinywa au, yani tamaa ikija mtaro unatamani kudinywa ama, acheni izo ww
 
Lazima washangae kwa uelewa wa kawaida iwaje mwanaume umpende mwanaume mwenzako akati dini zinakataza huon kama ni wehu na kujiendekeza huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…