Mambo ya kushangaza Biblia inapozungumzia Ngono kwa binadamu

Mambo ya kushangaza Biblia inapozungumzia Ngono kwa binadamu

Somo zuri sana zile ndoa za zamani kabla ya kristu ni nani waliwafungisha? Je walifungishwa na Mungu mwenyewe au walipopatana tuu na ngono wakaianza??je ni kuoa ni lazima mpitie kwa viongozi wa dini ndo muwe mmeoana kisheria??
Natanguliza shukran zangu mkuu
Zile ndoa zinazofungwa kanisani ni mpango tu wa kuandaa watoa sadaka wengi tu hamna lolote zaidi ya kuandaa mfumo wa walipa kodi kwa hiari
 
Nitajie angalau 10 katika hizo nyingi

Hizi hapa [emoji117]
IMG_20181014_141106_565.jpg
kuna aina moja ya pete aliimbaga juma balo naona unaikumbuka nikumbushe ule wimbo wake ust masud [emoji4]
 
Mungu ndio huwaamulia watu kufanya ngono kwa sababu yeye ndie aliyeiruhusu ila ina masharti yake lazima wafanya ngono hao wawe mwanamke kwa mwanaume na sio vinginevyo lakini pia wawe wanatambulika kwanza na pande zote za familia zao yaani kulipa mahari
Ndoa sio tu ya Kufunga msikitini au kanisani ndoa huanza pale unapolipa mahari na pande zote kuwatambua kuwa huyu ni mume wa fulani na huyu ni mke wa fulani
Mi naona umeongea ki jamamii zaidi, inategemea na jamii au utamaduni wa mahala ulipo, ila ndoa inaweza hata isiwe na mahali wala sherehe, inaweza hata ikawa ya mume kwa mume au mke kwa mke...mi naona ndoa ni makubariano ya watu wawili.
 
Mi naona umeongea ki jamamii zaidi, inategemea na jamii au utamaduni wa mahala ulipo, ila ndoa inaweza hata isiwe na mahali wala sherehe, inaweza hata ikawa ya mume kwa mume au mke kwa mke...mi naona ndoa ni makubariano ya watu wawili.
Ndoa ni makubaliano ya wawili ila sio mwanaume kwa mwanaume wala mwanamke kwa mwanamke
 
Back
Top Bottom