FUTURE PLAN
Senior Member
- Jun 11, 2023
- 186
- 212
We bro Punguza uingo Magogo ni Mji Mpya umepangwa na kupimwa 2014 ,2015 na ndipo zilipohamishiwa ofisi kubwa kubwa zote, Awali palikua ni pori la Akiba hapakuwa na Maisha ya watu we unazungumzia Magogo ipi?We magogo unaijua ya juzi tu mimi nimekaa pale 2021 waganga walikuwa wengi kuzidi wakazi.Mitaa ambayo wamejenga Royal kuna sehemu kabla ya kufika kule inaitwa Igembesabo ni waganga watupu sema baada ya watu kuanza ujenzi kwa kasi naona waganga kidogo kidogo wanafunga vilinge vyao
Huu mbona ni ustaarabu tu kama ulivyoustaarabu Mwingine au Mpaka afanye Mzungu au Mwarabu? Binafsi Sioni shida Labda hivyo vipengele vya WagangaKatika harakati za kutafuta maisha niliamua kwenda kusaka maisha kanda ya ziwa,sitataja mkoa.
1. Mtu akifa katika eneo lenu kuna mtu anapita na spika kuwatangazia,kuna daftari la wananzengo kuchangia msiba ni lazima,usipochanga utadhalilishwa kwenye mkutano wa kijiji au kitongojina kulipishwa faini tofauti na mjini unaweza usijue kama mtaani kuna msiba.
2 Nilishuhudia baba akicharazwa bakora kama mwanafunzi na wazee wa kijiji kosa la kumtelekeza mke wake Hii tabia ya kucharaza bakora watu waxima ipo pia uchagani na umasaini,na kanda ya ziwa.
3 kila nyumba ina mganga wake,nilikuwa kwenye mahusiano na binti mrembo akapigiwa simu na mama yake kuwa weekend aende akampeleke kwa mganga konki amepatikana maeneo fulani.
4.Biashara ndogo hata kuuza matunda watu wanaroga.kwenye mazao ndio usiseme,bila kutumia dawa hekari nzima ya mahindi utatoa debe mbili,wanaiba mazao kimazingaombwe.
5.usiku akitokea mwizi au ntu akihisi kuibiwa itapigwa kelele watu wote muamke kuifuata hiyo kelele inaitwa mwano,usipoitikua wito faini inakuhusu..
6.kila mtu anadhani wewe ni wa kabila lao,ukifungua duka anakuja kukuongelesha kilugha chao,habari ja nero,habbbbbbbbb,ppoopp tttkjhytt,ukijibu kiswahili wanajua wewe sio mwenzao kesho hawaji kununua kwako.
7 sababu ya kijinga kabisa ni ime unatongoza nsichana hasemi kama ni mke wa mtu,mkiingia gheto au lodge anamtext mumewe unashikwa ugoni na kyoigwa faini ya maana isiyopungua laki tano,mgoni wako na mumewe wanagawana hela ,wanaendelea na maisha tao
8 Msimu wa kiangazi ndio ujinga mwingi,kila week ni mikutano ya kijiji kujadili ujinga,mara kujitolea kupalilia njia au varabara za kijijini,usipotokea faini.
Ni ujinga ujinga tu
Huku Magugu Babati nilipo kwa sasa hukuna huo ujinga
unaelewa ulichoandika lakini?Unajua Royal sec ilipo?(Huo mtaa unaitwaje?).Igembesabo ipo Magogo haipo?We unaongelea Magogo ya kwenda Kasamwa wakati kuna upande huu wa pili opposite na Waja spring.Geita naijua vizuri kupita mpaka wazawa nimekaa Magogo kukiwa bado vichakani hadi umeme hujafika.Igembesabo ikiwa bado na kioski kile kimoja tuWe bro Punguza uingo Magogo ni Mji Mpya umepangwa na kupimwa 2014 ,2015 na ndipo zilipohamishiwa ofisi kubwa kubwa zote, Awali palikua ni pori la Akiba hapakuwa na Maisha ya watu we unazungumzia Magogo ipi?
