Mambo ya kumtuliza mumeo asitoke nje ya ndoa

Mambo ya kumtuliza mumeo asitoke nje ya ndoa

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
uzembe
punguza uzembe kwenye ndoa yako.unaweza ukafanya uzembe kidogo ukajikuta umepoteza ndoa yako ama kuiingiza kwenye matatizo makubwa

majibu mabaya
wengi wanajuta baada ya kuongea ;;mdomo tunaona ata kwenye biblia unaumba...mtu atakufa kwa mdomo wake..mdomo unaleta uzima ama mauti..unaweza kutoa jibu la siku moja likaguurimu ndoa yako maisha yako yote....wapo wanaoogulia si kwa kupigwa bali kwa kiile walichoongea..kuna mjomba wangu mmoja alikuwa mlevi sana akaanza kupunguza akaanza kurudi saa tano usiku...mkewe akawa akimwona anafoka sana na kutukaana siku moja akamwambia na kuanzia leo nakwambia uiishie uko uko bara kwa ma***a zako baba si haba alikuwa anajali familia akawa akifika anawka hela kwenye bahasha anarusha ndani ya ukuta anarudi zake...mpaka leo hii yule aunt anasali kama chizi lakini majuzi akaambiwa unatakiwa kuwa makini na unachoongea....akaambiwa wakati mwingine unatakiwa ikugarimu ili uondokane na matatizo yako..akaambiwa ulichoongea inabidi ukaombe msamaha kwa mumeo........,ndipo yataisha matatizo yake..so unaweza shinda kanisani kumbe unaitaji kusafishwa kwanza......,angalia usipoteze ubora wako kwa ajili ya mdomo,
ndugu mmoja alimwambia mumewe na kama umeshindwa kuninunulia gauni silali na wewe kila mtu alale kwakwe ...hee hee loh shetan akalichukua kama lilivyo na leo hii mama alikuwa wa kwanza kukimbia nyumba mzee akaanza kulala chumba kingine baada ya muda house geli akawa makao yake..

Mith 6:2

kutokuomba msaamaha

kol 3:13
msamaha ni jambo muhimu sana ktk nyumba,kama mwanamke unaitaji kukaa kwenye ndoa yako huna budi kuwa makini kuomba msamaha hata kama umekosea..hali unakuja kumwambia mumeo mkiwa kwenye hai ya furaha unajua wewe ndie ulikosea pale hny..mwombe mungu afungue kinywa chako kukuwezesha kuwahi kuomba msamha..hali hii iwe kwenu wanaume pia...



matumizi mabaya

wengi wanajisahau sana linapofika swala la matumizi;watu wanawake wengi wameshindwa kuwa na msimamo kwenyye matumizi na hasa pale wanapoona hela ziko mezani....jaribuni kuwa na ratiba za matumizi...si tu hela imeonekana unanua ambacho hata kisichofikiriwa...wanaume wengine awwana uvumilivu jamani..kuwenim makini na hili.......
Msipoteze ndoa zenu ni ghaarama kupata nyingine


kufanya majukumu yako kwa muda muafaka:

labda niseme wazi awa nyumba ndogo akuna uchawi wanaoufanya..wanachofanya ni kujua nini cha kumfanyia mumeo aweze kumfikiria kila siku maishan mwake na kukusahau wewe...kuna mambo mengi muhmu kama mwanamke kumbuka kumfanyia mumeo kwa wakti...wapo wanaume wengine haapa jf wanakula saa tano nanusu usiku.... Wapo wanaokula chakula cha mchana kuminamoja eeh najua wewe

jaribu kujua muda gani uwe ushafua nguo za mumeo.kupika chakula..kosa kubwa mnalofanya lingine hili siiwaachi ni kumwachia housegirl anakutandikia chumban jamani jamani hata kama unaamka saa kumi usiku...ole nasema ole..majuto mjukuu wapo walijaribu wakshindwa kuzirudisha ndoa zzao zinapotakiwa mpaka leo ..si mpaka pdidy apige kelele chakla chakla...namshukuru mungu kwa hili kwa kweli mama didy anakumbuka wajibu wake....

