Mambo usiyoyajua kuhusu online dating platforms

Mambo usiyoyajua kuhusu online dating platforms

Mkuu basi tuseme hakuna kitu kisicholipiwa kama ndiyo mtazamo wako wa mambo. Kumbuka anayekula hiyo pesa ya bundle ni network supplier wako FB hali chochote kutoka kwenye hilo bundle ulilolipia. Hapa mimi ninazungumzia mtu kulipia direct kutumia huduma ya kuchat.
Unajua kuna mkataba gani kati ya FB, other social networks na hizi mitandao ya simu??? Hujui mitandao ya simu like Voda, inafaidi zaidi kwa kufanya partnership na social networks???
 
Unajua kuna mkataba gani kati ya FB, other social networks na hizi mitandao ya simu??? Hujui mitandao ya simu like Voda, inafaidi zaidi kwa kufanya partnership na social networks???
Hakuna kitu kama hicho halafu sijui ni kwanini watu wengi huwaza hili. FB inatengeneza pesa kupitia matangazo siyo bundle unazolipia kwa ISP
 
Inategemea na mtu; pia Inategemea na mtazamo. Mtu mwingine anaweza kuona vyema akabadilishana mawazo na mtu mwingine, na siyo kuspend tym na lifeless programs. Pili, kimtazamo, hizo games ni preprogrammed applications ambazo kimsingi ni inventions za akili ya mwanadamu, mawazo ya mwanadamu. In short, ni mwendo wa kizunguka duara ama kukwepa mvua na kukimbilia baharini. Utasema maji ya bahari yana joto lakini mvua huwa na dhoruba, fine. Nimekuelewa!!!
Mimi kun game moja nilikua naipenda(Scrabble), Nikijua nnashindana na watu wa ukweli ila baadae nilivyojua ni marobot nikapoteza interest.
 
Duuh ni hatari sana aseee.! Alfu utakuta wanaposti status na Caption ya crush [emoji8][emoji8][emoji8]
Kuna kabinti ka sisteri wangu..kembamba hivi karefu kana miaka 12..kanamawambiaga mdogo wake .. mdogo Ni mnene..eti wewe futuka tu uolewe na waafrika wenzio..Mimi Nina ndoto ya kuolewa na mzungu shauri yako..😂😂
 
Kuna kabinti ka sisteri wangu..kembamba hivi karefu kana miaka 12..kanamawambiaga mdogo wake .. mdogo Ni mnene..eti wewe futuka tu uolewe na waafrika wenzio..Mimi Nina ndoto ya kuolewa na mzungu shauri yako..[emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jiandaeni kusikia anatafuta scholarship akasoma Huko nje akatafute mume wa ndoto yake . Ila ajiandae kisaikolojia kuwa hao wanaume wakizungu ni kama sisi tu huku waafrika so tofauti ni rangi tu.
 
Unachukua your best skills and other skills that you can learn then unaziuza kwenye platforms ambazo zina client ambao wana demand ya hizo skills. Inabidi uwe reliable, uwe mwaminifu maana mtu anaweza kukutumia pesa yuko Ulaya uko Tanzania na hakujui, usije ingia nayo mitini kisa hana jinsi ya kukupata. Pia uwe efficient katika kazi uliyopatana na mtu.

Interesting, tukutane PM mkuu tushirikishane machache huenda nikawa na kazi nyingine isiyohitaji kuwa n frame kwa ajili ya kuweka ofisi.!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jiandaeni kusikia anatafuta scholarship akasoma Huko nje akatafute mume wa ndoto yake . Ila ajiandae kisaikolojia kuwa hao wanaume wakizungu ni kama sisi tu huku waafrika so tofauti ni rangi tu.
😂😂😂😂 Na hapo kwenye kusoma nje anamwambiaga mama ake..nataka nisome kwa bidii chuo unipeleke nje..Yani haka katoto maisha anayoishi utadhani ndiyo kameshaolewa na mzungu..namuangaliaga naishia kucheka tu
 
Dah niunganishe mkuu coz mi kuchati sichoki afu Ni muongezi
 
Mkuu huwezi kuwa na miaka zaidi ya 15 JF maana JF ilianza mwaka 2006 na ilikuwa hapo ikiitwa jambo forums so ukipiga hesabu toka inaitwa jambo forums mpaka sasa ni miaka 14
Utawaweza watu wa humu, kila mtu mkongwe akaunti yake ya kwanza kufungua alisahau password, hivi mtu ukikubali tu kuwa Jf nimeijua 2015, 2012 au 2020 utapungukiwa nini?
 
Nasikiaga kuna Jukwaa la wakubwa, lakini toka nijiunge JF nina miaka karibia 15 (My very first JF account) nilisahaugu password nikafungua nyingine tena yaani sijawahi pata fursa kuliona hilo jamvi. Sasa sijui ipo au ni maneno tu ya uongo [emoji19][emoji19]
JF imeanzishwa 2006 hadi leo hii mtandao una umri wa miaka 14 lakini wewe mwenzetu una miaka 15 upo JF hebu kabla hatujafika mbali tukumbushe id yako uliyopoteza password tuone ilijiunga jf 2006 kweli?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Na hapo kwenye kusoma nje anamwambiaga mama ake..nataka nisome kwa bidii chuo unipeleke nje..Yani haka katoto maisha anayoishi utadhani ndiyo kameshaolewa na mzungu..namuangaliaga naishia kucheka tu

My dear fanya kumwelezea uhalisia wa mambo asije kuomba scholarship kwendo kusoma SWEEDEN ili akapate mume badala ya kwenda kuondoa ujinga au Kusoma tu. Huenda ukamsaidia ili asije kuharibu pesa ya familia buree au wakatu mwingine kuwaingiza gharama zisizo kuwa na maana yoyote
 
JF imeanzishwa 2006 hadi leo hii mtandao una umri wa miaka 14 lakini wewe mwenzetu una miaka 15 upo JF hebu kabla hatujafika mbali tukumbushe id yako uliyopoteza password tuone ilijiunga jf 2006 kweli?

Ni 5 badala ya 15 Mkuu.
 
Utawaweza watu wa humu, kila mtu mkongwe akaunti yake ya kwanza kufungua alisahau password, hivi mtu ukikubali tu kuwa Jf nimeijua 2015, 2012 au 2020 utapungukiwa nini?

Nimesema nimekosea kutype mkuu..! Daaah mkuu Khantwe naomba usome replies zangu kuna sehemu nime clarify
 
Anatafuta mzungu yuko addicted na chatn... Sina ushahidi juu ya hilo kama ametumia kiasi hicho cha pesa lakini that is what she told me. Na alikuwa anasifia huo mtandao kuwa ni mzuri ila ni expensive kwa kuwa kila msg unayotuma inakucost 0.05$
unatoa ushahidi bado unazunguka zunguka...mtandao gani badoo,tinder,ect yote kuna free na kulipia na mara nyingi huwa monthly quarterly au annually au mzee ulitaka tujue una fanya online jobs
 
unatoa ushahidi bado unazunguka zunguka...mtandao gani badoo,tinder,ect yote kuna free na kulipia na mara nyingi huwa monthly quarterly au annually au mzee ulitaka tujue una fanya online jobs
ni mawazo yako, mimi ni nani nipingane nayo.
 
Back
Top Bottom