Mambo ya ajabu yaliyonifanya nikashindwa kuishi vijiji vya kanda ya Ziwa

Mambo ya ajabu yaliyonifanya nikashindwa kuishi vijiji vya kanda ya Ziwa

Kanda ya ziwa Wanaume wooote ni lazima mhudhurie pale yowe (mwano) unapopigwa.
Huko kwenu sijui ni ninyi kina mama ndio wahusika wakuu wa tukio la namna hiyo sijui lkn KIUMENI LAKE ZONE WAHUSIKA WAKUU HASA USIKU NI SISI WANAUME
Mjini ukisikia mwano inatakiwa ujifungie ukitoka nje kiboya hao wezi au majambazi wanaweza kukuua
 
Mambo mengi mbona yanafaa na mazuri tu.
Dar tunasumbuliwa na panya road kwasababu akuna umoja.

Jirani akifa sio vibaya ukishiriki mazishi yake.
Ukitembea na mke wa mtu kwa huko unapigwa faini ila kwa Dar mwenye mke anakuuwa,sijui nafuu ni ipi?

Hao ni wakulima wanajaribu kuonganisha nguvu walime,wafanye palizi kwa pamoja kwa kila shamba,mbona imeka njema sana mkuu.
Jiji a Dar waganga ni wengi,ushirikina ni hulka mbovu za watu weusi sio Tanzania tu bali nchi nyingi za Africa.
 
Namsaidia hapa baadhi ya vijiji,maana watu wanadhani kadanganya lakini baadhi ya mambo ni practical katika hizi sehemu:Geita(Mwatulole,Magogo...kupata kila baada ya nyumba tano kuna kilinge cha mganga ni common)

Sengerema(Bupandwa,Buhindi....mtu kuugua Malaria ukamkuta kwa mganga wa kienyeji ni kugusa)

Msalala(Kakola...yupo mzee wao famous kupita na maspika kuhumiza watu waende nzengo wanaita kukiwa msibani ni kugusa(kuna siku nimetoka night shift nikashangaa mlango wa chumba nlipokuwa nimepanga unagongwa naambiwa niamke nikashiriki nzengo, dah basi tu nlienda tu ile kibinadamu lakini mengi yapo hajadanganya)
 
Namsaidia hapa baadhi ya vijiji,maana watu wanadhani kadanganya lakini baadhi ya mambo ni practical katika hizi sehemu:Geita(Mwatulole,Magogo...kupata kila baada ya nyumba tano kuna kilinge cha mganga ni common)

Sengerema(Bupandwa,Buhindi....mtu kuugua Malaria ukamkuta kwa mganga wa kienyeji ni kugusa)

Msalala(Kakola...yupo mzee wao famous kupita na maspika kuhumiza watu waende nzengo wanaita kukiwa msibani ni kugusa(kuna siku nimetoka night shift nikashangaa mlango wa chumba nlipokuwa nimepanga unagongwa naambiwa niamke nikashiriki nzengo, dah basi tu nlienda tu ile kibinadamu lakini mengi yapo hajadanganya)
Mwatulole,shelabera,,nyankumbu,maeneo yangu hayo mkuu
 
Mambo mengi mbona yanafaa na mazuri tu.
Dar tunasumbuliwa na panya road kwasababu akuna umoja.

Jirani akifa sio vibaya ukishiriki mazishi yake.
Ukitembea na mke wa mtu kwa huko unapigwa faini ila kwa Dar mwenye mke anakuuwa,sijui nafuu ni ipi?

Hao ni wakulima wanajaribu kuonganisha nguvu walime,wafanye palizi kwa pamoja kwa kila shamba,mbona imeka njema sana mkuu.
Jiji a Dar waganga ni wengi,ushirikina ni hulka mbovu za watu weusi sio Tanzania tu bali nchi nyingi za Africa.
Kwa mgeni hayo mambo yanakera sana
 
Mwatulole,shelabera,,nyankumbu,maeneo yangu hayo mkuu
Nlikaa pande za Mwatulole kuna jamaa pale wanauza vifaa vya piki piki upande wa pili ilipo Waja boys.Wale jamaa wana amini ushirikina sijapata kuona, yani kila siku analetwa mganga eti kusafisha eneo(mtu asipouza siku moja kesho yake mganga analetwa, mpaka nikasema hii sasa ndio ulete habari zako sijui nlisoma biashara unafungua vitu vyako na unataka utumie principles zako za marketing and stuff,umekwisha)
 
Nlikaa pande za Mwatulole kuna jamaa pale wanauza vifaa vya piki piki upande wa pili ilipo Waja boys.Wale jamaa wana amini ushirikina sijapata kuona, yani kila siku analetwa mganga eti kusafisha eneo(mtu asipouza siku moja kesho yake mganga analetwa, mpaka nikasema hii sasa ndio ulete habari zako sijui nlisoma biashara unafungua vitu vyako na unataka utumie principles zako za marketing and stuff,umekwisha)
Mkuu umenikumbusha Mwatulole hapo nilikuwa na demu wangu nilikuwa naenda kujipigia
 
Katika harakati za kutafuta maisha niliamua kwenda kusaka maisha kanda ya ziwa,sitataja mkoa.

1. Mtu akifa katika eneo lenu kuna mtu anapita na spika kuwatangazia,kuna daftari la wananzengo kuchangia msiba ni lazima,usipochanga utadhalilishwa kwenye mkutano wa kijiji au kitongojina kulipishwa faini tofauti na mjini unaweza usijue kama mtaani kuna msiba.

2 Nilishuhudia baba akicharazwa bakora kama mwanafunzi na wazee wa kijiji kosa la kumtelekeza mke wake Hii tabia ya kucharaza bakora watu waxima ipo pia uchagani na umasaini,na kanda ya ziwa.

3 kila nyumba ina mganga wake,nilikuwa kwenye mahusiano na binti mrembo akapigiwa simu na mama yake kuwa weekend aende akampeleke kwa mganga konki amepatikana maeneo fulani.

4.Biashara ndogo hata kuuza matunda watu wanaroga.kwenye mazao ndio usiseme,bila kutumia dawa hekari nzima ya mahindi utatoa debe mbili,wanaiba mazao kimazingaombwe.

5.usiku akitokea mwizi au ntu akihisi kuibiwa itapigwa kelele watu wote muamke kuifuata hiyo kelele inaitwa mwano,usipoitikua wito faini inakuhusu..

6.kila mtu anadhani wewe ni wa kabila lao,ukifungua duka anakuja kukuongelesha kilugha chao,habari ja nero,habbbbbbbbb,ppoopp tttkjhytt,ukijibu kiswahili wanajua wewe sio mwenzao kesho hawaji kununua kwako.

7 sababu ya kijinga kabisa ni ime unatongoza nsichana hasemi kama ni mke wa mtu,mkiingia gheto au lodge anamtext mumewe unashikwa ugoni na kyoigwa faini ya maana isiyopungua laki tano,mgoni wako na mumewe wanagawana hela ,wanaendelea na maisha tao

8 Msimu wa kiangazi ndio ujinga mwingi,kila week ni mikutano ya kijiji kujadili ujinga,mara kujitolea kupalilia njia au varabara za kijijini,usipotokea faini.

Ni ujinga ujinga tu
Huku Magugu Babati nilipo kwa sasa hukuna huo ujinga
Kuna ya ukweli na uzushi plus chumvi nyingiiiiiiiiiiiiii
 
Magugu bado mchele upo ? Au na nyie mnaagiza mchele wa mbeya?
 
Back
Top Bottom