Mambo ya kuepuka kijana wa kiume

Mambo ya kuepuka kijana wa kiume

11. Usifanye maendeleo yeyote kwenye familia ya mke wako unless uko tayari kusamehe utakachokiwekeza huko.
 
mbuzi mgane wewe,,nina hamu ya nini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚usiambiwe ukweli mpenda mashangazi wewe
Mchanga wa beach mnataka kunitisha kitumbua πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Takufata huko huko nikuzingue weweeeeeeeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kijana wa KIUME kuna mambo, unapaswa kuyaepuka maisha yako Yote.

1. Kuishi kwa Mwanamke, au ukweni.

2.Usijenge katika kiwanja Cha ukweni au Cha mwanamke.

3.Usiishi kwa kumtegemea mwanamke kwa chochote.

4.Usioe Mwanamke ambae amekuzidi kwa kila kitu.( Elimu, pesa na Mali.)

5. Usimuoe mwanamke ambaye umempenda kupitiriza, ila muoe mwanamke ambaye unampenda kiasi, Ili hata siku aki ghairi mapenzi/ Ndoa. Akili yako itakua sawa na utaweza kuendelea na Maisha.

6. Mwanamke atakiwi Kujua njia zako zote za kupatia kipato au kipatochako Kiujumla. Muonyeshe baadhi ya kipato chako ila mengine yawe siri yako mpaka unaingia kaburini.

7.Usijigambe au Kujiona una mke Bora na wa maana sana, na muaminifu kuliko wanawake wengine mbele za watu.

8. Mkeo hapaswi Kujua ratiba yako kwa 100%. Ishi maisha ya kutoeleweka, na asijue Nini unafanya na kwa mda gani.

9.Unapoenda ukweni yasizidi masaa 24. Unatakiwa kuondoka, hapo ukweni.( Tumia masaa machache sana ukweni)

Note: "Bora kuishi kichakani lakini sio kuishi ktk Nyumba ya mwanamke"

vijana waleo mjifunze.

Vijana wanazalilika kwa sababu ya kutojitambua, jipambanie tafuta Mali yao, na utafute mwanamke ambaye uta mmudu, kulingana na uwezo wako, sio kutaka mwanamke ambaye wewe utaenda kuishi kwa Mwanamke, Mwanaume unakua hauna kauli.

Wadogo zangu naomba mubadilike....Msiwategemee wanawawake mtadharilika kila siku, kwa kutupiwa viboxer vyenu nje.
Amina.
 
Pia usisahau......

MKEO SIO NDUGU YAKO......USIHADAIKE NA MAHABA.....KUNA SIKU ATAKULIZA KILIO KIKUU NA HAKUNA WA KUKUBEMBELEZA.....

HAYA MANENO HUWA YANAONEKANA YA KIPUUZI KWA SASA KWA KUWA MPO KWENYE PENZI ZITO.........
1002248936.jpg
 
ila we katoto basi tu,, kuna siku ntakutumia pesa ya wese la mboso coz ndo unakoelekea na hao mashangazi
Situmiagi mimi
Astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah
 
Kijana wa KIUME kuna mambo, unapaswa kuyaepuka maisha yako Yote.

1. Kuishi kwa Mwanamke, au ukweni.

2.Usijenge katika kiwanja Cha ukweni au Cha mwanamke.

3.Usiishi kwa kumtegemea mwanamke kwa chochote.

4.Usioe Mwanamke ambae amekuzidi kwa kila kitu.( Elimu, pesa na Mali.)

5. Usimuoe mwanamke ambaye umempenda kupitiriza, ila muoe mwanamke ambaye unampenda kiasi, Ili hata siku aki ghairi mapenzi/ Ndoa. Akili yako itakua sawa na utaweza kuendelea na Maisha.

6. Mwanamke atakiwi Kujua njia zako zote za kupatia kipato au kipatochako Kiujumla. Muonyeshe baadhi ya kipato chako ila mengine yawe siri yako mpaka unaingia kaburini.

7.Usijigambe au Kujiona una mke Bora na wa maana sana, na muaminifu kuliko wanawake wengine mbele za watu.

