watu wengi wameonyesha kutopenda kwa kuwa zari hajaomboleza vya kutosha msiba wa mama yake.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]huyu mama anaongozwa n maisha ya kiki mpaka anatia huruma
mtu unakua mtumwa wa social networks[emoji17]
akiona ana sahaulika analizua jambo..
masikini watoto wake hawapati maadili mema..
siku nikishuhudia papuchi ya mkmwana wangu ilivojichora ndio mwanzo na mwisho kuwaona, maana ntawachinja
Sent using Jamii Forums mobile app
Washatuchosha na maujinga yao sijui hawajishtukiagi hawa ni wananikera basi tu.Mwambie Boss wako hatutoi Kiki safari hii.
Sherehe kwa bibi...sio mama..yaan wajukuu ndio wanasherekeaKila mtu na maisha yake.ila boss Lady sijui nimuiteje. Aisee mama kitu kingine.maybe culture ni tofauti.maana nchi nyengine misiba kwao ni sherehe.
Kwani wanatiana?Waache watiane tu hakuna namna
Kila mtu na maisha yake.ila boss Lady sijui nimuiteje. Aisee mama kitu kingine.maybe culture ni tofauti.maana nchi nyengine misiba kwao ni sherehe.