Kudharauliwa, kuchekwa, kupewa maneno ya kejeli, kwa sababu ya kukosa kazi na umaskini ulionao, ingawaje anaekudharau ni maskini kama wewe..
Naapa kwa mbingu na ardhi siku nikija kufanikiwa sana kipesa, sitokuja saidia hata Mtu mmoja chini ya hili jua, nikitoa pesa ntakua nalenga faida ya mara 10 ya hela nliyotoa, nitajilimbikizia mabilioni ya shilingi kwa hasara ya wengine, hata kama jirani yangu atakufa njaa kwa kukosa elf 2.
Sitotoa hela na sitoona huruma, nitasaidia mke alienizalia watoto na watoto wangu tu, na sitotaka mazoea ya kijinga na watu wasio na faida na mm.
Nimegundua binadamu wengi ni wanafiki sana.
Naapa kwa mbingu na ardhi siku nikija kufanikiwa sana kipesa, sitokuja saidia hata Mtu mmoja chini ya hili jua, nikitoa pesa ntakua nalenga faida ya mara 10 ya hela nliyotoa, nitajilimbikizia mabilioni ya shilingi kwa hasara ya wengine, hata kama jirani yangu atakufa njaa kwa kukosa elf 2.
Sitotoa hela na sitoona huruma, nitasaidia mke alienizalia watoto na watoto wangu tu, na sitotaka mazoea ya kijinga na watu wasio na faida na mm.
Nimegundua binadamu wengi ni wanafiki sana.