zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Kwahiyo kwa hoja ni kwamba wale manabii wa agano la kale kama kina yakobo waliooa wanawake zaidi ya wawili walikuwa wazinzi??Ndoa sahihi ambayo Mungu aliagiza ni ya mke moja na sio wake wawili au zaid maana lengo la Mungu toka mwanzo ni mke mmoja na asipewe talaka ila watu kwa sababu ugumu wa mioyo yao waliamua watakavyo wenyewe na Yesu alilijibu vizuri swali hilo kwamba sababu za kuoa mke wa pili ni moja tu uzinzi tu zaidi ya hapo anazini tu mathayo 19/7-12
Ni kweli walivizia kwa sababu kutokana na uovu walioufanya hata watu wa shilo waliapa hawataozesha mtoto wao wa kike wanaume wa benyamini waliobaki ndio maana waliambiwa wawe macho yaani wasionekane na wanaume wa mji wa shilo lakini bado waliozeshwa Baada ya kuwachukua na kuaidiwa kuwa baba zao au kaka zao Wakija kuwalalamikia waisraeli watawaombea wawaachie binti zaoHiyo incident ya kwanza naifahamu nachoongelea ni baada ya wanawake kutokutosha wakapanga njama hii
Waamuzi 21
20 Basi wakawaagiza hao wana wa Benyamini wakisema, Haya, endeni, mkaotee katika mashamba ya mizabibu,
21 mkaangalie, kisha tazameni, kwamba hao binti za Shilo watoka ili wacheze katika hiyo michezo, basi tokeni ninyi mizabibuni, nanyi kila mtu na amshike mkewe katika hao binti za Shilo, kisha rudini nchi ya Benyamini
Biblia iko wazi kabisa kuwa walijificha kwenye mashamba alafu wanawake walivyokuwa wanarudi makwao wakawavamia na kila mmoja akamteka wake na kurudi naye kwake.....
Sasa swali langu lipo hapo mstari wa 21 je ni kwanini walichukua wanawake kwa mabavu bila kufuata taratibu na bado Mungu akawaacha tu?? Je ni sahihi na mimi kumteka mwanamke tu kwa mabavu na kumfanya mke wangu bila kwanza kufuata taratibu??
Hapa ndio mzizi wa swali langu mkuu
We mwenyewe unafanya ngono bila kuoa au uliwahi kufanya ngono kabla hujaoa sasa na wao walikuwa wanawaka tamaa vilevile na ndio kilichowakuta kwamba kwa kuwa walikuwa mabikira na waliwaondolea ubikira wao basi sharti walipe na kuwaoaMkuu Biblia ilisema ukibaka kwenye torati lazima uuawe ila kama mwanamke ni bikra basi hauuawi bali unamlipia mahari umuoe ndio nachouliza kama anasema ngono kabla ya ndoa ni haramu kwa mujibu wa Biblia je ni kwanini wanaobaka mabikra wanakuwa exempted na adhabu?? Hapo ndio sijaelewa
Shida yangu sio kwanini kulazimishwa kuolewa shida yangu ni dhambi ya UZINZI.... Torati ilisema ukilala na mwanamke kabla ya ndoa lazima upigwe mawe ila kama mwanamke ni bikra basi hupigwi mawe ila utamuoa.We mwenyewe unafanya ngono bila kuoa au uliwahi kufanya ngono kabla hujaoa sasa na wao walikuwa wanawaka tamaa vilevile na ndio kilichowakuta kwamba kwa kuwa walikuwa mabikira na waliwaondolea ubikira wao basi sharti walipe na kuwaoa
Faini kwa sababu walienda kinyume na sheria, pili waliwaharibia maisha na wasingeweza kuolewa tena maana walikuwa wanaolewa mabikira tu
So ilibidi waozeshwe kwa nguvu
Kwanza Biblia haipingi ngono ila inachopinga ni uasherati yaani kufanya ngono kabla muda wa kuoa au kuolewa hujafikaShida yangu sio kwanini kulazimishwa kuolewa shida yangu ni dhambi ya UZINZI.... Torati ilisema ukilala na mwanamke kabla ya ndoa lazima upigwe mawe ila kama mwanamke ni bikra basi hupigwi mawe ila utamuoa.
Ndio nahoji kama unatoa hoja kuwa Biblia inapinga ngono kabla ya ndoa je kivipi huyu ambaye amezini na Bikra hapigwi mawe?? Ila ndio kwanza anahalalishwa aoe!! Je unaona sahihi dhambi ya uzinzi kabla ya ndoa kupewa exceptions??
Nieleweshe tafadhali
Ndoa kimsingi hufungwa na wazazi. Utaratibu wa viongozi wa kiimani/kidini kufungisha ndoa no mapokeo tu ya kibinadamu yanayosimamia kushikamana katika imani hiyo moja. Neno la Mungu linasemaSomo zuri sana zile ndoa za zamani kabla ya kristu ni nani waliwafungisha? Je walifungishwa na Mungu mwenyewe au walipopatana tuu na ngono wakaianza??je ni kuoa ni lazima mpitie kwa viongozi wa dini ndo muwe mmeoana kisheria??
Natanguliza shukran zangu mkuu
Ndoa kimsingi hufungwa na wazazi. Utaratibu wa viongozi wa kiimani/kidini kufungisha ndoa no mapokeo tu ya kibinadamu yanayosimamia kushikamana katika imani hiyo moja. Neno la Mungu linasema
* Mwanzo 2:25 kwa hiyo mwanamume atamuacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja.
Neno hili tunaliona kwa Abramu(Ibrahimu) alivyompatia mwanawe Isaka Mke
*Mwanzo 24:1-67.
Afu tunaambiwa suleimani bado pamoja na kumkosea Mungu lakini bado alibariki akawa na hekimaMada nzur mkuu niko na maswali 1 au mawili kama sitakosea
1) kama ndoa ni mke 1 kwa mume 1 au mume 1 kwa mke 1 je? Vip kuhusu suleiman alieoa wake zaid ya 300?
2) je kama ngono haikutakiwa je vp kuhusu story ya lutu kuishi na wanawe?
ni hayo tu mkuu
#marongota
nao walikuwa na Utaratibu wao!Somo zuri sana zile ndoa za zamani kabla ya kristu ni nani waliwafungisha? Je walifungishwa na Mungu mwenyewe au walipopatana tuu na ngono wakaianza??je ni kuoa ni lazima mpitie kwa viongozi wa dini ndo muwe mmeoana kisheria??
Natanguliza shukran zangu mkuu
pete ziko nyingi, unaulizia pete gani [emoji344]Pete vip
Soma vitabu vya Suleiman utajua Habari zake kwa ufasaha ..Afu tunaambiwa suleimani bado pamoja na kumkosea Mungu lakini bado alibariki akawa na hekima
Dunia hii bwana
Mmmh MIE nijuavyo kuzini ni kutoka nje ndoaKuzini ni kufanya tendo la ndoa kabla hujaoa au kuolewa au kutoka nje ya ndoa huko ndio kuzini mkuu au kumtamani mwanamke asiye mke wako wa ndoa
Nitajie angalau 10 katika hizo nyingipete ziko nyingi, unaulizia pete gani [emoji344]