Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lisu kama haeleweki kwenye mkutano wa kampeni wa maelfu akitegemea aeleweke kwenye mdahahalo na mtu mmoja basi uwezo wa kujieleza na kuekeweka mdogo mno Mdahalo ni kupotezea muda watu tu ni sawa na mwalimu anafundisha darasa la watoto 40 hawaelewi halafu anasema nipeni mwanafunzi mmoja nifundihe muone!! Mmm Lisu Hawezi kueleza sera za chadema zikaeleweka kwenye mikutano ya kampeni periodHakuna mwanaccm mwenye akili za kufanya mdahalo na Mh Tundu Antipas Mugway LISSU......
America walitwangana hasa wao kwa wao ndipo mabwana wa Vita wakakubakiana kugawana states yaani majimboKabisa Mkuu. Jiwe atapata wasaa wa kujifunza nchi ya majimbo na mengine mengi kutoka kwa Genius wetu Watanzania. Maana hamna anachoweza kuwaeleza Watanzania.
sawa mleteni mgombea wenu kwenye mdahalo ayatetee haya ya Civil War unayosema.Nchi zote walizopigana wa kwa wao yaani civil war ndio wana huo mfumo kuanzia hapo Kenya marekani India Afrika ya kusini Nigeria nk wote hao walitwangana civil war wakaamua kugawana nchi kwa majimbo .Kenya tu hapo utawala wa majimbo ulianza baada ya wakikuyu na wajaluo kutwangana barabara Kikwete akaenda kuwasaidia
Ndio majimbo yakaibuka baada ya kutembezeana marungu na mapanga wao kwa wao
Uwe unajaribu kujenga hoja usiwe unakurupuka niatajie Jimbo gani Kenya limejitenga na Kenya maana kugawana nchi siyo Jambo la mchezoNchi zote walizopigana wa kwa wao yaani civil war ndio wana huo mfumo kuanzia hapo Kenya marekani India Afrika ya kusini Nigeria nk wote hao walitwangana civil war wakaamua kugawana nchi kwa majimbo .Kenya tu hapo utawala wa majimbo ulianza baada ya wakikuyu na wajaluo kutwangana barabara Kikwete akaenda kuwasaidia
Ndio majimbo yakaibuka baada ya kutembezeana marungu na mapanga wao kwa wao
Sio kujijenga Huelewi Kenya ilikuwa inapasuka vipande ndio wakaamua kuwa na majimbo kuepusha Hilo hata America ilikuwa hivyo Afrika kusini hivyo na Nigeria hivyo nkUwe unajaribu kujenga hoja usiwe unakurupuka niatajie Jimbo gani Kenya limejitenga na Kenya maana kugawana nchi siyo Jambo la mchezo
Leo nimemskia Rais Magufuli akijibu hoja ya Lissu kuhusu CHADEMA kutengeneza majimbo wakipata madaraka.
Mh Magufuli ameeleza kwamba mfumo wa majimbo utakua mwanzo wa mfarakano, japo sielewi mfarakano utatokana na nini maana sioni mifarakano USA, Nigeria, India na nchi zingine.
Sisi kama wapiga kura hatupendi kuona mnajibishana kwenye majukwaa. Tunamuomba baba yetu kipenzi Amri Jeshi Mkuu, Mwenyekiti wa CCM, Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akubali mdahalo kati yake yeye na Tundu Lissu ili kumaliza sekeseke lililopo.
Yehodaya . Unasingizia nchi zilizopigana vita. Wanachosema Cdm , ni kuondoa mamlaka yote ya nchi mikononi mwa Rais . Hata kwa yale yanayohusu maisha yetu ya siku kwa siku. Rais abaki na mamlaka yake makuu kuhusu taifa, lakini yale maisha ya watu wajiamulie wenyewe .America walitwangana hasa wao kwa wao ndipo mabwana wa Vita wakakubakiana kugawana states yaani majimbo
Afrika kusini wakati wa ubaguzi walipigana Sana wakakubaliana kugawana majimbo
Kenya kulitokea sintofahamu ya uchaguzi kugombea Uraisi hawakuwa na serikali za majimbo wakatwangana Hadi kuzalisha wakimbizi Kikwete akaitwa akawasaidie kuyamaliza wakaja na serikali ya majimbo kuwa Kila jogoo awike kwake
Nigeria walitwangana Sana Tena Sana wenyewe kwa wenyewe wakaja na solution ya utawala wa majimbo kila beberu la kivita litambe jimboni kwake
Chadema Wana copy na ku paste vitu ambavyo hata asili yake hawajui!!! Na hawataki kutumia wasomi wawasaidie kupitia sera Kama je iko vizuri? Ndio maana wasomi hawaitaki Chadema haitumii wasomi
[emoji38][emoji38][emoji38] unataka kumkimbiza mtu eeeeh ?View attachment 1576098
Muulize Mwenyekiti wako akiwa kama Mkatoliki ambalo linajiongoza kwa Majimbo,je limeleta mtafaruku?
Kwani sera yenu inasemaje? au machadema mnaendesha kampeni kwa utashi na mawazo ya mgombea tu?Leo nimemskia Rais Magufuli akijibu hoja ya Lissu kuhusu CHADEMA kutengeneza majimbo wakipata madaraka.
Mh Magufuli ameeleza kwamba mfumo wa majimbo utakua mwanzo wa mfarakano, japo sielewi mfarakano utatokana na nini maana sioni mifarakano USA, Nigeria, India na nchi zingine.
