Mambo ya kutisha na yenye kuumiza hisia tunayokutana nayo tukiwa maskini



Umechelewa sana kulitambua hilo.

Ingia page yangu utapata masomo yangu ya namna ya kuwa bedui usiye na huruma
 


Mungu akikupa hakupangii matumizi.
Tumia kwa kadiri upendavyo, Mungu akikupa hakugeuzi mtumwa wako. Huyo sio Mungu.

Mungu akikupa amekupa, anakupa vile atakavyo.
Usaidie usisaidie utajua mwenyewe, Muhimu usimuasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…