Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,823
- 3,816
Ipo Facebook, na kuna mmoja jina limetoka ni maarufu sana umejaa madem wanajiuza wanajifanya wa chuo ni bure unless ukitaka premium package. Lakini sasa hii ninayoongelea hapa mtu analipia kwa kila msg anayotuma.
Mkuu, hii feature ya Online dating ya Fb ipogo wapi au inakuwaje kuwaje ?? Nataka nijionee huenda nikamkuta Mama watoto wangu huko [emoji23][emoji23][emoji23] (Kidding )