tulia nyumbani

wachaga wanasema vishoia..kuna wanawake wakiolewa yaani akirudikutoka ofisini mapema anawahi nyumbani anaishia kwa mashoga zake....jaman jamani tuwe makini na mashooga wanasahaulisha ndoa za watu hawa..tuwe makini kwa hili..kama umewahi nyumban kaa pumzika jiweke tayari kumpokea mumeo akirudi....pls jamani kumbukeni majukumu yenu...wakati mwingine ukimkuta mume anakupigia simu ameshafika anakuona nyumba za jiran unajibu niko sebulen mume wangu...oooh kuwen makini muwe wakweli ukweli unajenga nyumba yako

i nykat 12:32 mith 31:15

zab 51:10,mwanzo 25:27 zab 4:4

usafi

mwanamke ni pambo la nyumba lazima uwe msafi kiroho na kimwili,hakikisha unakua msafi hata kuziangalia nguo za mzee zikoje zimenyoshwa amevaaje,kuna masugar mumy wanamdaka mumeo just kumtengeneza kola tu na kifungo kumbe tatizo ni wewe kumwangalia kabla ya kuondoka...wanawake wengi wanajipamba wenyewe lakini waume zao ni balaa hawatamaniki kabisa

mith 31:23,mith12:4


kujiheshimu kwa mumeo
yapo matatizo mengi wamamama tunayaleta wenyewe utakuta unamwachia binti wa kazi anafanya kila kitu cha mzee anatandika anafua ananyoosha nguo za baba anamwandalia chakula mwisho upendo wa baba unahamia kwake loo ukikuta na wa singida kazi unayo bibie hata akirudi anamuuliza binti nyumban wazima
lile joka lilomshambulia mwanamke pale edeni lilimshambulia na kummaliza kabisa matoekeo tunayajua..mith 21:9,math 25:25...pia jaribu kuwa makini achanana ma xboyfriend watakusumbua sana kwenye ndoa ukishaingia umeingia ...

mwanamke asiye na ufahamu hana tofauti na nyumba ya tembe inayovuja kule singida
 
Ufahamu

mwenye ufahamu hafungwi na kinywa chake wakati mugumu yeye anatoa muda,mith 8:1, mith 11:12

mwenye ufahamu ni rahisi kujua mumeo ni mtakatifu ama mtu sahihi ama msukule

mith 9:10,mith 10:13 mith 12:11 ufahamu utakufanya utumiwe na mungu..utaaminiwa na kukabidhiwa majukumu na mungu ,nafsi iliyo hai ndiyo iliopewa majukumu,,,,mwz 2:7

badilisha tabia ya ufahamu wako..kuhusu ndoa yako usiwe na msimamo msimamo mengine ni rioho ya ibilisi kwenye ufahamu wako...usiwe na msimamo kwenye ndoa shugulikia tatizo kiroho sio msimamo na kuishia kuzira leo umechelewa namziria utanikuta usingizini 1petr 3:1-6 shida nyingi kwenye ndoa zinasababishwa na msimamo leo kanyamaza na mimi namnyamazia,kafanya hiki na mimi nafanya hiki atanitambua tubadilke ktk ufahamu tuponye nyumba zetu
tito 2:1-5
natangaza ufahamu wako popote ulipofichwa urudishwe in jesus name sauti yoyote ya uovu kwako nailaani ktk jina la yesu

harufu yoyote mbaya inayozunguuka kuharibu ndoa yako nailaan ktk jina la yesu\
hisia zinazirudia rudia ndan yako nazilaan in jesus name
vipimo vya dk ulivyoambiwa navyo vimegeuka tishio nalaani ktkt jina la yesu
nakutangazia ufahamu wako kufunguliwa in jesus name
matukkio mabaya nayamuru ayatakuwa kwenye ndoa yako in jesus name
nyumba ndogo azitakuwa kwako nalaani ktk jina la yesu
natangaza kuhifadhiwa ndoa yako injesus name
kazi yajko iifadhiwe in jesus name
2petr 2:5-8
natangaza kurejeshwa kilichochukuliwa kwako in jesus name\yoel2:21-27
 
kama unaona ushauri na points hizi useful ni vizuri na points za mambo ya kumtuliza mke asitoke nje ya ndoa zikiwekwa jamvini pia.
 
