Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bichi gani iyo?Watoto wa kuanzia 14yrs wana mambo mengi mno..
Kuna beach moja nilienda..
Wanavuta bangi anaingia kwenye kachanging room anapigwa kimoja anatoka...wanaingia kwa zamu..
Nikajiuliza wazazi wanajua kweli!!
Beach gani??Watoto wa kuanzia 14yrs wana mambo mengi mno..
Kuna beach moja nilienda..
Wanavuta bangi anaingia kwenye kachanging room anapigwa kimoja anatoka...wanaingia kwa zamu..
Nikajiuliza wazazi wanajua kweli!!
Nadhani ni Mikadi kama sijasahau jina ipo KigamboniBichi gani iyo?
Mikadi [emoji848]Beach gani??
Naijua hiyo...sema wanakujaga sana watoto wa olevel pale..Tena wanakodi costa kabisa wanakuja naloNadhani ni Mikadi kama sijasahau jina ipo Kigamboni
Mikadi ni beach ya watoto wa uswazi..Mikadi [emoji848]
Ngoja niweke nafasi ya kuja kujibu kiingereza...
Au ngoja nianze!
"You knoo hao tins, wanaexpand then wanavyo eat na kudone wana fuse ile hali ya ku contiradict na mother zao! So ukiwa promote in the square ndio inakuwa diameter, ofcose huwa i givu break to surrenda in mingos.... nitaendelea
Chagua moja kuandika kiswahili au kiingereza unavyochanganya lugha mbili, unachosha watu kukuelewa ulichoandikaParents be very careful with your children indent know how you are going to do it but I finished form 6 bootcamp last week.
Yaani teens parties nowadays cake zinapikwa na maji ya bangi, wengine wana diffuser wanaweka bangi sijui hata wanafanyeje, wengine biscuit na punch so watoto wanaenda part wenyewe wanasema party ndo inachangamka na bangi sio kama pombe, that bangi makes you feel mellow.
A lot is going on in our teens life, me I didn't know kama kuna social media ambazo unapiga picha za utupu then watu to see wanalipia, so a lot of teens wanafanya hayo.
Plus so many sijajua ni hizi shule za kizungu but they take homesexual thing as normal and they support.
If you have a teenage boy or girl usiishie kumuuliza tu una girl friend or boyfriend if she/he says no ASK WHY? one parent her teenage daughter akamuuliza about boyfriend akasema sina na mama wa strictly, so she was taking he r daughter herself to her friends party she was comfortable because she had no boyfriend only to find out she is a lesbian.
Another teenage of 14 years, mwalimu wa kike anamfundisha akikuuliza swali anatetemeka kujibu, mwalimu kwakuwa ni wale fair teacher akashangaa akasema aulize walimu wenzie wakamwambia Sisi kwetu yuko okay, one day anasahihisha homework the girl wrote to her teacher that she has feelings for her that's why she could not be herself, luckily enough mwalimu was God fearing mama mtu kuambiwa kidogo azimie, and thank God she was a day scholars what if she was in boarding and find a person who has the same interest with her, case ingekuwa imeisha.
It's not business and I know this is not a platform but I believe we all working hard for our kids so let's be cautious
Kumbe na we umeliona ilo vitu alivyoviandika vinachosha ubongo kuvielewa, angetumia lugha moja tu, au ndo wa kishua mboga 9Mkuu kumbe
Ila haibadilishi kwamba ni Teens na wanayoyafanya siyo sawa kwa umri waoMikadi ni beach ya watoto wa uswazi..
Mainly wanatoka Mbagala
Wengi hata shule sijui kama wanasoma..
Wanaendaga na mabasi na makelele
Na bodaboda wamepanda watu sita..
Wengi hufa barabarani pia
Nakumbuka Dada yangu sky aliwahi kuzungumzia habari ya malezi na kijana wake..
Wanaoingia kwenye drugs na homosexual watabakia salama?Wengi wetu humu tulivyokuwa teens tumefanya vioja, iwe wa kishua au kiswaz,tumegonga wadada kwenye hide and seek,madisco ya shule, bila kusahau kuchungulia wadada bafuni na kutyomba hata vyupi vya house girl.Ni kumuomba mungu.Ni utoto tu wakikuwa wataacha.
NOOOOOOOO.Wanaoingia kwenye drugs na homosexual watabakia salama?
Kingereza ni rahisi tuu we ktk kila neno ongeza s mbeleMtindo huu wa uandishi sio rafiki kwa sisi akina Yakhe!,tuliotokea Kayumba boys .
Ndizi nyamaKumbe na we umeliona ilo vitu alivyoviandika vinachosha ubongo kuvielewa, angetumia lugha moja tu, au ndo wa kishua mboga 9
beach gani mkuu, niwe naenda!?.. napenda ushushushu na ushuhud kuliko kuhadithiwaWatoto wa kuanzia 14yrs wana mambo mengi mno..
Kuna beach moja nilienda..
Wanavuta bangi anaingia kwenye kachanging room anapigwa kimoja anatoka...wanaingia kwa zamu..
Nikajiuliza wazazi wanajua kweli!!