Mambo ya hovyo, na ya kusikitisha yanayotokea kwenye Teens Party

Mambo ya hovyo, na ya kusikitisha yanayotokea kwenye Teens Party

Mikadi ni beach ya watoto wa uswazi..
Mainly wanatoka Mbagala

Wengi hata shule sijui kama wanasoma..
Wanaendaga na mabasi na makelele
Na bodaboda wamepanda watu sita..
Wengi hufa barabarani pia
wengi wao ni wahuni na wezi sana, umalaya vilevile mkuu...
 
Watoto wa kuanzia 14yrs wana mambo mengi mno..

Kuna beach moja nilienda..
Wanavuta bangi anaingia kwenye kachanging room anapigwa kimoja anatoka...wanaingia kwa zamu..

Nikajiuliza wazazi wanajua kweli!!

Beach gani ?
 
Teens who attend high achieving schools in well to do communities may be more vulnerable to drug and alcohol problems than their less well off peers. Many people perceive addiction as a problem that affects mostly those in poorer neighborhoods. But what i see is that there is a significant risk for substance abuse at the other end of the socioeconomic spectrum. Everybody want to live like Paris and Prince jackson, their parents are so busy flipping greens..
 
They drink Lean, also known as purple drank /texas tea/ sizzurp, barre. na ni hatari kuliko hata pombe..unachukua sprite unachukua Hard candies na cough cyrup yenye codeine unatia kwenye sprite aisee ni noma sana
 
Teens who attend high achieving schools in well to do communities may be more vulnerable to drug and alcohol problems than their less well off peers. Many people perceive addiction as a problem that affects mostly those in poorer neighborhoods. But what i see is that there is a significant risk for substance abuse at the other end of the socioeconomic spectrum. Everybody want to live like Paris and Prince jackson, their parents are so busy flipping greens..
Lol flipping greens😂
 
Nimemiss pocket money za watoto wa kishua waliokuwa wanawekewa hela kwenye account wakati shule hawaruhusiwi kutoka. Likizo ikifika kuna accumulation ya laki ngapi uko, Jane akifunga anamwambia mama "mom I will stay in xxx with Diana for 3 days". Tunakaa na Jane siku tatu natumia hela tu kisha tunaondoka. Tunafosi tuition za lazima ili tuonane maana kwao geti kali.

Ila yule mzee alikuwa ananiamini kwanza anapenda interesting news na mimi mwenyewe sio mweupe kichwani. Na jeuri ya kwenda kwake sijui nilitoaga wapi. Hakujua kuwa code nilizokuwa natinga nazo kwake zilitokana na hela yake.

Mimi nilimsaidia kumlinda mwanae ila akashindikana. Uhuni wa kishua kanipa experience yeye na haya matumizi ya P2. Alikuwa lesb na sasa karudi uko tumebaki marafiki wa mbali. Nilijishtukia nilipojua hilo ila sasa nishawazoea chuo.
#Back then 2018-'19
 
Embu funguka zaidi mkuu!!!

Mkuu yan hawa watoto wanakuaga wanafungiwa fungiwa sana na wanakuwa hawana interaction na watu uswahilini sana sasa wakipata nafasi yakufanya mambo yao wanakuwa wanafanya kama watoto wenye pesa ulaya wanavyofanya yan ukiwauliza utasikia willow na jaden ndio ma role model wao. Na kitu kingine ni kwamba they have been to Europe na Amerika sasa wanataka yale maisha ya kule... Niliwah kusoma shule ina only 10 black people mzee the environment ni tofauti sana na namna watu wanavyoperceive vitu ni tofauti mkuu, alafu hawajali sababu baba zao wanapesa. Mfano kuna my friend kabisa yan siku ya wa mwisho wa hesabu alivuta bange alafu akiingia kwene akalala hakujigusa yan na mwalimu haruhusiwi kumpiga, [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
They drink Lean, also known as purple drank /texas tea/ sizzurp, barre. na ni hatari kuliko hata pombe..unachukua sprite unachukua Hard candies na cough cyrup yenye codeine unatia kwenye sprite aisee ni noma sana
Mbona hujaitaja vaping ambayo kila mtoto wa kishua anapenda sahivi. Sijui serikali inaruhusu vipi ziuzwe au kutumika. Bahati mbaya mshawishi wao Juice WLRD zishamchukua.
Hiyo Lean mashabiki wa Future tunaijua anaitaja ovyo.
 