8. Mkeo hapaswi Kujua ratiba yako kwa 100%. Ishi maisha ya kutoeleweka, na asijue Nini unafanya na kwa mda gani.

9.Unapoenda ukweni yasizidi masaa 24. Unatakiwa kuondoka, hapo ukweni.( Tumia masaa machache sana ukweni)

Note: "Bora kuishi kichakani lakini sio kuishi ktk Nyumba ya mwanamke"

vijana waleo mjifunze.

Vijana wanazalilika kwa sababu ya kutojitambua, jipambanie tafuta Mali yao, na utafute mwanamke ambaye uta mmudu, kulingana na uwezo wako, sio kutaka mwanamke ambaye wewe utaenda kuishi kwa Mwanamke, Mwanaume unakua hauna kauli.

Wadogo zangu naomba mubadilike....Msiwategemee wanawawake mtadharilika kila siku, kwa kutupiwa viboxer vyenu nje.
Nakazia hapo kwenye 6,7,8,na 9...
 
Kijana wa KIUME kuna mambo, unapaswa kuyaepuka maisha yako Yote.

1. Kuishi kwa Mwanamke, au ukweni.

2.Usijenge katika kiwanja Cha ukweni au Cha mwanamke.

3.Usiishi kwa kumtegemea mwanamke kwa chochote.

4.Usioe Mwanamke ambae amekuzidi kwa kila kitu.( Elimu, pesa na Mali.)

5. Usimuoe mwanamke ambaye umempenda kupitiriza, ila muoe mwanamke ambaye unampenda kiasi, Ili hata siku aki ghairi mapenzi/ Ndoa. Akili yako itakua sawa na utaweza kuendelea na Maisha.

6. Mwanamke atakiwi Kujua njia zako zote za kupatia kipato au kipatochako Kiujumla. Muonyeshe baadhi ya kipato chako ila mengine yawe siri yako mpaka unaingia kaburini.

7.Usijigambe au Kujiona una mke Bora na wa maana sana, na muaminifu kuliko wanawake wengine mbele za watu.

8. Mkeo hapaswi Kujua ratiba yako kwa 100%. Ishi maisha ya kutoeleweka, na asijue Nini unafanya na kwa mda gani.

9.Unapoenda ukweni yasizidi masaa 24. Unatakiwa kuondoka, hapo ukweni.( Tumia masaa machache sana ukweni)

Note: "Bora kuishi kichakani lakini sio kuishi ktk Nyumba ya mwanamke"

vijana waleo mjifunze.

Vijana wanazalilika kwa sababu ya kutojitambua, jipambanie tafuta Mali yao, na utafute mwanamke ambaye uta mmudu, kulingana na uwezo wako, sio kutaka mwanamke ambaye wewe utaenda kuishi kwa Mwanamke, Mwanaume unakua hauna kauli.

Wadogo zangu naomba mubadilike....Msiwategemee wanawawake mtadharilika kila siku, kwa kutupiwa viboxer vyenu nje.
Wewe kwanza una mke?

Unadhani kuna mtu anapenda amtegemee mke? Kuna wakati ktk maisha giza linatanda tena ghafla. Nilitoka hero to zero.

Msaada ilikua kazi ya mke.Na sema tulikuwa tunaelewana sana,na shida zangu alizifanya kuwa zangu.

Nilikua mwajiriwa na mshahara wa milioni 1.8 take home. Mauzauza ndani wiki 5 kazi ikaisha tena serikalini.

Nimejiajiri lkn msaada mkubwa ulikuwa ni mke japo hakunipa mtaji lkn aliibeba familia na mm pia. Γ€lLIIBEBA SHIDA YANGU IKAWA YAKE. SHE IS MY SUPER HERO.

NB: HAKUNA SHULE INAFUNDISHA MAISHA DUNIANI. USIYAWEKEE SHERIA

Humtegemei mke coz unajimudu yakibuma utafanya nini.

Si kwamba nimekupinga la hasha nimejaribu tu kushea kwamba kuna moment na situation huwa maisha yanabadilika tena bila kujui hali imetokea wapi.

Mwanamke ni kiumbe mzuri sana inategemea unaishi nae vipi.
 
Back
Top Bottom