Bakariforever
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 510
- 511
Mmmh cha muhimu hapo kutokana na wasiwasi, jikamue ili unye, na baada ya hapo jipake mavi yako mwili mzima kisha unapita bila wasiwasi hata kwa kutembea tu hakuna ataekushika.Wataokufuata utakuwa unawakimbiza ili uwakumbatie nao watakuwa wanakimbia sasa badala ya kukukimbiza wewe ndio unawakimbiza, na hata habari ya kufumaniwa itakuwa hakuna tena stori ni huge tu ukiwa umejipaka wese la mavi mwili mzima1. Tafuta upenyo, utoke nduki (hata kama u mtupu) ndo pona yako.
2. Usifikirie mali zako ulizoacha eneo la tukio (nguo, simu, begi)
3.Hakikisha umekimbilia sehemu ya siri sana, mfano; Mafia, Bagamoyo (upotee kwa muda).
4. Nenda kwa kiongozi wa dini (Sheikh, Askofu, Padiri, Nabii Gwajizo) ukatubu dhambi ya uzinzi