Mambo ya ajabu yaliyonifanya nikashindwa kuishi vijiji vya kanda ya Ziwa

Mambo ya ajabu yaliyonifanya nikashindwa kuishi vijiji vya kanda ya Ziwa

We magogo unaijua ya juzi tu mimi nimekaa pale 2021 waganga walikuwa wengi kuzidi wakazi.Mitaa ambayo wamejenga Royal kuna sehemu kabla ya kufika kule inaitwa Igembesabo ni waganga watupu sema baada ya watu kuanza ujenzi kwa kasi naona waganga kidogo kidogo wanafunga vilinge vyao
We bro Punguza uingo Magogo ni Mji Mpya umepangwa na kupimwa 2014 ,2015 na ndipo zilipohamishiwa ofisi kubwa kubwa zote, Awali palikua ni pori la Akiba hapakuwa na Maisha ya watu we unazungumzia Magogo ipi?
 
Katika harakati za kutafuta maisha niliamua kwenda kusaka maisha kanda ya ziwa,sitataja mkoa.

1. Mtu akifa katika eneo lenu kuna mtu anapita na spika kuwatangazia,kuna daftari la wananzengo kuchangia msiba ni lazima,usipochanga utadhalilishwa kwenye mkutano wa kijiji au kitongojina kulipishwa faini tofauti na mjini unaweza usijue kama mtaani kuna msiba.

2 Nilishuhudia baba akicharazwa bakora kama mwanafunzi na wazee wa kijiji kosa la kumtelekeza mke wake Hii tabia ya kucharaza bakora watu waxima ipo pia uchagani na umasaini,na kanda ya ziwa.

3 kila nyumba ina mganga wake,nilikuwa kwenye mahusiano na binti mrembo akapigiwa simu na mama yake kuwa weekend aende akampeleke kwa mganga konki amepatikana maeneo fulani.

4.Biashara ndogo hata kuuza matunda watu wanaroga.kwenye mazao ndio usiseme,bila kutumia dawa hekari nzima ya mahindi utatoa debe mbili,wanaiba mazao kimazingaombwe.

5.usiku akitokea mwizi au ntu akihisi kuibiwa itapigwa kelele watu wote muamke kuifuata hiyo kelele inaitwa mwano,usipoitikua wito faini inakuhusu..

6.kila mtu anadhani wewe ni wa kabila lao,ukifungua duka anakuja kukuongelesha kilugha chao,habari ja nero,habbbbbbbbb,ppoopp tttkjhytt,ukijibu kiswahili wanajua wewe sio mwenzao kesho hawaji kununua kwako.

7 sababu ya kijinga kabisa ni ime unatongoza nsichana hasemi kama ni mke wa mtu,mkiingia gheto au lodge anamtext mumewe unashikwa ugoni na kyoigwa faini ya maana isiyopungua laki tano,mgoni wako na mumewe wanagawana hela ,wanaendelea na maisha tao

8 Msimu wa kiangazi ndio ujinga mwingi,kila week ni mikutano ya kijiji kujadili ujinga,mara kujitolea kupalilia njia au varabara za kijijini,usipotokea faini.

Ni ujinga ujinga tu
Huku Magugu Babati nilipo kwa sasa hukuna huo ujinga
Huu mbona ni ustaarabu tu kama ulivyoustaarabu Mwingine au Mpaka afanye Mzungu au Mwarabu? Binafsi Sioni shida Labda hivyo vipengele vya Waganga
 