Kwahiyo Ukianzia hiyo Tambukareli, Shilabela,Bombambili, Mwatulole, Magogo, Buhalahala, n.k ndio baada ya Nyumba mbili unakutana na Mganga?unaelewa ulichoandika lakini?Unajua Royal sec ilipo?(Huo mtaa unaitwaje?).Igembesabo ipo Magogo haipo?We unaongelea Magogo ya kwenda Kasamwa wakati kuna upande huu wa pili opposite na Waja spring.Geita naijua vizuri kupita mpaka wazawa nimekaa Magogo kukiwa bado vichakani hadi umeme hujafika.Igembesabo ikiwa bado na kioski kile kimoja tu
Mimi nΓ chojua Geita Kila baada ya Nyumba tano kuna Mtingaji, Wale wachimbaji wadogowadogo unamkuta na Kalai lake anapambana kuosha Mchanga hususani Mitaa ya Nyankumbu, Nyantorontoro, Mpomvu, Samina huko.Vingine sio vijijini mfano Geita(sasa hivi ni manispaa kama sijakosea).Nadhani kila baada ya nyumba tano utapata nyumba moja ni ya mganga wa kienyeji nimekaa pale mpaka nikawa nawauliza hii ni town au ni kijiji bado mbona mnakuwa na mambo ya kiswahili sana
Kwanza sio kila baada ya nyumba mbili.Magogo ya mwanzo walikuwa wanakaa waganga watupu(nimetengua kauli).Mwatulole ndio kila baada ya nyumba mbili.Hizo nyingine ndio sitaki kutoa data maana study nliyofanya kwenye hizo sehemu ilinichosha ikabidi ni draw hiyo conclusion.Kwahiyo Ukianzia hiyo Tambukareli, Shilabela,Bombambili, Mwatulole, Magogo, Buhalahala, n.k ndio baada ya Nyumba mbili unakutana na Mganga?
Haya bwana Seth saint Kwamba Mwatulole kila baada ya Nyumba mbili kuna Mganga na Magogo yote Imejaa Waganga, Uongo huu unakuongezea nini Gentleman?Kwanza sio kila baada ya nyumba mbili.Magogo ya mwanzo walikuwa wanakaa waganga watupu(nimetengua kauli).Mwatulole ndio kila baada ya nyumba mbili.Hizo nyingine ndio sitaki kutoa data maana study nliyofanya kwenye hizo sehemu ilinichosha ikabidi ni draw hiyo conclusion.
Sema kwanini mnapenda kuamini uganga kupita kitu chochote kile?(kwamba unawapa matokeo ya haraka? Ni sehemu ya utamaduni wenu? Ni kukosa njia mbadala za kutatua changamoto za kimaisha? Ni sababu gani mpaka mji mzima unageuzwa hivyo)
Sijui kama kuna eneo lolote linalofanana na haya mauongo yaliyoandikwa hapa. Ushindwe na ulegee.Katika harakati za kutafuta maisha niliamua kwenda kusaka maisha kanda ya ziwa,sitataja mkoa.
1. Mtu akifa katika eneo lenu kuna mtu anapita na spika kuwatangazia,kuna daftari la wananzengo kuchangia msiba ni lazima,usipochanga utadhalilishwa kwenye mkutano wa kijiji au kitongojina kulipishwa faini tofauti na mjini unaweza usijue kama mtaani kuna msiba.
2 Nilishuhudia baba akicharazwa bakora kama mwanafunzi na wazee wa kijiji kosa la kumtelekeza mke wake Hii tabia ya kucharaza bakora watu waxima ipo pia uchagani na umasaini,na kanda ya ziwa.
3 kila nyumba ina mganga wake,nilikuwa kwenye mahusiano na binti mrembo akapigiwa simu na mama yake kuwa weekend aende akampeleke kwa mganga konki amepatikana maeneo fulani.
4.Biashara ndogo hata kuuza matunda watu wanaroga.kwenye mazao ndio usiseme,bila kutumia dawa hekari nzima ya mahindi utatoa debe mbili,wanaiba mazao kimazingaombwe.
5.usiku akitokea mwizi au ntu akihisi kuibiwa itapigwa kelele watu wote muamke kuifuata hiyo kelele inaitwa mwano,usipoitikua wito faini inakuhusu..
6.kila mtu anadhani wewe ni wa kabila lao,ukifungua duka anakuja kukuongelesha kilugha chao,habari ja nero,habbbbbbbbb,ppoopp tttkjhytt,ukijibu kiswahili wanajua wewe sio mwenzao kesho hawaji kununua kwako.
7 sababu ya kijinga kabisa ni ime unatongoza nsichana hasemi kama ni mke wa mtu,mkiingia gheto au lodge anamtext mumewe unashikwa ugoni na kyoigwa faini ya maana isiyopungua laki tano,mgoni wako na mumewe wanagawana hela ,wanaendelea na maisha tao
8 Msimu wa kiangazi ndio ujinga mwingi,kila week ni mikutano ya kijiji kujadili ujinga,mara kujitolea kupalilia njia au varabara za kijijini,usipotokea faini.
