Mambo usiyoyajua kuhusu online dating platforms

Mambo usiyoyajua kuhusu online dating platforms

Anawalipa indirectly, Kupitia internet bundles .! Naamini utakuwa umeelewa
Unakakamaza ubongo mkuu

Jamaa anaongela kukatwa pesa direct mfano unapotuma sms bila kujiunga kifurushi unakatwa salio lako.

Hiyo uliyocoment havina mahusiano.
 
Inaweza kuwa kweli na pia inaweza kuwa Uongo! Ila inawezekana kuwa kweli kwa asilimia 90, katika kumbukumbu zangu nishafungua account katika dating site karibia acount 50, na zote hizo pale mwanzoni huanza na free service, ila inapokuja kwa ajili ya kulipia tu naachana nayo nahamia nyingine. So huyo mdada kutumia zaidi ya dola 7000 inawezekana kwa sababu ana lengo lake, pili pengine ana source ya income nzuri kiasi kwamba ni mpaka akamilishe lengo.
Wazo nililopata ni kweli kuwa hiyo mitandao inafanya hivyo kwani kwa tathmini ndogo tu niliyofanya kwenye badoo, ndani ya kipindi kidogo tu nimeshatumia hela kiasi (siri yangu) na hiyo ni kwasababu kuna msg huwa zinaingia lakini zinaficha sura ya muhusika, hivyo ukitaka kuona ni mpaka ulipie.
Duh!! Mitandao inatula!!
 
Dola elfu saba na bado hajui mwelekeo ?

Aisee huyo dada mtafte mwambie aje hapa zanzibar akizurura siku mbili tu beach lazima atimize ndoto yake wazungu watamwopoa chap sana

Juzi hapa zimepita waka wiki mbili ivi kuna hotel moja hapa inaitwa kiwi kuna wazungu (warusi) wamechomana visu kisa wanagombania demu mweusi wa kiafrica.

Kwa hiyo mwambie aje zenji soko analolitaka lipo ndoto yake inatimia ndani ya wiki moja tu
Warusi hawana hela ataishia kuishi maisha ya stress.
 
Hakuna kitu kama hicho halafu sijui ni kwanini watu wengi huwaza hili. FB inatengeneza pesa kupitia matangazo siyo bundle unazolipia kwa ISP
Simple question: Bila bundle unaweza kujiunga FB!?? Au: Ukiwa umejiunga bundle ukaspend time FB only, bundle haitumiki???
 
Simple question: Bila bundle unaweza kujiunga FB!?? Au: Ukiwa umejiunga bundle ukaspend time FB only, bundle haitumiki???
Mkuu naongelea kulipia moja kwa moja kwa mwenye platform. Ni sawa kwenda vituo vya afya vya serikali kwa matibabu ya mtoto ni bure na dawa wanakupa bure. Ila sasa ukianza kusema siyo bure kwakuwa unahitaji nauli kufika kule, hapo utakuwa unazungumzia jambo tofauti maana anayechukua hiyo nauli siyo pale kwenye kutuo cha afya na wala hana share kwenye nauli utakayolipa.
 
Mkuu naongelea kulipia moja kwa moja kwa mwenye platform. Ni sawa kwenda vituo vya afya vya serikali kwa matibabu ya mtoto ni bure na dawa wanakupa bure. Ila sasa ukianza kusema siyo bure kwakuwa unahitaji nauli kufika kule, hapo utakuwa unazungumzia jambo tofauti maana anayechukua hiyo nauli siyo pale kwenye kutuo cha afya na wala hana share kwenye nauli utakayolipa.
Hujajibu swali, umepuyanga madesa. Mbona watu wanapenda sana kukwepa maswali na kujibu mengi tofauti kabisa ambayo hayakuulizwa??? Pls jibu swali aisee!
 