We bro Punguza uingo Magogo ni Mji Mpya umepangwa na kupimwa 2014 ,2015 na ndipo zilipohamishiwa ofisi kubwa kubwa zote, Awali palikua ni pori la Akiba hapakuwa na Maisha ya watu we unazungumzia Magogo ipi?
unaelewa ulichoandika lakini?Unajua Royal sec ilipo?(Huo mtaa unaitwaje?).Igembesabo ipo Magogo haipo?We unaongelea Magogo ya kwenda Kasamwa wakati kuna upande huu wa pili opposite na Waja spring.Geita naijua vizuri kupita mpaka wazawa nimekaa Magogo kukiwa bado vichakani hadi umeme hujafika.Igembesabo ikiwa bado na kioski kile kimoja tu
 
unaelewa ulichoandika lakini?Unajua Royal sec ilipo?(Huo mtaa unaitwaje?).Igembesabo ipo Magogo haipo?We unaongelea Magogo ya kwenda Kasamwa wakati kuna upande huu wa pili opposite na Waja spring.Geita naijua vizuri kupita mpaka wazawa nimekaa Magogo kukiwa bado vichakani hadi umeme hujafika.Igembesabo ikiwa bado na kioski kile kimoja tu
Kwahiyo Ukianzia hiyo Tambukareli, Shilabela,Bombambili, Mwatulole, Magogo, Buhalahala, n.k ndio baada ya Nyumba mbili unakutana na Mganga?
 
Vingine sio vijijini mfano Geita(sasa hivi ni manispaa kama sijakosea).Nadhani kila baada ya nyumba tano utapata nyumba moja ni ya mganga wa kienyeji nimekaa pale mpaka nikawa nawauliza hii ni town au ni kijiji bado mbona mnakuwa na mambo ya kiswahili sana
Mimi nàchojua Geita Kila baada ya Nyumba tano kuna Mtingaji, Wale wachimbaji wadogowadogo unamkuta na Kalai lake anapambana kuosha Mchanga hususani Mitaa ya Nyankumbu, Nyantorontoro, Mpomvu, Samina huko.
 
Kwahiyo Ukianzia hiyo Tambukareli, Shilabela,Bombambili, Mwatulole, Magogo, Buhalahala, n.k ndio baada ya Nyumba mbili unakutana na Mganga?
Kwanza sio kila baada ya nyumba mbili.Magogo ya mwanzo walikuwa wanakaa waganga watupu(nimetengua kauli).Mwatulole ndio kila baada ya nyumba mbili.Hizo nyingine ndio sitaki kutoa data maana study nliyofanya kwenye hizo sehemu ilinichosha ikabidi ni draw hiyo conclusion.

Sema kwanini mnapenda kuamini uganga kupita kitu chochote kile?(kwamba unawapa matokeo ya haraka? Ni sehemu ya utamaduni wenu? Ni kukosa njia mbadala za kutatua changamoto za kimaisha? Ni sababu gani mpaka mji mzima unageuzwa hivyo)
 
Ukanda wa tabora ,shinyanga na mwanza huo upuuzi mwingi wengine ata akifumania na mke wake umesha mkula tayari et unapigwa neno moja linaitwa masumule then msela anachukua mke wake wanaendelea kuishi frsh tu hawa wajomba cjui wapoje
 
Haya bro Mtu pekee u
Kwanza sio kila baada ya nyumba mbili.Magogo ya mwanzo walikuwa wanakaa waganga watupu(nimetengua kauli).Mwatulole ndio kila baada ya nyumba mbili.Hizo nyingine ndio sitaki kutoa data maana study nliyofanya kwenye hizo sehemu ilinichosha ikabidi ni draw hiyo conclusion.

Sema kwanini mnapenda kuamini uganga kupita kitu chochote kile?(kwamba unawapa matokeo ya haraka? Ni sehemu ya utamaduni wenu? Ni kukosa njia mbadala za kutatua changamoto za kimaisha? Ni sababu gani mpaka mji mzima unageuzwa hivyo)
Haya bwana Seth saint Kwamba Mwatulole kila baada ya Nyumba mbili kuna Mganga na Magogo yote Imejaa Waganga, Uongo huu unakuongezea nini Gentleman?
 