Mke wangu anafanya yote haya lakini bado nacheat... (hadi naona aibu)
 
Mke wangu anafanya yote haya lakini bado nacheat... (hadi naona aibu)

Pole sana na ninakupongeza kwa kuwa mkweli. Ila tafakari nahau isemayo "kwenye miti hakuna wajenzi". Na nyingine "Pema usijapo pema ukipema si pema tena". Ndugu yangu Jaribu saana kuchunga nyenendo zako; jaribu na ikiwezekana rudi ndani maana usilojua ni kuwa za mwizi ni arobaini. Mwisho nakuomba usome Biblia Methali 17:1. (iwapo wewe ni muumini wa Kikristu). Nakutakia kila la kheri.
 
Mke wangu anafanya yote haya lakini bado nacheat... (hadi naona aibu)

Unaweza kukuta mkeo anajua yote hayo(jinsi unavyomcheat)lakini kaamua kukaa kimya tu!ando maana umeanza kuona aibu mwenyewe
 
Kweli wewe ndiye MFALME WA JUKWAA HILI LA WANAWAKE NA NGONO ZEMBE
uzembe
punguza uzembe kwenye ndoa yako.unaweza ukafanya uzembe kidogo ukajikuta umepoteza ndoa yako ama kuiingiza kwenye matatizo makubwa

majibu mabaya
wengi wanajuta baada ya kuongea ;;mdomo tunaona ata kwenye biblia unaumba...mtu atakufa kwa mdomo wake..mdomo unaleta uzima ama mauti..unaweza kutoa jibu la siku moja likaguurimu ndoa yako maisha yako yote....wapo wanaoogulia si kwa kupigwa bali kwa kiile walichoongea..kuna mjomba wangu mmoja alikuwa mlevi sana akaanza kupunguza akaanza kurudi saa tano usiku...mkewe akawa akimwona anafoka sana na kutukaana siku moja akamwambia na kuanzia leo nakwambia uiishie uko uko bara kwa ma***a zako baba si haba alikuwa anajali familia akawa akifika anawka hela kwenye bahasha anarusha ndani ya ukuta anarudi zake...mpaka leo hii yule aunt anasali kama chizi lakini majuzi akaambiwa unatakiwa kuwa makini na unachoongea....akaambiwa wakati mwingine unatakiwa ikugarimu ili uondokane na matatizo yako..akaambiwa ulichoongea inabidi ukaombe msamaha kwa mumeo........,ndipo yataisha matatizo yake..so unaweza shinda kanisani kumbe unaitaji kusafishwa kwanza......,angalia usipoteze ubora wako kwa ajili ya mdomo,
ndugu mmoja alimwambia mumewe na kama umeshindwa kuninunulia gauni silali na wewe kila mtu alale kwakwe ...hee hee loh shetan akalichukua kama lilivyo na leo hii mama alikuwa wa kwanza kukimbia nyumba mzee akaanza kulala chumba kingine baada ya muda house geli akawa makao yake..

Mith 6:2

kutokuomba msaamaha

kol 3:13
msamaha ni jambo muhimu sana ktk nyumba,kama mwanamke unaitaji kukaa kwenye ndoa yako huna budi kuwa makini kuomba msamaha hata kama umekosea..hali unakuja kumwambia mumeo mkiwa kwenye hai ya furaha unajua wewe ndie ulikosea pale hny..mwombe mungu afungue kinywa chako kukuwezesha kuwahi kuomba msamha..hali hii iwe kwenu wanaume pia...