Ni ujinga ujinga tu
Huku Magugu Babati nilipo kwa sasa hukuna huo ujinga
Kumbe Geita unajua tu kutaja majina ya sehemu tu basi.Sasa mimi nimekaa na juzi nimetoka Magogo hiyo nayokueleza.Sasa nakupa ukweli wa hiki nachosema.Ukiacha barabara ya lami kupanda na hii ya vumbi kwenda Igembesabo kuna nyumba tatu mkono wa kulia inayofuatia ni kilinge cha mganga,ukapanda juu kidogo kupita kanisa la rastafarian juu yake kuna kilinge pia,ukifika Igembesabo center chukua njia ya kanisa la EAGT nenda nyumba nne mbele kilinge. Hapa vingapi?(nimefupisha tu hapa),bado ukienda na hiyo njia kabla ya kufika hili eneo ambalo bado lipo chini ya maliasili huko sasa ndiko kuna makazi yao kabisaHaya bro Mtu pekee u
Haya bwana Seth saint Kwamba Mwatulole kila baada ya Nyumba mbili kuna Mganga na Magogo yote Imejaa Waganga, Uongo huu unakuongezea nini Gentleman?
Me huko siendi hata kwa sawa.. me nacheza na town tuEmbu taja mkoa na ivyo vijiji ili tusije tukayabanyanga
... halafu kazi kubwa ya waganga wa Geita ni kuagua mambo ya utajiri wa dhahabu, ... yaani ni mwendo wa makafara kwenda mbele! ... Raia chunga mtoto wako, usijesema hujaambiwa!Vingine sio vijijini mfano Geita(sasa hivi ni manispaa kama sijakosea).Nadhani kila baada ya nyumba tano utapata nyumba moja ni ya mganga wa kienyeji nimekaa pale mpaka nikawa nawauliza hii ni town au ni kijiji bado mbona mnakuwa na mambo ya kiswahili sana
... tena wanatangaza haraka'haraka hata mtu husikii vizuri, wakati mwingine TV nayo ukute imekukeep busy halafu usiende 'UIPANDIKE'!Msiba kweli wanapita kutangaza
.Katika harakati za kutafuta maisha niliamua kwenda kusaka maisha kanda ya ziwa,sitataja mkoa.
1. Mtu akifa katika eneo lenu kuna mtu anapita na spika kuwatangazia,kuna daftari la wananzengo kuchangia msiba ni lazima,usipochanga utadhalilishwa kwenye mkutano wa kijiji au kitongojina kulipishwa faini tofauti na mjini unaweza usijue kama mtaani kuna msiba.
2 Nilishuhudia baba akicharazwa bakora kama mwanafunzi na wazee wa kijiji kosa la kumtelekeza mke wake Hii tabia ya kucharaza bakora watu waxima ipo pia uchagani na umasaini,na kanda ya ziwa.
3 kila nyumba ina mganga wake,nilikuwa kwenye mahusiano na binti mrembo akapigiwa simu na mama yake kuwa weekend aende akampeleke kwa mganga konki amepatikana maeneo fulani.
4.Biashara ndogo hata kuuza matunda watu wanaroga.kwenye mazao ndio usiseme,bila kutumia dawa hekari nzima ya mahindi utatoa debe mbili,wanaiba mazao kimazingaombwe.
5.usiku akitokea mwizi au ntu akihisi kuibiwa itapigwa kelele watu wote muamke kuifuata hiyo kelele inaitwa mwano,usipoitikua wito faini inakuhusu..
6.kila mtu anadhani wewe ni wa kabila lao,ukifungua duka anakuja kukuongelesha kilugha chao,habari ja nero,habbbbbbbbb,ppoopp tttkjhytt,ukijibu kiswahili wanajua wewe sio mwenzao kesho hawaji kununua kwako.
7 sababu ya kijinga kabisa ni ime unatongoza nsichana hasemi kama ni mke wa mtu,mkiingia gheto au lodge anamtext mumewe unashikwa ugoni na kyoigwa faini ya maana isiyopungua laki tano,mgoni wako na mumewe wanagawana hela ,wanaendelea na maisha tao
8 Msimu wa kiangazi ndio ujinga mwingi,kila week ni mikutano ya kijiji kujadili ujinga,mara kujitolea kupalilia njia au varabara za kijijini,usipotokea faini.
Ni ujinga ujinga tu
Huku Magugu Babati nilipo kwa sasa hukuna huo ujinga