Sema kwanini mnapenda kuamini uganga kupita kitu chochote kile?(kwamba unawapa matokeo ya haraka? Ni sehemu ya utamaduni wenu? Ni kukosa njia mbadala za kutatua changamoto za kimaisha? Ni sababu gani mpaka mji mzima unageuzwa hivyo)
[/QUOTE]
Kwanza Sijapinga Tafiti yako ya waganga Maana sijawahi kuifanya hiyo Tafiti ninachopinga ni wewe kusema Shilabela, Mwatulole, Magogo , Nyankumbu eti kila baada ya Nyumba tano kuna Mganga wa Kienyeji Waliopo Geita Wanaweza kutusaidia, Miongoni mwa Mitaa iliyochanganya na kuchanganya hapo Geita ni hiyo, Nakuhakikishia kupata tu kiwanja hapo Shilabela si jambo jepesi, Hiyo Mwatulole unaweza pata ila kwa Mbinde, hapo Magogo watu wa Geita wanapafahamu wanaweza kutusaidia.
 
Katika harakati za kutafuta maisha niliamua kwenda kusaka maisha kanda ya ziwa,sitataja mkoa.

1. Mtu akifa katika eneo lenu kuna mtu anapita na spika kuwatangazia,kuna daftari la wananzengo kuchangia msiba ni lazima,usipochanga utadhalilishwa kwenye mkutano wa kijiji au kitongojina kulipishwa faini tofauti na mjini unaweza usijue kama mtaani kuna msiba.

2 Nilishuhudia baba akicharazwa bakora kama mwanafunzi na wazee wa kijiji kosa la kumtelekeza mke wake Hii tabia ya kucharaza bakora watu waxima ipo pia uchagani na umasaini,na kanda ya ziwa.

3 kila nyumba ina mganga wake,nilikuwa kwenye mahusiano na binti mrembo akapigiwa simu na mama yake kuwa weekend aende akampeleke kwa mganga konki amepatikana maeneo fulani.

4.Biashara ndogo hata kuuza matunda watu wanaroga.kwenye mazao ndio usiseme,bila kutumia dawa hekari nzima ya mahindi utatoa debe mbili,wanaiba mazao kimazingaombwe.

5.usiku akitokea mwizi au ntu akihisi kuibiwa itapigwa kelele watu wote muamke kuifuata hiyo kelele inaitwa mwano,usipoitikua wito faini inakuhusu..

6.kila mtu anadhani wewe ni wa kabila lao,ukifungua duka anakuja kukuongelesha kilugha chao,habari ja nero,habbbbbbbbb,ppoopp tttkjhytt,ukijibu kiswahili wanajua wewe sio mwenzao kesho hawaji kununua kwako.

7 sababu ya kijinga kabisa ni ime unatongoza nsichana hasemi kama ni mke wa mtu,mkiingia gheto au lodge anamtext mumewe unashikwa ugoni na kyoigwa faini ya maana isiyopungua laki tano,mgoni wako na mumewe wanagawana hela ,wanaendelea na maisha tao

8 Msimu wa kiangazi ndio ujinga mwingi,kila week ni mikutano ya kijiji kujadili ujinga,mara kujitolea kupalilia njia au varabara za kijijini,usipotokea faini.

Ni ujinga ujinga tu
Huku Magugu Babati nilipo kwa sasa hukuna huo ujinga
Sijui kama kuna eneo lolote linalofanana na haya mauongo yaliyoandikwa hapa. Ushindwe na ulegee.
 
Haya bro Mtu pekee u
Haya bwana Seth saint Kwamba Mwatulole kila baada ya Nyumba mbili kuna Mganga na Magogo yote Imejaa Waganga, Uongo huu unakuongezea nini Gentleman?
Kumbe Geita unajua tu kutaja majina ya sehemu tu basi.Sasa mimi nimekaa na juzi nimetoka Magogo hiyo nayokueleza.Sasa nakupa ukweli wa hiki nachosema.Ukiacha barabara ya lami kupanda na hii ya vumbi kwenda Igembesabo kuna nyumba tatu mkono wa kulia inayofuatia ni kilinge cha mganga,ukapanda juu kidogo kupita kanisa la rastafarian juu yake kuna kilinge pia,ukifika Igembesabo center chukua njia ya kanisa la EAGT nenda nyumba nne mbele kilinge. Hapa vingapi?(nimefupisha tu hapa),bado ukienda na hiyo njia kabla ya kufika hili eneo ambalo bado lipo chini ya maliasili huko sasa ndiko kuna makazi yao kabisa
 
