Mambo ya hovyo, na ya kusikitisha yanayotokea kwenye Teens Party

Ndio zimekatazwa kabisa, dawa zanye codeine zipo za vidonge tuu...lean hatari sana ni sema bongo hawakuifahamu vizuri mwanzoni

its cheap ila ule mninginio wake ni hatari kama wameacha zileta ni sawa kabisa, starehe ya bei rahis sana ile kuwafikia watu ni rahis sana
 
Kwanza tukuelewe ni raia wa wapi maana kama Tanzania hatunaga uchafuzi wa lugha kama ivyo
 
aisee, nlikua najiona najua starehe nyingi ila watoto wakishua wamenifungua na hayo maLEAN sijui vaping.. miaka yote hii nmeishis kuijua safari lager tu..


dunia hadaa ulimwengu shujaa
 
Mkuu bora ungeandika kingereza tupu ama kiswahili pekee lakini kuchanganya kichwa cha mbuzi na kisamvu hilo ni pishi la kigoma.
 
Na kupuliza condom na kuzifunga kwenye mageti ya watu. Ila sio kuvuta bangi Mkuu na madawa
 
Tayari umewachanganya “wazazi” wa kitanzania na hiko kingereza chako, hapa wataelewa kina baba “juniya”
 
Kudaadeki!!!
 

Yu know i cant richi yu Bro [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…