Mambo usiyoyajua kuhusu nyota Jua na mwisho wa sayari Dunia

Kweli kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa ila kwa kuwa watu hamumchi Mungu shetani anawaendesha atakavyo na elimu yake inayowaelekeza wengi motoni

Dunia na vyote vilivyomo jua, nyota, mwezi n.k vina umri wa miaka 6016 tu biblia imeliweka wazi hilo na biblia ni kitabu ambacho hakijawahi kukoseaga wala utabiri wake usitimie na dunia haitakaa ifike mwisho kwa staili hiyo hata siku moja labda tu wale wanaoamini hakuna Mungu wanaweza fikiria hivyo
 
Duuuuh haya mambo nayaogopa mimi!!!
Acha tu nimrudie Mungu kwakweli.
Hawa waongo utafiti wao umebase ktk guessing hakuna hata kimoja walicho na uhakika nacho kama ww ni mkristo nakushauri soma sana biblia utagundua elimu waliyonayo haina mashiko yoyote na utatishwa na hizi ramli za hao wanaoijita wanasayansi pia kama sio mkristo nakushauri soma tu biblia kama unavyosoma vitabu vingine unavyovipenda
 
Kila kitu kwenye universe kipo kwenye motion!,jua Lina zunguka kwenye galaxy yake!, Na katika Galaxy yetu ambayo ni milky way jua kuchukua miaka million 230 kumaliza mzunguko wake!,na linazunguka kwa speed ya 828,000km/hr.
 
Kila kitu kwenye universe kipo kwenye motion!,jua Lina zunguka kwenye galaxy yake!, Na katika Galaxy yetu ambayo ni milky way jua kuchukua miaka million 230 kumaliza mzunguko wake!,na linazunguka kwa speed ya 828,000km/hr.
Mtu anaweza kuuliza kwanini viko ktk mzunguko,,, jawabu ni BING BANG!
 
Haya mambo bana... jua ndilo linaloizunguka dunia... dunia haina shape ya yai bat flat disc.... kuna another earth within our earth inaitwa shambala.... kuna ufos sights daily znakuwa posted youtube.... kuna project blue beam... kuna lucifer experiment iliyofanya sayari ya mars kuwa vile... kuna kina annunaki na sayar yao ya NIBIRU..... kuna thot mungu wa hekima aliyetoa ufaham kwa watu wa kwanza katika kisiwa cha atlantis kabla hakijazama na majini.... kuna kina Mayans ambao walishatabili mwisho wa dunia na mambo bado yanaendelea, mara ooo tumeshindwa kuisoma vizur calander yao so tutakuja na jibu halisi.... kuna aliens among us... Kuna secret base ya aliens huko southern hemisphere.... kuna time travell... kuna big bang... kuna illuminati.. kuna freemasons... kuna kila aina ya vitu ambavyo mwisho wa siku maisha yanaenda kama kawaida
 
Hawa wanaanga wanazingua sasa...mara Nibiru itaigonga dunia ooh miaka bil5 dunia itamezwa na jua..wenyewe wanajichanganya na tafiti zai! Ni kweli kuwa itafikia kipindi maisha hayatakwepo tena duniani maana hata sayari zipo ambazo zilishasambaratika miaka iliyopita na zipo zinazoendelea kusambaratika na hivyp zamu ya dunia itafika...lakini kwa hizi tafiti za hawa wanasayansi kamwe hazitaweza kutoa majibu ya moja kwa moja juu ya ni lini dunia itafika mwisho wake...
 
Acha kutishatisha watu! Dunia ipo, na itakuwepo tu,Hakuna mzungu anayeweza kujua kiyama.
 
Kinacho semwa ni ukweli lakini kipindi hicho tutakuwa hatua nyingine mwombe Mungu na ushike amri zake
 
Hiyo miaka billion 5 mie sintakuwepo wala kizazi changu hao watakao kuwepo na jamii forum itakuwepo nawwambie wajipange
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…