unaweza nifahamisha black holes ni nini..? na kazi yake..?
Kujua blackhole nini, kwanza kabisa ni muhimu kujua nyota zinafanyaje kazi?
Nyota yeyote hata jua letu zinatengeneza nishati yake kwa kubadilisha hewa ya hydrogen kuwa helium(ambayo hii ni nuclear fusion)
Nyota kubwa ambazo ni mara tano zaidi ya jua ndizo ambazo zina badilika na kuwa blackholes umri wake ukiisha isha yaani ikimaliza hydrogen yote, halafu helium inaanza kubadilishwa kwenda kwenye heavy elements kama carbon, iron
Hizi element nzito zinafanya nyota kuwa nzito zaidi, hapo nyota inakuwa unastable na kulipuka kuwa blackhole, nyota iliyokuwa kubwa zaidi mara tano zaidi ya jua ikilipuka inaweza kuwa ndogo kama dunia na inakuwa na gravity kubwa sana ambapo hata mwanga hauwezi kukimbia, nothing can escape from it
Kulipuka kwa nyota kunaitwa supernova, nyota ndogo kama jua hazilibuki wala kutengeneza supernova zinakua red giant
Kwa hiyo blackholes ni sehemu kwenye space ambayo ina gravity kubwa sana kiasi kwamba hata mwanga hauwezi kukimbia,wala chochote kile hakiwezi kukimbia
,kinachosababishwa na nyota kufa
Hapa kwenye blackhole hata nyota nyingine ikipita karibu inavutwa na kuwezwa
Kazi ya blackhole bado sijajua ni nini hasa