Kipanga boy
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,409
- 1,219
Ngono sio dhambi haya ni mawazo tu ya wanadamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile ndoa zinazofungwa kanisani ni mpango tu wa kuandaa watoa sadaka wengi tu hamna lolote zaidi ya kuandaa mfumo wa walipa kodi kwa hiariSomo zuri sana zile ndoa za zamani kabla ya kristu ni nani waliwafungisha? Je walifungishwa na Mungu mwenyewe au walipopatana tuu na ngono wakaianza??je ni kuoa ni lazima mpitie kwa viongozi wa dini ndo muwe mmeoana kisheria??
Natanguliza shukran zangu mkuu
Nitajie angalau 10 katika hizo nyingi
Kumbe tofauti ya pete ni rangi? ahahhahaahahahhahahahahajahahhahaHizi hapa [emoji117] View attachment 897948 kuna aina moja ya pete aliimbaga juma balo naona unaikumbuka nikumbushe ule wimbo wake ust masud [emoji4]
Ile alioimbaga juma balo ni rangi gani masudi [emoji4]Kumbe tofauti ya pete ni rangi? ahahhahaahahahhahahahahajahahhaha
Ni jibu basi kumbe tofauti ya hizi pete ni rangi ?ahahahahahaaahhahIle alioimbaga juma balo ni rangi gani masudi [emoji4]
Mi naona umeongea ki jamamii zaidi, inategemea na jamii au utamaduni wa mahala ulipo, ila ndoa inaweza hata isiwe na mahali wala sherehe, inaweza hata ikawa ya mume kwa mume au mke kwa mke...mi naona ndoa ni makubariano ya watu wawili.Mungu ndio huwaamulia watu kufanya ngono kwa sababu yeye ndie aliyeiruhusu ila ina masharti yake lazima wafanya ngono hao wawe mwanamke kwa mwanaume na sio vinginevyo lakini pia wawe wanatambulika kwanza na pande zote za familia zao yaani kulipa mahari
Ndoa sio tu ya Kufunga msikitini au kanisani ndoa huanza pale unapolipa mahari na pande zote kuwatambua kuwa huyu ni mume wa fulani na huyu ni mke wa fulani
Ndoa ni makubaliano ya wawili ila sio mwanaume kwa mwanaume wala mwanamke kwa mwanamkeMi naona umeongea ki jamamii zaidi, inategemea na jamii au utamaduni wa mahala ulipo, ila ndoa inaweza hata isiwe na mahali wala sherehe, inaweza hata ikawa ya mume kwa mume au mke kwa mke...mi naona ndoa ni makubariano ya watu wawili.
kufanya punyeto nayo ni zinaa mkuu?Kuzini ni kufanya tendo la ndoa kabla hujaoa au kuolewa au kutoka nje ya ndoa huko ndio kuzini mkuu au kumtamani mwanamke asiye mke wako wa ndoa
kosa kubwa how?Kama una mke na unafanya hiyo kitu ni kosa kubwa mno
kama huna mke upo alone.je ni dhambi???Kwa sababu una sehemu ya kumalizia haja zako shida ninini?
kama haupo age ya kuoa je?Ni dhambi kama umefika umri wa kuoa na hutaki kuoa
Kuliko kuwaka tamaa ni bora kuoa kabisa
sasa kama yupo mwanafunzi ataoaje???Miaka 18 17 16 unaoa kabisa
Chini ya hapo huyo ni mtoto haelewi kitu bado hata maana ya punyeto hajui