Mambo ya kuvutia na kushangaza kombe la dunia mwaka 2010

Mambo ya kuvutia na kushangaza kombe la dunia mwaka 2010

Asamoah Gyan kukosa penalty ya mwishoni mwa muda wa nyongeza iliyokuwa iipeleke Afrika nusu fainali ya kombe la dunia kwa mara ya kwanza.

Nilikuwa naishabikia Spain kipindi kile nikafurahi wao kuchukua kombe, ila baadaye nimekua kila nikirudia ile mechi natamani kulia kwanini Uholanzi walikosa lile kombe. Walikuwa bora katika kila kitu!

Spain walipoteza mechi ya kwanza, nakumbuka Pique aliumia kichwa wakati anapambania mpiga golini, na Uholanzi hawakuwahi kupoteza mechi ila ya mwisho pekee. Very sad!

Nilikuwa Form Four, na mimi ndiye nilikuwa mchambuzi wa kombe hilo kwa familia kila mechi bila mimi Mzee haangalii mpira kwa raha, ikabidi niwe naangalia naye mechi hadi usiku na bahati nzuri nilikuwa likizo.
Aisee 2010 ulikuwa form four?
Nilikuwa team Spain pia na hii ni kwa sababu nilikuwa naipenda sana Barcelona.

Nilipata uzi OG kabisa wa Spain
 
Asamoah Gyan kukosa penalty ya mwishoni mwa muda wa nyongeza iliyokuwa iipeleke Afrika nusu fainali ya kombe la dunia kwa mara ya kwanza.

Nilikuwa naishabikia Spain kipindi kile nikafurahi wao kuchukua kombe, ila baadaye nimekua kila nikirudia ile mechi natamani kulia kwanini Uholanzi walikosa lile kombe. Walikuwa bora katika kila kitu!

Spain walipoteza mechi ya kwanza, nakumbuka Pique aliumia kichwa wakati anapambania mpiga golini, na Uholanzi hawakuwahi kupoteza mechi ila ya mwisho pekee. Very sad!

Nilikuwa Form Four, na mimi ndiye nilikuwa mchambuzi wa kombe hilo kwa familia kila mechi bila mimi Mzee haangalii mpira kwa raha, ikabidi niwe naangalia naye mechi hadi usiku na bahati nzuri nilikuwa likizo.
Ndio nimemaliza form six najiandaa kwenda chuo !nikiwa porini huko Kwa wamasai ndani ndani na marehem Mzee akiwa afisa kilimo mifugo!aiseh ndio nikaanza dating na natural beauty wa huko!

Ilikua tam,muda wa gem ukifika nawasha jenereta no umeme Mimi ndio wakishua Kwa sanaaa!nili enjoy sana maziwa ya moto unakorogea asali,kipindi hicho Lita ya maziwa 300/= !!

Those moments were bam Bam aiseh!
 
Siwezi kulisahau goli la Sulei Muntari .....sikumbuki hata Ghana alikuwa anacheza na nani. Huwa halifutiki kichwani mwangu.
 
Me nlikua nshaanza kuchakata vipochi manyoya kipndi hicho
Pia nlitaka kufa sababu ya kukosa pumzi.
Ilikua kijijini banda la tv ni moja tu sa wakati wa kuingia kila mtu anataka awahi siti aisee nikajikua nimewekwa kati na nlikua bado dogo janja na ufupi majitu marefu plus mbanano aisee pumzi ikaanza kata watu hata hawaelewi wako wanasukumana kuingia mimi mfupi kichwa kinaishia kwa matumbo yao.aisee ilibidi nipenye kurudi nyuma bahati nzuri nkafauru na hamu ya kuangalia mpira ilikata siku hiyo.nkaona bora nikachakate mbususu ya shangazi langu la darasa la saba mimi nkiwa darasa la nne
 
🤔 nafikiri natakiwa kutoka huku JF,Chuo kwa la nne.
Hapana ni kupeana heshima tuu basi..

Tuna hitaji kupata stories na memories na life experience kutoka kwenu ninyi mliotutangulia kiumri, maendeleo, fikra na mambo mengine mkiwa wazazi, walezi, kaka na dada

Nilikuwa class five by then..... saa hz nshakuwa kijana sasa 😂
secretarybird
Leejay49
@poorbrain
BRAZA CHOGO
BICHWA KOMWE
 
Bila kumuongela asamoh gian uzi huu ni batilli,mimi kama muafrika sitamsahau kamwe
 
Hapana ni kupeana heshima tuu basi..

Tuna hitaji kupata stories na memories na life experience kutoka kwenu ninyi mliotutangulia kiumri, maendeleo, fikra na mambo mengine mkiwa wazazi, walezi, kaka na dada

Nilikuwa class five by then..... saa hz nshakuwa kijana sasa 😂
secretarybird
Leejay49
@poorbrain
BRAZA CHOGO
BICHWA KOMWE
Kabisa mkuu, hawa jamaa bado tunawahitaji Sana katika safari hii
 
Kuna classmate wetu alikua anaitwa Paul. Kombe la dunia halikua muacha salama akajipatia jina la utani hadi leo anaitwa hivyo.
 
Hapana ni ngoma 2 tofauti, moja ya akon na nyingine ya knaan ni msomali sijui muethiopia yule. huenda kombe la dunia hili ndio lilikuwa na ngoma nzuri nyingi.
K'naan ni msomali aliyezamia USA, saivi anapambana na trump huko
 
2010 nilkua kwa messi na any timu ambayo ina mchezaji wa Arsenal….but final nilkua kwa Rvp but alkuja kutusaliti!! Mda umeenda kweri kweri.
 
Back
Top Bottom