Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Kwa siyo kwa miji ya MARA. Labda kwa Chalamila sawa.Mjini ukisikia mwano inatakiwa ujifungie ukitoka nje kiboya hao wezi au majambazi wanaweza kukuua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa siyo kwa miji ya MARA. Labda kwa Chalamila sawa.Mjini ukisikia mwano inatakiwa ujifungie ukitoka nje kiboya hao wezi au majambazi wanaweza kukuua
Nipo kijijini kabisaItakuwa upo mjini
Nyongeza....1. Wazee kupenda kuoa vibinti vidogo, kuna rafiki yangu anaitwa Lubanza nikifika kwake akanitambulisha wakeze aisee nilidhani watoto wake...2. Kutokuwa na vyoo 3. Ushirikina 4. Kula vizuri migahawami) kwenye Bar 🍺 lakini nyumbani ni mwendo wa matobolwaUpo sahii izo ndo tabia za wasukuma
Kwa vijijini ni maeneo mengi sana ukabila hasa upande wa biashara Tanganyika hii unahusika sana tena sana. Hata kule kusini kuna hao Wamatengo labda biashara unayofanya kusiwepo na mwenyeji anayefanya hiyo biashara pia.Man kuna vitu anasema ni sahihi kuna pointi namba sita hii ni common kwa Wahaya na Wasukuma.Mimi ni Mhaya ntakupa mfano hai.Tulikuwa tunasali kanisa la Rumuli kuna siku kaletwa padri sijui alikuwa sio mhaya kafanya mafundisho wakati wa misa kwa kiswahili(Mbona kesho yake ilikuwa kelele kwa askofu ungekuwa mhaya ningekueleza walivyokuwa wanasema ila kifupi walisema ata sadaka wataacha kutoa maana misa haikunoga)
hahahahaaa naona umeamua kusema kinyume najua unamaanisha ameandika ukweli na ni kweli maana yote aliyoandika ni ya kweli tena kweli tupu. Na kuna mengine mengi ameyaachaUmeandika uongoo wotee
Nipo kanda hii naweza kusema mleta mada ameandika ukweli mtupu.Umeandika uongoo wotee
We magogo unaijua ya juzi tu mimi nimekaa pale 2021 waganga walikuwa wengi kuzidi wakazi.Mitaa ambayo wamejenga Royal kuna sehemu kabla ya kufika kule inaitwa Igembesabo ni waganga watupu sema baada ya watu kuanza ujenzi kwa kasi naona waganga kidogo kidogo wanafunga vilinge vyaoaliesema shilabela kadanganya shilabela ni ka mtaa kenye pilika pilika nyingi kwa geita mambo ya kishamba shilabela hapo uongo na kuhusu magogo napo ni uongo maana ule ni mtaa mpya na wakishua haswa huwezi kukuta hivyo vituko
Unapajua 14 Kambarage wewe? Shilabela barabarani hapo wewe ndio unaongelea ingia ndani ndani huko uone.aliesema shilabela kadanganya shilabela ni ka mtaa kenye pilika pilika nyingi kwa geita mambo ya kishamba shilabela hapo uongo na kuhusu magogo napo ni uongo maana ule ni mtaa mpya na wakishua haswa huwezi kukuta hivyo vituko
Msilazimishe kila mtu ambaye sio wa kwenu kufuata mila zenu za kishamba watu wamekuja na mishe zao nyie mnawaletea upuuzi wenu wa huko unafikiri kila mtu mshirikina kama nyieUmeandika uongo mwingi sana labda utaje ulikuwa kanda ya ziwa mwaka 1980.
Sasa upigwe mwano wewe umelala tu ndani unaona ni sawa?
Faini itakuhusu tu!
Hii bado ipo huko Geita karibu maeneo yote ya mkoa huoKuna vitu kasema ni sawa.Kama hiki cha kwanza usukumani maeneo mengi wanafanya hivyo(Mfano hai KAKOLA kuna mzee alikuwa akipita na baiskeli na kipaza sauti ukitokea msiba hadi unatolewa usingizini ukiwa umelala mpaka ufike nzengo wanaita kama ni nzengo yenu)
Uko sahihi kabisa, huo mkoa una mambo mengi ya kushangazaVingine sio vijijini mfano Geita(sasa hivi ni manispaa kama sijakosea).Nadhani kila baada ya nyumba tano utapata nyumba moja ni ya mganga wa kienyeji nimekaa pale mpaka nikawa nawauliza hii ni town au ni kijiji bado mbona mnakuwa na mambo ya kiswahili sana
Maeneo maarufu sana, bila kuyafikia hayo ni kama hujafika Geita mjiniMwatulole,shelabera,,nyankumbu,maeneo yangu hayo mkuu
Yuko sahihi ila sio kanda ya ziwa yote, ni kwa jamii ya wasukuma ndo wana mambo hayo, nimeishi Mwanza na Geita muda mrefu yote aliyoyaandika nimeyashuhudiaMbona mi mwenyewe nipo lakezone hayo mambo hamna kabisa,mleta mada apuuzwe
Ha ha uko sahihi misa /ibada za kihaya zina vibe yake na ndo zilizozoeleka, kwa asiye muhaya lazima apate ugumu kuelewaMan kuna vitu anasema ni sahihi kuna pointi namba sita hii ni common kwa Wahaya na Wasukuma.Mimi ni Mhaya ntakupa mfano hai.Tulikuwa tunasali kanisa la Rumuli kuna siku kaletwa padri sijui alikuwa sio mhaya kafanya mafundisho wakati wa misa kwa kiswahili(Mbona kesho yake ilikuwa kelele kwa askofu ungekuwa mhaya ningekueleza walivyokuwa wanasema ila kifupi walisema ata sadaka wataacha kutoa maana misa haikunoga)
Mi nshawahi changishwa mchango wa ujenzi wa kisima, niligoma kwa kuwaambia wananzengo kuwa mi ni mlipa kodi hawakunielewa hadi mtendaji wa kata akaingilia kati kusuluhisha.kuishi usukumani ni kipengeleHiyo ya kulima barabara niliwahi kukutana nayo jamaa ananiletea habari eti tunatakiwa tukatengeneze barabara nilimletea noma kichizi yani nikamwambia hilo ni jukumu langu au la serekali?
Yani mi nilipe kodi na bado nikalime barabara? Nikamuuliza we mwenyekiti kazi yako ni nini? Mi niache majukumu yangu ya kukuza uchumi wangu binafsi ambayo ndani yake nalipa kodi niende nikachimbe barabara gharama zangu za maisha za siku hiyo utazilipia wewe? Au kuna posho mnalipa ili nije?
Nilimzingua kinoma yan kwanza sehem yenyewe nilikua naishi kibachela tu sina mke wala nini sikua na hofu kwamba nikizingua inaweza kumuathiri mtu mwingine
Umeongea pointYuko sahihi ila sio kanda ya ziwa yote, ni kwa jamii ya wasukuma ndo wana mambo hayo, nimeishi Mwanza na Geita muda mrefu yote aliyoyaandika nimeyashuhudia