Mambo ya kufanya ukifumaniwa

Nenda na silaha location ili ikitokea la kutokea ujihami

Enzi zangu za ubashite nilikula mchumba wa jsmsa fulani nafsi ilikuwa inakataa kabisa ila shatani alishatawala na bimdada alikuwa anataka ssna apelekewe moto.

Nikasema ngoja nile tu ila lazima nijihami

Nilichukuaa panga langu jipya,kisu(bisu),gongo,bisibisi na nyundo nikaweka geto chini ya uvungu

Nikawa sina wasi hapa wakigongea tu atayejifanys kimbelembele kuzams ndichi haraka natoka na utosi wake[emoji2]
 
Mimi siku hizi nikienda gesti kuchepuka kitu cha kwanza naangalia kabisa mazingira. Naanza kukagua madirisha kama kuna upenyo wa kupita, nakagua dari, nk. Kama ni ghorofani naanza kuangalia nje huko kuna nini endapo ntaruka, naangalia mabomba ya kushukia chini yako wapi, nk. Hiyo yote naifanya ndani ya dakika 2 tu nakua nimeshasoma ramani nzima!
 
Hii si adhabu kabisa!!!
 
Mweh!!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani utoke uchi[emoji23][emoji23]
We jamaaa unawafundisha nn sijui.
 
Dah nilishuhudia jaman alifumaniwa alitoka nduki akiwa mtupuu aisee mnh hizo ndude zilikua zina........ kama za beberu kumbe wanaume mkikimbia mkiwa watupu mnakua vile
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mmechekaaaa!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Ila huu uzi bhanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Yani mambo ya kufanya wakati ni umewekwa kati na mwenye maliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Tembea tu na kilainishi mkuu sio script hiyo kwamba unajua kinachofata
 
Nduki utatokaje ndugu, na hapo hao wafumaniaji washakula mchongo na wenye gesti/mapokezi? bora usichepuke, kama tamaa imezidi sana oa, kama mmoja hatoshi bora kuhamia dini ya wavaa kobazi.
sintosahau yule mke wa mtu alivyonilengesha ili tufumaniwe lodge ..kumbe ilikuwa deal ili tuyamalize kwa kutoa hela ili wagawane yeye na mumewe... wakati ndiye alikuwa mchepuko wangu wa siku nyingi akanigeuka....kuna wanawake washenzi sana
 
These techniques aren't reliable at all.Ukifumaniwa jua imeshakula kwako na Moja kati ya haya majengo( MOCHWARI,JELA) lazima likuhusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…