Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Wewee πππππ una hamu etumekua sasa toto njuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewee πππππ una hamu etumekua sasa toto njuri
mbuzi mgane wewe,,nina hamu ya nini ππππusiambiwe ukweli mpenda mashangazi weweWewee πππππ una hamu et
Umemwelewa mtoa mada?Maisha hayana formula wakati Mwingine unajikuta gari IMEKWAMA wife anatoa back up
Mchanga wa beach mnataka kunitisha kitumbua πππmbuzi mgane wewe,,nina hamu ya nini ππππusiambiwe ukweli mpenda mashangazi wewe
toka lini umeanza kuskilza nyimbo za zuchuππhii mistari umetoa wapMchanga wa beach mnataka kunitisha kitumbua πππ
Takufata huko huko nikuzingue weweeeeeeeπππ
ππππ Ety zuchu huyo anaitwa MBUZI..toka lini umeanza kuskilza nyimbo za zuchuππhii mistari umetoa wap
Amina.Kijana wa KIUME kuna mambo, unapaswa kuyaepuka maisha yako Yote.
1. Kuishi kwa Mwanamke, au ukweni.
2.Usijenge katika kiwanja Cha ukweni au Cha mwanamke.
3.Usiishi kwa kumtegemea mwanamke kwa chochote.
4.Usioe Mwanamke ambae amekuzidi kwa kila kitu.( Elimu, pesa na Mali.)
5. Usimuoe mwanamke ambaye umempenda kupitiriza, ila muoe mwanamke ambaye unampenda kiasi, Ili hata siku aki ghairi mapenzi/ Ndoa. Akili yako itakua sawa na utaweza kuendelea na Maisha.
6. Mwanamke atakiwi Kujua njia zako zote za kupatia kipato au kipatochako Kiujumla. Muonyeshe baadhi ya kipato chako ila mengine yawe siri yako mpaka unaingia kaburini.
7.Usijigambe au Kujiona una mke Bora na wa maana sana, na muaminifu kuliko wanawake wengine mbele za watu.
8. Mkeo hapaswi Kujua ratiba yako kwa 100%. Ishi maisha ya kutoeleweka, na asijue Nini unafanya na kwa mda gani.
9.Unapoenda ukweni yasizidi masaa 24. Unatakiwa kuondoka, hapo ukweni.( Tumia masaa machache sana ukweni)
Note: "Bora kuishi kichakani lakini sio kuishi ktk Nyumba ya mwanamke"
vijana waleo mjifunze.
Vijana wanazalilika kwa sababu ya kutojitambua, jipambanie tafuta Mali yao, na utafute mwanamke ambaye uta mmudu, kulingana na uwezo wako, sio kutaka mwanamke ambaye wewe utaenda kuishi kwa Mwanamke, Mwanaume unakua hauna kauli.
Wadogo zangu naomba mubadilike....Msiwategemee wanawawake mtadharilika kila siku, kwa kutupiwa viboxer vyenu nje.
ACHANA NA MASHANGAZI kijanaππππ Ety zuchu huyo anaitwa MBUZI..
Tulia hv hvo nikushughulikie
Ahahahaha ni deal na nani sasa unaposema niachane na kitu fulani njoo na solutionACHANA NA MASHANGAZI kijana
ila we katoto basi tu,, kuna siku ntakutumia pesa ya wese la mboso coz ndo unakoelekea na hao mashangaziAhahahaha ni deal na nani sasa unaposema niachane na kitu fulani njoo na solution
Situmiagi mimiila we katoto basi tu,, kuna siku ntakutumia pesa ya wese la mboso coz ndo unakoelekea na hao mashangazi
Nakazia hapo kwenye 6,7,8,na 9...Kijana wa KIUME kuna mambo, unapaswa kuyaepuka maisha yako Yote.
1. Kuishi kwa Mwanamke, au ukweni.
2.Usijenge katika kiwanja Cha ukweni au Cha mwanamke.
