Mambo ya hovyo, na ya kusikitisha yanayotokea kwenye Teens Party

Mambo ya hovyo, na ya kusikitisha yanayotokea kwenye Teens Party

Watoto wa kuanzia 14yrs wana mambo mengi mno..

Kuna beach moja nilienda..
Wanavuta bangi anaingia kwenye kachanging room anapigwa kimoja anatoka...wanaingia kwa zamu..

Nikajiuliza wazazi wanajua kweli!!
Bichi gani iyo?
 
Watoto wa kuanzia 14yrs wana mambo mengi mno..

Kuna beach moja nilienda..
Wanavuta bangi anaingia kwenye kachanging room anapigwa kimoja anatoka...wanaingia kwa zamu..

Nikajiuliza wazazi wanajua kweli!!
Beach gani??
 
Mkuu kumbe
Ngoja niweke nafasi ya kuja kujibu kiingereza...
Au ngoja nianze!
"You knoo hao tins, wanaexpand then wanavyo eat na kudone wana fuse ile hali ya ku contiradict na mother zao! So ukiwa promote in the square ndio inakuwa diameter, ofcose huwa i givu break to surrenda in mingos.... nitaendelea
Parents be very careful with your children indent know how you are going to do it but I finished form 6 bootcamp last week.

Yaani teens parties nowadays cake zinapikwa na maji ya bangi, wengine wana diffuser wanaweka bangi sijui hata wanafanyeje, wengine biscuit na punch so watoto wanaenda part wenyewe wanasema party ndo inachangamka na bangi sio kama pombe, that bangi makes you feel mellow.

A lot is going on in our teens life, me I didn't know kama kuna social media ambazo unapiga picha za utupu then watu to see wanalipia, so a lot of teens wanafanya hayo.

Plus so many sijajua ni hizi shule za kizungu but they take homesexual thing as normal and they support.

If you have a teenage boy or girl usiishie kumuuliza tu una girl friend or boyfriend if she/he says no ASK WHY? one parent her teenage daughter akamuuliza about boyfriend akasema sina na mama wa strictly, so she was taking he r daughter herself to her friends party she was comfortable because she had no boyfriend only to find out she is a lesbian.

Another teenage of 14 years, mwalimu wa kike anamfundisha akikuuliza swali anatetemeka kujibu, mwalimu kwakuwa ni wale fair teacher akashangaa akasema aulize walimu wenzie wakamwambia Sisi kwetu yuko okay, one day anasahihisha homework the girl wrote to her teacher that she has feelings for her that's why she could not be herself, luckily enough mwalimu was God fearing mama mtu kuambiwa kidogo azimie, and thank God she was a day scholars what if she was in boarding and find a person who has the same interest with her, case ingekuwa imeisha.

It's not business and I know this is not a platform but I believe we all working hard for our kids so let's be cautious
Chagua moja kuandika kiswahili au kiingereza unavyochanganya lugha mbili, unachosha watu kukuelewa ulichoandika
 
Mikadi ni beach ya watoto wa uswazi..
Mainly wanatoka Mbagala

Wengi hata shule sijui kama wanasoma..
Wanaendaga na mabasi na makelele
Na bodaboda wamepanda watu sita..
Wengi hufa barabarani pia
Ila haibadilishi kwamba ni Teens na wanayoyafanya siyo sawa kwa umri wao

Pamoja na kuw Uswazi and the likes,

Halafu kibaya unaweza kuwa na mtoto geti kali maisha safi akapata rafiki wa kiswahili na mtoto akaona yale ndo maisha.
 
Wengi wetu humu tulivyokuwa teens tumefanya vioja, iwe wa kishua au kiswaz,tumegonga wadada kwenye hide and seek,madisco ya shule, bila kusahau kuchungulia wadada bafuni na kutyomba hata vyupi vya house girl.Ni kumuomba mungu.Ni utoto tu wakikuwa wataacha.
Wanaoingia kwenye drugs na homosexual watabakia salama?
 
Watoto wa kuanzia 14yrs wana mambo mengi mno..

Kuna beach moja nilienda..
Wanavuta bangi anaingia kwenye kachanging room anapigwa kimoja anatoka...wanaingia kwa zamu..

Nikajiuliza wazazi wanajua kweli!!
beach gani mkuu, niwe naenda!?.. napenda ushushushu na ushuhud kuliko kuhadithiwa
 
Back
Top Bottom