Mambo vipi JF

Mambo vipi JF

Joined
Feb 27, 2017
Posts
6
Reaction score
11
naamini mu wazima nyote,mimi ni mgeni humu na naomba ushirikiano wenu....naamini mtanipa mwongozo.asanteni
 
Aloo Mr bongo bond 255 kama hutojali tuwekee CV yako hapa au ipandishe pic ya cheti chako cha form four ili tupate kujua ktk mijadala tutakuwa tunajadiliana na mtu wa aina gani kiakili maana hii nchi tumishaingiliwa...wenye elimu halali wanadhalilishwa wenye elimu za kununua wanapeta,usahili utaanzia humu!!!isije kuwa ni wa style za Kibashite Bashite.kidding dude,you're welcome.
 
Aloo Mr bongo bond 255 kama hutojali tuwekee CV yako hapa au ipandishe pic ya cheti chako cha form four ili tupate kujua ktk mijadala tutakuwa tunajadiliana na mtu wa aina gani kiakili maana hii nchi tumishaingiliwa...wenye elimu halali wanadhalilishwa wenye elimu za kununua wanapeta,usahili utaanzia humu!!!isije kuwa ni wa style za Kibashite Bashite.kidding dude,you're welcome.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] thanks buddy
 
Back
Top Bottom