Mucho Mucho
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 245
- 256
Majotroooo🙂🙂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 356025
Wastani wa umbali kati ya jua na dunia ni km milioni 150 na mwanga husafiri kwa spidi ya km 300,000 kwa sekunde, ukiwa mwanahisabati na ukikokotoa utagundua mwanga wa jua hutumia dakika 8 kusafiri kutoka katika jua na kutufikia duniani.
Cha kufurahisha hapa, hii nishati hutumia dakika nane kutufikia duniani, lakini pia hutumia mamilioni ya miaka kusafiri kutoka katika kitovu cha jua na kufika katika tabaka la nje la jua(ambapo kutoka hapo ndio hutumia dakika 8 kufika duniani)
Hii ina maanisha nini? ina maanisha mwanga wa jua unao uona sasa si wasasa bali ulianza safari yake hadi kukufukia hapo ulipo mamilioni ya miaka.
Call/whatspp 0622845394.
umenichekesha sana bibieDuuuuh haya mambo nayaogopa mimi!!!
Acha tu nimrudie Mungu kwakweli.
Jua linazunguka katika mhimili wake, na pia linazunguka pamoja na mfumo wote wa solar system yetu kwenye center of our galaxy,mzunguko wa solar system yetu kuzunguka center ya galaxy yetu unatumia miaka million 200 ku complete rotationkumbe na jua linazunguka, kuna mdau alileta uzi hapa kuhusu kuzunguka kwa jua watu wakamtolea povu.
Linazunguka sababu kuna nguvu kubwa ya uvutano katikati ya galaxy yetu, ambapo kuna largest blackhole, hii blackhole ina gravity kubwa sana inaforce nyota zote and everything in our galaxy to revolve around, hapo ndio maana linazungukakwanini jua linazunguka..?
unaweza nifahamisha black holes ni nini..? na kazi yake..?Linazunguka sababu kuna nguvu kubwa ya uvutano katikati ya galaxy yetu, ambapo kuna largest blackhole, hii blackhole ina gravity kubwa sana inaforce nyota zote and everything in our galaxy to revolve around, hapo ndio maana linazunguka
Kujua blackhole nini, kwanza kabisa ni muhimu kujua nyota zinafanyaje kazi?unaweza nifahamisha black holes ni nini..? na kazi yake..?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]umenichekesha sana bibie
Unamaanisha black holes theory of finance au?unaweza nifahamisha black holes ni nini..? na kazi yake..?
Mkuu zozote unazozifahamu we zielezeeUnamaanisha black holes theory of finance au?