matumizi mabaya

wengi wanajisahau sana linapofika swala la matumizi;watu wanawake wengi wameshindwa kuwa na msimamo kwenyye matumizi na hasa pale wanapoona hela ziko mezani....jaribuni kuwa na ratiba za matumizi...si tu hela imeonekana unanua ambacho hata kisichofikiriwa...wanaume wengine awwana uvumilivu jamani..kuwenim makini na hili.......
Msipoteze ndoa zenu ni ghaarama kupata nyingine


kufanya majukumu yako kwa muda muafaka:

labda niseme wazi awa nyumba ndogo akuna uchawi wanaoufanya..wanachofanya ni kujua nini cha kumfanyia mumeo aweze kumfikiria kila siku maishan mwake na kukusahau wewe...kuna mambo mengi muhmu kama mwanamke kumbuka kumfanyia mumeo kwa wakti...wapo wanaume wengine haapa jf wanakula saa tano nanusu usiku.... Wapo wanaokula chakula cha mchana kuminamoja eeh najua wewe

jaribu kujua muda gani uwe ushafua nguo za mumeo.kupika chakula..kosa kubwa mnalofanya lingine hili siiwaachi ni kumwachia housegirl anakutandikia chumban jamani jamani hata kama unaamka saa kumi usiku...ole nasema ole..majuto mjukuu wapo walijaribu wakshindwa kuzirudisha ndoa zzao zinapotakiwa mpaka leo ..si mpaka pdidy apige kelele chakla chakla...namshukuru mungu kwa hili kwa kweli mama didy anakumbuka wajibu wake....

tulia nyumbani

wachaga wanasema vishoia..kuna wanawake wakiolewa yaani akirudikutoka ofisini mapema anawahi nyumbani anaishia kwa mashoga zake....jaman jamani tuwe makini na mashooga wanasahaulisha ndoa za watu hawa..tuwe makini kwa hili..kama umewahi nyumban kaa pumzika jiweke tayari kumpokea mumeo akirudi....pls jamani kumbukeni majukumu yenu...wakati mwingine ukimkuta mume anakupigia simu ameshafika anakuona nyumba za jiran unajibu niko sebulen mume wangu...oooh kuwen makini muwe wakweli ukweli unajenga nyumba yako

i nykat 12:32 mith 31:15

zab 51:10,mwanzo 25:27 zab 4:4

usafi

mwanamke ni pambo la nyumba lazima uwe msafi kiroho na kimwili,hakikisha unakua msafi hata kuziangalia nguo za mzee zikoje zimenyoshwa amevaaje,kuna masugar mumy wanamdaka mumeo just kumtengeneza kola tu na kifungo kumbe tatizo ni wewe kumwangalia kabla ya kuondoka...wanawake wengi wanajipamba wenyewe lakini waume zao ni balaa hawatamaniki kabisa

mith 31:23,mith12:4


kujiheshimu kwa mumeo
yapo matatizo mengi wamamama tunayaleta wenyewe utakuta unamwachia binti wa kazi anafanya kila kitu cha mzee anatandika anafua ananyoosha nguo za baba anamwandalia chakula mwisho upendo wa baba unahamia kwake loo ukikuta na wa singida kazi unayo bibie hata akirudi anamuuliza binti nyumban wazima
lile joka lilomshambulia mwanamke pale edeni lilimshambulia na kummaliza kabisa matoekeo tunayajua..mith 21:9,math 25:25...pia jaribu kuwa makini achanana ma xboyfriend watakusumbua sana kwenye ndoa ukishaingia umeingia ...

mwanamke asiye na ufahamu hana tofauti na nyumba ya tembe inayovuja kule singida
 
kama unaona ushauri na points hizi useful ni vizuri na points za mambo ya kumtuliza mke asitoke nje ya ndoa zikiwekwa jamvini pia.
kila jambo na wakati wake jifunze kupokea kwanza harafu tengeneza mazingira kusubiri kifutuatacho maana naamini mwandishi hata alichokileta hajaombwa, naamini hilo likiwa ni ombi atalileta jibu lake bali tu lisiwe shurti
 
Back
Top Bottom