Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,666
- 12,178
Habari,
Kama inavyofahamika baadhi yetu hatujaweza kumudu gharama za kununua fridge mpya, na mahitaji ya chombo hiko tunayo hivyo tunalazimika kupitia maeneo ambayo tunaweza tukapata kwa bei tunayoimudu na mara zote inakuwa ni used.
Kama mjuavyo vitu hv vina changamoto sana hasa kwa sie tusiokuwa na abc za kutosha kuhusiana na ilo, hivyo kwa wenzetu wenye ufahamu zaid huko watujuze kipi hasa cha kuzingatia ktk manunuzi, changamoto na mengine mengi naamini tutasaidika wengi.
Karibuni.
Kama inavyofahamika baadhi yetu hatujaweza kumudu gharama za kununua fridge mpya, na mahitaji ya chombo hiko tunayo hivyo tunalazimika kupitia maeneo ambayo tunaweza tukapata kwa bei tunayoimudu na mara zote inakuwa ni used.
Kama mjuavyo vitu hv vina changamoto sana hasa kwa sie tusiokuwa na abc za kutosha kuhusiana na ilo, hivyo kwa wenzetu wenye ufahamu zaid huko watujuze kipi hasa cha kuzingatia ktk manunuzi, changamoto na mengine mengi naamini tutasaidika wengi.
Karibuni.