Wakuu mbona mimi najamba sana halafu mke wangu yaani ni mara chache sana kujamba. Yaani tunaweza kusema hajambi kabisa. Wakati vyakula wote tunakula hivyo hivyo nyumbani.
Mwanzoni nilikua nikimkera sana sana sasa hivi kashanzoea napiga vitu tena kwa kujiaachia.
Mwambie mke asiwe msiri mkiwa woteWakuu mbona mimi najamba sana halafu mke wangu yaani ni mara chache sana kujamba. Yaani tunaweza kusema hajambi kabisa. Wakati vyakula wote tunakula hivyo hivyo nyumbani.
Mwanzoni nilikua nikimkera sana sana sasa hivi kashanzoea napiga vitu tena kwa kujiaachia.
Niliwahi kumbeba mtoto wa miezi mi-4 kwa hiari yangu nikamuachia yule yusufyuuuuuuuuu, zilipita sekunde 5 kwa harufu Ile mtoto alipiga chafya sio chini ya chafya 10.
unajamba ukiona harufu kali unaanza kugeuka geuka nyuma km unamtafuta aliejamba kupoteza maboya.hahahaUsiombe itokee kwenye daladala alafu uwe umesimama.
Na hakuna anayekubali ktk hice kila mtu hujifanya hajuiunajamba ukiona harufu kali unaanza kugeuka geuka nyuma km unamtafuta aliejamba kupoteza maboya.hahaha
Kinanuka kwa wewe ila kwa mjambaji mbona fresh tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] asanteKuna baadhi ya makabila hapa tz yapo kama matatu hv sitataja kuepusha vurumai....
mtu mzima akijamba wadogo mnatakiwa kuitikia 'asante'
Wakuu mbona mimi najamba sana halafu mke wangu yaani ni mara chache sana kujamba. Yaani tunaweza kusema hajambi kabisa. Wakati vyakula wote tunakula hivyo hivyo nyumbani.
Mwanzoni nilikua nikimkera sana sana sasa hivi kashanzoea napiga vitu tena kwa kujiaachia.
Ishanitokea hii mimi, sikumpata Huyu binti ila aliniambia ucjal pale nilipojambaMi nilijamba wakati natongoza nilijua ni ile kitu cha yusuphuuu kumbe ni matarumbeta ya buza. Hahaa niliondoka bila kuaga!
Haaaa haaaa wewe sababu ya kijambo ndiyo akakubali haaa haaaa sikuamini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna dada sista du nilikuwa namtongoza tumekaa sehemu naimba kinoma ananitolea nje ..... Eeh bwana eeeh si kijambo kikamchomoka aliona aibu kinoma, mi nikampoza nikamwambia usihofu umefanya vyema sio vizuri kubana ushuzi
Kwa aibu ilibidi anikubalie tu
Sista du kajamba?.. akaona bora akubali tu yaisheHaaaa haaaa wewe sababu ya kijambo ndiyo akakubali haaa haaaa sikuamini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajua nimecheka kwa sauti kubwa haaa haaaSista du kajamba?.. akaona bora akubali tu yaishe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajua nimecheka kwa sauti kubwa haaa haaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna ile mmejifunika shuka alafu mwenzako anakiachia kimyakimya[emoji23],, lazima ufunue shuka.