Mambo usiyoyajua kuhusu online dating platforms

Ukikosa Mwanaume au Mwanamke sehemu unayoishi ( mtaa,Kata, Mkoa), Shule za upili na Shule za Juu za Upili, FDCs, VETA, Vyuo vya Kati na Vyuo Vikuu, online platform za Kitanzania hata huko unakokwenda kwenye Platform za kulipia nako utakosa vilevile!
 
Kabisa Mkuu..! Hivi kwani mzungu anamshedede wa aina yake au rangi ndio kinamvuta hasa ??
Ubaya wanawapenda wazungu then unakuta hata kitandani havikishwi kileleni. Sas mzungu wa kazi gan hapo c bora mwafrik mwenzio ambaye ana guu la mtoto hata mkikutana mechi gal unajifeel kweli hap nipo kweny mechi zito
 
hizo gharama anazolala room za dollar 35000 kwa siku analipia na mavi au
Kenge wewe unadhani dola 35,000 ni matako kila mtu anayo ...


Huko Zanzibar hao watalii wengi wanajazana vi cottage vya 30,000 - 150,000 hiyo dola 35,000 labda ni watalii wanaokujaga kulala kwa mama yako.


Zezeta weyeeee
 
Watu wengi hawaelewi kumbe wenzao wanafanya biashara, wanajua wanachat na wazungu kumbe na jamaa yuko Tandale anakunywa alkasusu na juisi ya miwa
 
Anatafuta mzungu yuko addicted na chating... Sina ushahidi juu ya hilo kama ametumia kiasi hicho cha pesa lakini that is what she told me. Na alikuwa anasifia huo mtandao kuwa ni mzuri ila ni expensive kwa kuwa kila msg unayotuma inakucost 0.05$
Kwa kiasi hicho dada alituma jumla ya msg 140,000.. msg laki na arubaini!
 
Nliomba wanitoe haraka [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii mbona kawaida sana ukiingia mtandao wanakuambi lipia kwanza ujue hao wanakusanya pesa kwa sms tu hamna insue hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…