Mambo ya kufanya ukifumaniwa

Mmmh cha muhimu hapo kutokana na wasiwasi, jikamue ili unye, na baada ya hapo jipake mavi yako mwili mzima kisha unapita bila wasiwasi hata kwa kutembea tu hakuna ataekushika.Wataokufuata utakuwa unawakimbiza ili uwakumbatie nao watakuwa wanakimbia sasa badala ya kukukimbiza wewe ndio unawakimbiza, na hata habari ya kufumaniwa itakuwa hakuna tena stori ni huge tu ukiwa umejipaka wese la mavi mwili mzima
 
8. Usisahau kubeba KY
 
Nduki utatokaje ndugu, na hapo hao wafumaniaji washakula mchongo na wenye gesti/mapokezi? bora usichepuke, kama tamaa imezidi sana oa, kama mmoja hatoshi bora kuhamia dini ya wavaa kobazi.

Uwe na heshima na dini za watu wacha kejeli,mjinga mkubwa wewe,wewe mbona unaabudu sanamu kitu kisichosema wala kisicho na msaada wowote,na umekitengeneza kwa mikono yako mwenyewe? Eti una akili sana mwehu mkubwa,kejeli zako peleka kwa mkeo.
 
Uwe na heshima na dini za watu wacha kejeli,mjinga mkubwa wewe,wewe mbona unaabudu sanamu kitu kisichosema wala kisicho na msaada wowote,na umekitengeneza kwa mikono yako mwenyewe? Eti una akili sana mwehu mkubwa,kejeli zako peleka kwa mkeo.
Mbona umepaniki mkuu dini ya wavaa kobasi ni ipi?
 
wote ushauri weni ni wa hovyo piga kelele wananiuaaa kwa nguvu zako zote. hakika hawata kusodoma.mbinu hii tulimuokoa jamaa yetu la sivyo angeliwa.
nb.mke wa mtu sumu ila ukimya unapo fumaniwa ni baalaa. bora aibu ya kufumaniwa lakini si kuliwa
 
Haaaa haaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa kutongoza wake za watu mnatafuta nini!
 
Nduki utatokaje ndugu, na hapo hao wafumaniaji washakula mchongo na wenye gesti/mapokezi? bora usichepuke, kama tamaa imezidi sana oa, kama mmoja hatoshi bora kuhamia dini ya wavaa kobazi.
Kuna wanawake wengi ambao hawajaolewa unafata nn kwa mke wa mtu?
 
Ndo maana nasema kipo kwa ambao hawajaolewa sasa kwann usumbuke na mke wa mtu kama sio kutaka kuwa mke wa pili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndiyo wanautafuta uke wenza [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] mwenzie akioa ndiyo naye anamuona mzuri
 
Fumanizi ni tukio la kimkakati, sala, ahadi na viapo utakavyo kua ukivisema ki moyo moyo huenda ndicho kitakacho kuokoa, na sio ujanja ujanja unao uleta hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…