They drink Lean, also known as purple drank /texas tea/ sizzurp, barre. na ni hatari kuliko hata pombe..unachukua sprite unachukua Hard candies na cough cyrup yenye codeine unatia kwenye sprite aisee ni noma sana
mkuu naomba unipe recipe ya lean...with exact direction (including quantity and timing of mixing the ingredients)
 
Nimemiss pocket money za watoto wa kishua waliokuwa wanawekewa hela kwenye account wakati shule hawaruhusiwi kutoka. Likizo ikifika kuna accumulation ya laki ngapi uko, Jane akifunga anamwambia mama "mom I will stay in xxx with Diana for 3 days". Tunakaa na Jane siku tatu natumia hela tu kisha tunaondoka. Tunafosi tuition za lazima ili tuonane maana kwao geti kali.

Ila yule mzee alikuwa ananiamini kwanza anapenda interesting news na mimi mwenyewe sio mweupe kichwani. Na jeuri ya kwenda kwake sijui nilitoaga wapi. Hakujua kuwa code nilizokuwa natinga nazo kwake zilitokana na hela yake.

Mimi nilimsaidia kumlinda mwanae ila akashindikana. Uhuni wa kishua kanipa experience yeye na haya matumizi ya P2. Alikuwa lesb na sasa karudi uko tumebaki marafiki wa mbali. Nilijishtukia nilipojua hilo ila sasa nishawazoea chuo.
#Back then 2018-'19
kumbe wewe ni ke
 
Mbona hujaitaja vaping ambayo kila mtoto wa kishua anapenda sahivi. Sijui serikali inaruhusu vipi ziuzwe au kutumika. Bahati mbaya mshawishi wao Juice WLRD zishamchukua.
Hiyo Lean mashabiki wa Future tunaijua anaitaja ovyo.

Hiyo ndio mbaya kabisa sababu inakufanya uconsume alot of alcohol sababu badala ya kunywa pombe unaifanya inakuwa mvuke so unavuta mvuke wa pombe, they say ukinywa pombe nyingi ya maji unapozidisha unatapika ila ukavuta ule mvuke kutapika sio ishue na hushibi haraka pombe. Mkuu hii niliisahau tu aisee ila watoto wamepagawa sana
 
mkuu naomba unipe recipe ya lean...with exact direction (including quantity and timing of mixing the ingredients)

Okay,
Ingredients
1.ice cubes/blocks vile tunawekaga kwene JD
2. Sprite
3. Hard candies zipo everywhere
4 cough cyrup yenye codeine

How to mix the ingredients,

1. Chukua Ice Blocks weka kwa glass yako,
2. chukua sprite tumbukiza nusu ya ile spite ya buku
3. Tumbukize zile candy zako( They are the sweetener)
4. Then weka dawa yako nusu ya kile kichupa cha dawa ya mafua au robo tatu, yan we zidisha the normal dosage utaona matokeo, ila ni very addictive sababu ni Tamu sana mkuu hiyo kinywaji.

Alafu changanya changanya ili yale mapipi yayeyuke yeyuke mzee ndio utamu wenyewe then unaweza ukaanza kunywa.

NB: People in Zim wanadrink ile dawa kavu kavu sababu dawa ya mafua ile ukiinywa nyingi ndio unasizi, hiyo dawa imewavuruga sana mateja wa Zim mkuu....mpaka serikali haiuz ile dawa hovyo hovyo, mateja wa bongo hawajajua kama ile kitu inalewesha wakijua tumekwisha
 
Back
Top Bottom