Hujajibu swali, umepuyanga madesa. Mbona watu wanapenda sana kukwepa maswali na kujibu mengi tofauti kabisa ambayo hayakuulizwa??? Pls jibu swali aisee!
Yah ninaweza kutumia facebook bure kuchat nikiwa kwenye free wi-fi kama ya cocacola waliyokuwa wamefunga vituo vya basi, kama ile iliyofungwa UDOM chimwaga. Mimi naongelea mitandao ambayo kutuma msg hata uwe na free wi-fi unalipia. Yes bula bundle nilikuwa nikitumia facebook bure kwa free wi-fi kwa kipindi chote nilichokuwa chuo. Umeridhika?
 
Yah ninaweza kutumia facebook bure kuchat nikiwa kwenye free wi-fi kama ya cocacola waliyokuwa wamefunga vituo vya basi, kama ile iliyofungwa UDOM chimwaga. Mimi naongelea mitandao ambayo kutuma msg hata uwe na free wi-fi unalipia. Yes bula bundle nilikuwa nikitumia facebook bure kwa free wi-fi kwa kipindi chote nilichokuwa chuo. Umeridhika?
Unapotumia hiyo free Wi-Fi ya Chimwaga, bundle huwa halisomi limetumika kwenye servers za wenye mali au wafadhili wako, unapokuwa unaaccess the so-called free social media kama FB!??
 
Unapotumia hiyo free Wi-Fi ya Chimwaga, bundle huwa halisomi limetumika kwenye servers za wenye mali au wafadhili wako, unapokuwa unaaccess the so-called free social media kama FB!??
Nimetumia bure sikuwa nalipa hata cent 10. Si umeuliza kuhusu kutumia bila bundle. Nilikuwa natumia bila bundle. Na bado unaweza kutumia facebook bila bundle kupitia freebasics. Hakuna aliyekuwa ananifadhili nilikuwa natumia bundle bure..
Umeanza kuhamisha magori sasa.

Kwakukuabaharisha ni kwamba bundle unalotumia na kulipia malipo yake FB hachukui hata cent. Pesa ya Fb wanaipata kwenye matangazo na data zako hiyo ndiyo biashara. Kama hutaki kuelewa basi
 
My dear fanya kumwelezea uhalisia wa mambo asije kuomba scholarship kwendo kusoma SWEEDEN ili akapate mume badala ya kwenda kuondoa ujinga au Kusoma tu. Huenda ukamsaidia ili asije kuharibu pesa ya familia buree au wakatu mwingine kuwaingiza gharama zisizo kuwa na maana yoyote
Kiongozi Sweden kuna tatizo gani na shule za huko?
 
Nimetumia bure sikuwa nalipa hata cent 10. Si umeuliza kuhusu kutumia bila bundle. Nilikuwa natumia bila bundle. Na bado unaweza kutumia facebook bila bundle kupitia freebasics. Hakuna aliyekuwa ananifadhili nilikuwa natumia bundle bure..
Umeanza kuhamisha magori sasa.

Kwakukuabaharisha ni kwamba bundle unalotumia na kulipia malipo yake FB hachukui hata cent. Pesa ya Fb wanaipata kwenye matangazo na data zako hiyo ndiyo biashara. Kama hutaki kuelewa basi
Majibu yako yanafaa sana mahakamani kwenye uchunguzi wa kesi za jinai, kwa sababu unwittingly unadrop kitu kisichoulizwa. The proof of that ni majibu mareeeefu kama msafara wa mabehewa ya treni. Eneweiz, nimeambulia msamiati mpya wa "magori!"
 
Majibu yako yanafaa sana mahakamani kwenye uchunguzi wa kesi za jinai, kwa sababu unwittingly unadrop kitu kisichoulizwa. The proof of that ni majibu mareeeefu kama msafara wa mabehewa ya treni. Eneweiz, nimeambulia msamiati mpya wa "magori!"
Let us call it a day... Umeshinda
 
Kiongozi Sweden kuna tatizo gani na shule za huko?

Hakuna tatizo, ila tunajaribu kumsihi mama ake mdogo amshauri mwanae asije kwenda ulaya kutafuta Mwanaume wa kizungu badala ya kusoma. So nchi ya sweden haina shida
 
Back
Top Bottom