Mambo ya kuvutia na kushangaza kombe la dunia mwaka 2010

Kumbe we mzee,kibibi kabisa kwisha habari yako huna jambo.
 
Mkuu nilifumaniwa kwa dem na kaka zake baada ya kutoka kwenye mpira. Nakumbuka ilikuwa nusu fainal nadhani ilikuwa Spain na german.

Demu akaniambia leo njoo wote wanaenda mpirani hadi baba mzazi wao.Bahati mbaya generator ilizingua hivyo watu wakarudi kabla ya game kuisha


Baada ya mzee yule kunifahamu akaamulu nisipigwe ila nikojolewe mwili mzima na vijana wake wakafanya hivyo kisha kunipeleka hadi getoni kwangu nikalale na mkojo wao bila kuoga.
 
Dah wakati huo 98 nilikuwa nanyonya sijui chochote kuhusu dunia kweli binadamu tunatoka mbali sana.
The Cup of Life (La Copa De La Vida) ya ricky martin huenda ndio ngoma bora zaidi ya world cup na maarufu, huenda hata wewe umeisikia.
 
One of the best world cup! Suarez kudaka mpira, wimbo vibe la wimbo wa wakawaka, tangazo la cocacola, goli la ushindi la iniesta
😃😃Kweli JF ina kila rika kuna watu eti huo mwaka walikuwa standard 4 wakati wengine ndo Kwanza tulikuwa na mandevu ya kutosha
 
Laana ya asili ya waafrica ilimkosesha Asamoah penaty

Robben alizingua sana kukosa magoli ila refa pia Howard web aliharibu mechi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…