residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Ni ujuha na upumbavu wa hali ya juu kufunga daraja,kivuko au barabara kwa shughuli ya kipuuzi iliyopangwa muda mrefu bila kutoa taarifa kwa umma kabla.zingatia sababu ya yote hayo sio kulaumu na kulalamika tu 🐒
lazima tuwe wazalendo na kuheshimu masula ya kitaifa. Ni muhimu sana hilo 🐒