Mambo usiyoyajua kuhusu msitu wa Amazon

Amazing Amazon
 
The fact kwamba Tanzania inaingia mara 6,imenifanya nikatafakari dkk kadhaa.

Ndio sababu kipindi umeshika moto likawa swala la lazima kila nchi duniani yenye uwezo kwenda kushiriki kuzima moto.
Mwenyewe imenifikirisha kwa kiasi chake, safari yangu ndefu niliwahi kusafiri ni dar kwenda songea, kwa umbali ule Tanzania ni kubwa vya kutosha, sasa iingie sehemu mara sita !
 
Nchi ya Amerika Kusini, ambako viumbe hai vya Andes hukutana na vile vya Amazon, inapoteza utajiri mkubwa wa asili wa kilomita za mraba 1,500 kila mwaka, hasa katika maeneo ambayo hapo awali yalikuwa chini ya udhibiti wa waasi.
Hakuna nchi inaitwa Amerika Kusini, sio kila kitu unacopy na kupaste tu uwe unashughulisha ubongo mzee mjuaji.
 
Nimeipenda namba sita, na hiyo namba 11 imenikumbusha kipande cha movie ya Apocalypto hao vyura wenye sumu migongoni.
 
Hebu toa maelezo zaidi kwa namba 6. Nataka nijuwe mchanga wa jangwa la Sahara unasafiri vipi juu ya Atlantic ocean Mshana Jr
Huo mchanga utakuwa unasafirishwa kwa small particles kwa muendelezo, so unakuta kwa siku kiasi cha hizo particles kutoka jangwani kwenda baharini kinakuwa kingi, ukipiga hesabu ya miaka yote iliyopita utaona huo mchanga toka jangwani kwenda msitu wa amazon kinakuwa kingi zaidi.
 
Hiyo namba 7 sasa!


Vipi kaka mkubwa kuhusu stori za makomandoo na majasusi wa dunia kupitishwa huko kwa ajili ya mafunzo jambo hili lina ukweli
Ni ngumu kuhakiki japo hilo jambo linasemwa sana
 
Alafu atakuja mtu atasema hayo yametokea kwa bahati tu hakuna aliyefanya
 
Vipi zile Almasi za msitu wa Congo zipo kweli na masokwe mizimu?!
 
Anaconda ndo nyoka wakubwa zaidi duniani? Kwa kutumia kipimo kipi? Urefu? Uzito? Mzingo?

Kwa sababu reticulated pythons may have something to say about that….
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…