Mambo Usiyoyafahamu Kuhusu ushoga na Jinsi Unaweza kuwaepusha Watoto Wako

Kuna jamaa yupo kwenye mpira vijana wengi wanamshtumu anaitwa yale madini magumu sana na nyimbo ya zamani iliyopata umaarufu muda huu

Huyo jamaa vijana waliopita mikono yake wanajua tabia yake au labda umpe ndugu yako hata mzazi wako
Mbona wewoo
 
Hahahaha hizi tuhuma za huyo coach la Taifa za muda sana
 
Aliyetoa siri ya kabwili Ni Yondani akilalamika kwamba wengine wanacheza yanga kwa vinyelo vyao.
 
Utajibiwa kwenye kijiwe cha kahawa
 
Sidhani kama kuna kiongozi au kocha anaweza kumtafuna mchezaji, mpira wa miguu unahitaji nguvu na ukakamavu wa hali ya juu sasa mchezaji akiwa bwabwa ukakamavu si utaondoka na kubakia kuwa mlenda mlenda tu, kwangu hili haliingii akilini kabisa.
 
Sidhani kama kuna kiongozi au kocha anaweza kumtafuna mchezaji, mpira wa miguu unahitaji nguvu na ukakamavu wa hali ya juu sasa mchezaji akiwa bwabwa ukakamavu si utaondoka na kubakia kuwa mlenda mlenda tu, kwangu hili haliingii akilini kabisa.
Mpira wa miguu ni kazi ngumu kuliko jeshi
 
Hii thread haiendani na hadhi ya jamii forum mods futeni uzi@moderator@Paw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…