3.Usiishi kwa kumtegemea mwanamke kwa chochote.
4.Usioe Mwanamke ambae amekuzidi kwa kila kitu.( Elimu, pesa na Mali.)
5. Usimuoe mwanamke ambaye umempenda kupitiriza, ila muoe mwanamke ambaye unampenda kiasi, Ili hata siku aki ghairi mapenzi/ Ndoa. Akili yako itakua sawa na utaweza kuendelea na Maisha.
6. Mwanamke atakiwi Kujua njia zako zote za kupatia kipato au kipatochako Kiujumla. Muonyeshe baadhi ya kipato chako ila mengine yawe siri yako mpaka unaingia kaburini.
7.Usijigambe au Kujiona una mke Bora na wa maana sana, na muaminifu kuliko wanawake wengine mbele za watu.
8. Mkeo hapaswi Kujua ratiba yako kwa 100%. Ishi maisha ya kutoeleweka, na asijue Nini unafanya na kwa mda gani.
9.Unapoenda ukweni yasizidi masaa 24. Unatakiwa kuondoka, hapo ukweni.( Tumia masaa machache sana ukweni)
Note: "Bora kuishi kichakani lakini sio kuishi ktk Nyumba ya mwanamke"
vijana waleo mjifunze.
Vijana wanazalilika kwa sababu ya kutojitambua, jipambanie tafuta Mali yao, na utafute mwanamke ambaye uta mmudu, kulingana na uwezo wako, sio kutaka mwanamke ambaye wewe utaenda kuishi kwa Mwanamke, Mwanaume unakua hauna kauli.
Wadogo zangu naomba mubadilike....Msiwategemee wanawawake mtadharilika kila siku, kwa kutupiwa viboxer vyenu nje.
Mpuuz weyeππππSitumiagi mimi
Astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah
Wewe kwanza una mke?Kijana wa KIUME kuna mambo, unapaswa kuyaepuka maisha yako Yote.
1. Kuishi kwa Mwanamke, au ukweni.
2.Usijenge katika kiwanja Cha ukweni au Cha mwanamke.
3.Usiishi kwa kumtegemea mwanamke kwa chochote.
4.Usioe Mwanamke ambae amekuzidi kwa kila kitu.( Elimu, pesa na Mali.)
5. Usimuoe mwanamke ambaye umempenda kupitiriza, ila muoe mwanamke ambaye unampenda kiasi, Ili hata siku aki ghairi mapenzi/ Ndoa. Akili yako itakua sawa na utaweza kuendelea na Maisha.
6. Mwanamke atakiwi Kujua njia zako zote za kupatia kipato au kipatochako Kiujumla. Muonyeshe baadhi ya kipato chako ila mengine yawe siri yako mpaka unaingia kaburini.
7.Usijigambe au Kujiona una mke Bora na wa maana sana, na muaminifu kuliko wanawake wengine mbele za watu.
8. Mkeo hapaswi Kujua ratiba yako kwa 100%. Ishi maisha ya kutoeleweka, na asijue Nini unafanya na kwa mda gani.
9.Unapoenda ukweni yasizidi masaa 24. Unatakiwa kuondoka, hapo ukweni.( Tumia masaa machache sana ukweni)
Note: "Bora kuishi kichakani lakini sio kuishi ktk Nyumba ya mwanamke"
vijana waleo mjifunze.
Vijana wanazalilika kwa sababu ya kutojitambua, jipambanie tafuta Mali yao, na utafute mwanamke ambaye uta mmudu, kulingana na uwezo wako, sio kutaka mwanamke ambaye wewe utaenda kuishi kwa Mwanamke, Mwanaume unakua hauna kauli.
Wadogo zangu naomba mubadilike....Msiwategemee wanawawake mtadharilika kila siku, kwa kutupiwa viboxer vyenu nje.
Nije sasaMpuuz weyeππππ
Shindwa pepoNije sasa
Pepo la nongo au la nini ππππ πShindwa pepo