Sisi kama wapiga kura hatupendi kuona mnajibishana kwenye majukwaa. Tunamuomba baba yetu kipenzi Amri Jeshi Mkuu, Mwenyekiti wa CCM, Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akubali mdahalo kati yake yeye na Tundu Lissu ili kumaliza sekeseke lililopo.
Wewe unatuganya cc wajinga ama siyo? Kenya walipigana kwa wizi wa kura. Chukuloa mfano Ccm walivyooba kura za lowasa 2015 na kumtangaza mshindi huyu a mbaye hajashinda. Unamanisha MAGUFULI hapa. Unadhani lowasa angeingiza watu barabarani ingekuwa? Na je tungesema wasambaa na wabaya wamepiga kwa sababu ya majimbo? Peleka uongo na uzushi wako kwa wenzio wanaoongozwa na mnyapara hukoNchi zote walizopigana wa kwa wao yaani civil war ndio wana huo mfumo kuanzia hapo Kenya marekani India Afrika ya kusini Nigeria nk wote hao walitwangana civil war wakaamua kugawana nchi kwa majimbo .Kenya tu hapo utawala wa majimbo ulianza baada ya wakikuyu na wajaluo kutwangana barabara Kikwete akaenda kuwasaidia
Ndio majimbo yakaibuka baada ya kutembezeana marungu na mapanga wao kwa wao
Kwani sera yenu inasemaje? au machadema mnaendesha kampeni kwa utashi na mawazo ya mgombea tu?
Mkuu kaa kimya utajinyea bureeee kumtetea mtu.Lisu kama haeleweki kwenye mkutano wa kampeni wa maelfu akitegemea aeleweke kwenye mdahahalo na mtu mmoja basi uwezo wa kujieleza na kuekeweka mdogo mno Mdahalo ni kupotezea muda watu tu ni sawa na mwalimu anafundisha darasa la watoto 40 hawaelewi halafu anasema nipeni mwanafunzi mmoja nifundihe muone!! Mmm Lisu Hawezi kueleza sera za chadema zikaeleweka kwenye mikutano ya kampeni period
Mdahalo usiwe kati Lissu na Magufuli pekee bali wagombea wote wa Urais washiriki ili wote wapate nafasi ya kuonyesha uwezo wao wa kuongoza. Mdahalo unaweza kuhusu Siasa, Uongozi, Uchumi, Diplomasia, Maendeleo nk kila mmoja awaonyeshe wagombea wenzake na wananchi uelewa wake wa mada na namna atakavyokabili madhara yaliyopo au yanayoweza kutokea wakati wa Urais wake. Waendesha mdahalo watauliza maswali yanayowahusu wananchi au ya kutatua matatizo yao kila mmoja akionyesha umahili wake wa kuelewa na kujibu hoja bila kukurupuka kama tunavyoona sasa kwenye kampeni.Leo nimemskia Rais Magufuli akijibu hoja ya Lissu kuhusu CHADEMA kutengeneza majimbo wakipata madaraka.
Mh Magufuli ameeleza kwamba mfumo wa majimbo utakua mwanzo wa mfarakano, japo sielewi mfarakano utatokana na nini maana sioni mifarakano USA, Nigeria, India na nchi zingine.
Sisi kama wapiga kura hatupendi kuona mnajibishana kwenye majukwaa. Tunamuomba baba yetu kipenzi Amri Jeshi Mkuu, Mwenyekiti wa CCM, Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akubali mdahalo kati yake yeye na Tundu Lissu ili kumaliza sekeseke lililopo.
Kama Magufuli na Lowassa wangeshiriki mdahalo na wagombea wengine wananchi wangegundua udhaifu wa hao wawili na hata kama wangechaguliwa wasingeshinda kwa kishindo na wananchi wangekuwa wanajilaumu wenyewe. Magufuli ndo Rais pekee toka Uhuru ambaye wananchi walitambua udhaifu wake kwa matendo na maneno yake miezi michache tu baada ya kushika madaraka. Wananchi walinunua mbuzi kwenye kiroba bila kujiridhisha kuwa wamenunua mbuzi kumbe wameuziwa mtoto wa fisi bahati nzuri wamegundua kosa lao itabidi wammalize kabla hajawa mkubwa awamalize. Fisi ni fisi huwezi kumbadili kuwa mbuzi hata ujaribu kwa nguvu zako zote!Jamani mbona 2015 mdahalo ulifanyika bila Lowassa wala Magufuli? Hata sasa wagombea wapo wengi sio lazima Magufuli tu.
Duh..L
Kama Magufuli na Lowassa wangeshiriki mdahalo na wagombea wengine wananchi wangegundua udhaifu wa hao wawili na hata kama wangechaguliwa wasingeshinda kwa kishindo na wananchi wangekuwa wanajilaumu wenyewe. Magufuli ndo Rais pekee toka Uhuru ambaye wananchi walitambua udhaifu wake kwa matendo na maneno yake miezi michache tu baada ya kushika madaraka. Wananchi walinunua mbuzi kwenye kiroba bila kujiridhisha kuwa wamenunua mbuzi kumbe wameuziwa mtoto wa fisi bahati nzuri wamegundua kosa lao itabidi wammalize kabla hajawa mkubwa awamalize. Fisi ni fisi huwezi kumbadili kuwa mbuzi hata ujaribu kwa nguvu zako zote!