Mambo ya kuepuka kijana wa kiume

Mambo ya kuepuka kijana wa kiume

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
589
Reaction score
1,897
Kijana wa KIUME kuna mambo, unapaswa kuyaepuka maisha yako Yote.

1. Kuishi kwa Mwanamke, au ukweni.

2.Usijenge katika kiwanja Cha ukweni au Cha mwanamke.

3.Usiishi kwa kumtegemea mwanamke kwa chochote.

4.Usioe Mwanamke ambae amekuzidi kwa kila kitu.( Elimu, pesa na Mali.)

5. Usimuoe mwanamke ambaye umempenda kupitiriza, ila muoe mwanamke ambaye unampenda kiasi, Ili hata siku aki ghairi mapenzi/ Ndoa. Akili yako itakua sawa na utaweza kuendelea na Maisha.

6. Mwanamke atakiwi Kujua njia zako zote za kupatia kipato au kipatochako Kiujumla. Muonyeshe baadhi ya kipato chako ila mengine yawe siri yako mpaka unaingia kaburini.

7.Usijigambe au Kujiona una mke Bora na wa maana sana, na muaminifu kuliko wanawake wengine mbele za watu.

8. Mkeo hapaswi Kujua ratiba yako kwa 100%. Ishi maisha ya kutoeleweka, na asijue Nini unafanya na kwa mda gani.

9.Unapoenda ukweni yasizidi masaa 24. Unatakiwa kuondoka, hapo ukweni.( Tumia masaa machache sana ukweni)

Note: "Bora kuishi kichakani lakini sio kuishi ktk Nyumba ya mwanamke"

vijana waleo mjifunze.

Vijana wanazalilika kwa sababu ya kutojitambua, jipambanie tafuta Mali yao, na utafute mwanamke ambaye uta mmudu, kulingana na uwezo wako, sio kutaka mwanamke ambaye wewe utaenda kuishi kwa Mwanamke, Mwanaume unakua hauna kauli.

Wadogo zangu naomba mubadilike....Msiwategemee wanawawake mtadharilika kila siku, kwa kutupiwa viboxer vyenu nje.
 
Alafu mkuu mybe niseme mawazo yangu tuu..

Kwa kijana aliyejitambua awezi fanya huo ujinga hapo juu...
Yaani naturally unakuta mtu anavikwepa tuuu..

Ila hawa mazwazwa wengine ambao wana tope kichwani ndo wa kuambiwa kila siku haya mambo
 
Kijana wa KIUME kuna mambo, unapaswa kuyaepuka maisha yako Yote.

1. Kuishi kwa Mwanamke, au ukweni.

2.Usijenge katika kiwanja Cha ukweni au Cha mwanamke.

3.Usiishi kwa kumtegemea mwanamke kwa chochote.

4.Usioe Mwanamke ambae amekuzidi kwa kila kitu.( Elimu, pesa na Mali.)

5. Usimuoe mwanamke ambaye umempenda kupitiriza, ila muoe mwanamke ambaye unampenda kiasi, Ili hata siku aki ghairi mapenzi/ Ndoa. Akili yako itakua sawa na utaweza kuendelea na Maisha.

6. Mwanamke atakiwi Kujua njia zako zote za kupatia kipato au kipatochako Kiujumla. Muonyeshe baadhi ya kipato chako ila mengine yawe siri yako mpaka unaingia kaburini.

7.Usijigambe au Kujiona una mke Bora na wa maana sana, na muaminifu kuliko wanawake wengine mbele za watu.

8. Mkeo hapaswi Kujua ratiba yako kwa 100%. Ishi maisha ya kutoeleweka, na asijue Nini unafanya na kwa mda gani.

9.Unapoenda ukweni yasizidi masaa 24. Unatakiwa kuondoka, hapo ukweni.( Tumia masaa machache sana ukweni)

Note: "Bora kuishi kichakani lakini sio kuishi ktk Nyumba ya mwanamke"

vijana waleo mjifunze.

Vijana wanazalilika kwa sababu ya kutojitambua, jipambanie tafuta Mali yao, na utafute mwanamke ambaye uta mmudu, kulingana na uwezo wako, sio kutaka mwanamke ambaye wewe utaenda kuishi kwa Mwanamke, Mwanaume unakua hauna kauli.

Wadogo zangu naomba mubadilike....Msiwategemee wanawawake mtadharilika kila siku, kwa kutupiwa viboxer vyenu nje.
Fikra potofu hizi maisha hayana kanuni na binadamu wana tabia zisizo fanana na ndio maana kuna wanao lelewa na wanawake wanaishi.
 
Alafu mkuu mybe niseme mawazo yangu tuu..

Kwa kijana aliyejitambua awezi fanya huo ujinga hapo juu...
Yaani naturally unakuta mtu anavikwepa tuuu..

Ila hawa mazwazwa wengine ambao wana tope kichwani ndo wa kuambiwa kila siku haya mambo
Uachane na mashangazi totoo.
 
Back
Top Bottom