Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
[emoji23][emoji23]Acha roho mbaya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na sie tunataka kuona hayo ya wakubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Acha roho mbaya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na sie tunataka kuona hayo ya wakubwa
Shemeji umeamka 😀😀Haukua na uzuri wowote, kulikua na unafki na kuogopana tu.
Machoko kweli walikuwepo, mmoja wao ni mwachuluwi confirmed 100%, nilikua nasubiri ajichanganye tu nimlipue
Nimeamka[emoji23]Shemeji umeamka [emoji3][emoji3]
Shukrani sana mkuu, natami ile quality irudi na bila kuweka njia bora sidhani kama hili litawezekanaUmemaliza kila kitu mkuu, kama wahusika wangeweza kuchukua angalau robo ya hiki ulichozungumza hapa hakika tungeiona hata kwa mbali ile jf tuliokuwa tunaijua.
Na kupokelezana madanga 🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️Haukua na uzuri wowote, kulikua na unafki na kuogopana tu.
Machoko kweli walikuwepo, mmoja wao ni mwachuluwi confirmed 100%, nilikua nasubiri ajichanganye tu nimlipue
Mtasutwa na shemejio mlale 🤣🤣🤣🤣Shemeji umeamka 😀😀
😂😂😂Kwakweli ngoja tu nilale shemeji Hana shughuli ndogo 😀😀Mtasutwa na shemejio mlale 🤣🤣🤣🤣
Hatareee dah! Mr stone alijua kuivuruga democracyKwa nyakati za 2008 mpaka 2015 kwenye siasa palikuwa na heka heka nyingi na scandals kubwa kubwa za rushwa ziliibuliwa, muamko wa kisiasa ulikua mkubwa sana vijana wa vyuoni walikua installed kwenye vyama ko palikuwa hot sana pia ktika burudani Muziki wetu ulipitia reformation nyingi sana ko mada. Baada ya kichaaa kupewa rungu aliminya democrasia plus macontainer ya jobless mambo yalibadalika sana underground political network zilikufa mambo mengi yalibadalika
Duh kumbe mambo ni magumu hivo Bora ulivoachasiku niliyoambiwa ukiwa kwenye hilo tukio alafu akaja mtu kukushtua au kukuamsha gafla while roho imeshasafiri basi unaweza kuaga dunia mazima ndio siku nilipoacha kujaribu hayo makitu, chakufia nini mpwa?
Atapandisha majini uzi uharibike 🤣🤣🤣😂😂😂Kwakweli ngoja tu nilale shemeji Hana shughuli ndogo 😀😀
Umeanza kuwananga viongozi wetu?Hatareee dah! Mr stone alijua kuivuruga democracy
😃Ngoja nilale wiiAtapandisha majini uzi uharibike 🤣🤣🤣
Papai 100%, aje hapa abishe tu kidogo nimuanike vizurijamaa ni papai???
Unajua nilikua nashangaa mbona cocastic anapiga sana majungu, daah kumbe walishazidiana[emoji23]Na kupokelezana madanga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Jf watu wana tabia ya kuplay victim card, kila mtu anajifanya innocent[emoji23]Atapandisha majini uzi uharibike [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sema bi faiza kaongea point muhimu inategemea wahusika so far lengo lao ni nini it seems kwa sasa wapo kwaajili ya kupata quantity, namba ya wachangiaji na jf kuwafikia watu wengi zaidi kuliko quality ya maudhui, na ndio tunarudi pale pale kwenye point yako kuwa ile dhana ya jf kuwa kama other social medias like fb, ig wakati hili sio lengo mama ambalo jf imeanzishwa.Shukrani sana mkuu, natami ile quality irudi na bila kuweka njia bora sidhani kama hili litawezekana
🤣🤣🤣 Nimemgusa boss wako the lateUmeanza kuwananga viongozi wetu?