Yaani mtu umeishi kijijini ndani ndani unalaumu kanda yote ya ziwa
View attachment 3215001
1738138526900.png
1738140417917.png
 
Vingine sio vijijini mfano Geita(sasa hivi ni manispaa kama sijakosea).Nadhani kila baada ya nyumba tano utapata nyumba moja ni ya mganga wa kienyeji nimekaa pale mpaka nikawa nawauliza hii ni town au ni kijiji bado mbona mnakuwa na mambo ya kiswahili sana
... halafu kazi kubwa ya waganga wa Geita ni kuagua mambo ya utajiri wa dhahabu, ... yaani ni mwendo wa makafara kwenda mbele! ... Raia chunga mtoto wako, usijesema hujaambiwa!
:AweeWoo: :AweeWoo: :AweeWoo: 😅
 
Utaratibu wa watu wa vijijini ni tofauti, wale ni jamii moja zaidi ya watu wanaofahamiana.. Lakini siyo utaratibu kwenye inayoinukia.... Kuna ndugu zangu wengi wako maeneo ya Geita na maeneo mengine ya miji midogo yenye watu kama elfu au zaidi maisha ni mazuri , wanafanya biashara na zinaenda vizuri .. Ukienda kijijini lazima ufuate taratibu zao
 
Katika harakati za kutafuta maisha niliamua kwenda kusaka maisha kanda ya ziwa,sitataja mkoa.

1. Mtu akifa katika eneo lenu kuna mtu anapita na spika kuwatangazia,kuna daftari la wananzengo kuchangia msiba ni lazima,usipochanga utadhalilishwa kwenye mkutano wa kijiji au kitongojina kulipishwa faini tofauti na mjini unaweza usijue kama mtaani kuna msiba.

2 Nilishuhudia baba akicharazwa bakora kama mwanafunzi na wazee wa kijiji kosa la kumtelekeza mke wake Hii tabia ya kucharaza bakora watu waxima ipo pia uchagani na umasaini,na kanda ya ziwa.

3 kila nyumba ina mganga wake,nilikuwa kwenye mahusiano na binti mrembo akapigiwa simu na mama yake kuwa weekend aende akampeleke kwa mganga konki amepatikana maeneo fulani.

4.Biashara ndogo hata kuuza matunda watu wanaroga.kwenye mazao ndio usiseme,bila kutumia dawa hekari nzima ya mahindi utatoa debe mbili,wanaiba mazao kimazingaombwe.

5.usiku akitokea mwizi au ntu akihisi kuibiwa itapigwa kelele watu wote muamke kuifuata hiyo kelele inaitwa mwano,usipoitikua wito faini inakuhusu..

6.kila mtu anadhani wewe ni wa kabila lao,ukifungua duka anakuja kukuongelesha kilugha chao,habari ja nero,habbbbbbbbb,ppoopp tttkjhytt,ukijibu kiswahili wanajua wewe sio mwenzao kesho hawaji kununua kwako.

7 sababu ya kijinga kabisa ni ime unatongoza nsichana hasemi kama ni mke wa mtu,mkiingia gheto au lodge anamtext mumewe unashikwa ugoni na kyoigwa faini ya maana isiyopungua laki tano,mgoni wako na mumewe wanagawana hela ,wanaendelea na maisha tao

8 Msimu wa kiangazi ndio ujinga mwingi,kila week ni mikutano ya kijiji kujadili ujinga,mara kujitolea kupalilia njia au varabara za kijijini,usipotokea faini.

Ni ujinga ujinga tu
Huku Magugu Babati nilipo kwa sasa hukuna huo ujinga
.
.
9 Unarushiwa kakombola kadogo, kukupima, ukikashusha jiandae na msururu wa ORESHNIK! ... HAO JAMAA WACHAWI AISEE!
:AweeWoo: :AweeWoo: :AweeWoo: 😅
 
Back
Top Bottom