Mambo ya kuzingatia kwa wanunuaji wa used fridge

Mambo ya kuzingatia kwa wanunuaji wa used fridge

Nilinunua friji nikiwa chuo asee ni balaa,hata machungwa ukiweka kule chini ukija kesho yamekua jiwe,nikaliuzia mbali dadeki.
Aaah asee duuh umetisha sana yani lilivyofanya kazi vizuri wewe ukaona uliuze si mbaya pia maana ulirudisha pesa zako
 
zingatia friji unayonunua iwe ni NOFROST ni nzuri zaidi na isiwe imeguswa yaan upate used ambayo haijatiwa gesi hapa tanzania imekuja hivyohivyo ilivyotoka huko

ila kama hujui kabisa tafuta bland ya samsung USED ambayo haijaguswa shida inakuja utajuaje kama haijaguswa sasa hapo ndo
bora zadi uende na mtu anaejua usiwaamini wale unaowakuta pale maneno mengi wanatakaga wauze mbaymbaya kwanza
 
Wewe unauliza nini mkuu pitia comment utaelewa yametolewa maelezo yakutosha umu so pitia comment
Ukipinga kitu toa alternative wewe uliyepinga ili ku support hoja yako....
 
Apana iyo haijalishi mkuu frost na defrost izo mifumo tu ya utengenezaj ni sawa na manual an auto ivyo iyo haimat kabisa
MKUU unajua hizo friji za NOFROST zinavyotengenezwa EVAPORATOR yake inavyofanya kazi kuleta baridi au unaongea tu kama wale watu wa magomeni na agray ili wauze oldschool zao
NO FROST au FROST free ndo friji bora ndo mana mzungu kaachana teknojia ya kizamani
mkuu ukienda kununua waambie unataka NO FROST wakikwambia hizo ni kwa nchi za baridi waambie ndio unaenda nayo Njombe
 
Alafu dogo una dharau za kipuuzi sana asee aya bhana prondo hongera
Friji gani ni nzuri, inayogandisha bila kuweka barafu na ina dumu muda mrefu?
Na pia inagandisha kitu kinakuwa km jiwe.
 
fuata ushauri wa ankai, cha kuongezea tu

raisi aghali: kuna vitu vya kununua kama 'used' sio friji! hujui iyo 'kompresa' ina 'age' gani, imezeeka kiasi gani, iandalie units 3 za umeme kwa siku kama ni friji izi za 50Watts
kwanza COMPRESA ina Guarantee ya maisha jua hicho kwanza umeme wetu usokuwana msawazo ndo unaua compresa c

katika friji elf 1000 tunazonunua USED 10 tu ndo zinakufa upande wa MECHANICAL katika compresa nyingi tunaziua upande wa ELECTRICAL

then fliji ya 50watts inahitaji masaa 20 ya kuwaka mfululuzo bila kuzimwa ndo inaondoka unit 1 hapo themostart ukiwa umeiweka full speed
 
Friji gani ni nzuri, inayogandisha bila kuweka barafu na ina dumu muda mrefu?
Na pia inagandisha kitu kinakuwa km jiwe.
Tafuta samsung yenye kisha kagua compressor kama itakuwa imetengeneza na kampuni inaitwa danfalseilo ndo friji bora zaidi na lenye uwdzo wa kugandisha kwa haraka sana kwa upande wa nofrost fiji brand samsung compressor brand danfalse
 
Friji gani ni nzuri, inayogandisha bila kuweka barafu na ina dumu muda mrefu?
Na pia inagandisha kitu kinakuwa km jiwe.
Tafuta samsung yenye kisha kagua compressor kama itakuwa imetengeneza na kampuni inaitwa danfalseilo ndo friji bora zaidi na lenye uwdzo wa kugandisha kwa haraka sana kwa upande wa nofrost fiji brand samsung compressor brand danfalse
 
Mkuu ukipata umeipata na ukikosa umeikosa.
Well said mkuu used ni bora zaidi kuliko mpya hasa huu upande wa mafriji used ni best kikubwa ujue kulikagua friji lako kabla hujalinunua na uviprove vitu vilivyojadiliwa umu ndani
 
MKUU unajua hizo friji za NOFROST zinavyotengenezwa EVAPORATOR yake inavyofanya kazi kuleta baridi au unaongea tu kama wale watu wa magomeni na agray ili wauze oldschool zao
NO FROST au FROST free ndo friji bora ndo mana mzungu kaachana teknojia ya kizamani
mkuu ukienda kununua waambie unataka NO FROST wakikwambia hizo ni kwa nchi za baridi waambie ndio unaenda nayo Njombe
Mkuu ulikuwa unajaribu kumaanisha nini kwa kuniuliza ili swali daah wee jamaa umenishangaza
 
kwanza COMPRESA ina Guarantee ya maisha jua hicho kwanza umeme wetu usokuwana msawazo ndo unaua compresa c

katika friji elf 1000 tunazonunua USED 10 tu ndo zinakufa upande wa MECHANICAL katika compresa nyingi tunaziua upande wa ELECTRICAL

then fliji ya 50watts inahitaji masaa 20 ya kuwaka mfululuzo bila kuzimwa ndo inaondoka unit 1 hapo themostart ukiwa umeiweka full speed

ni kweli 50W inalamba 1 unit ndani ya 20 masaa, hapa ikiwa mpyaa kiongozi

ikiwa kuukuu (used) inalamba unit mpaka 3 ndani ya siku moko! izo calculation za units = watts in kW x time in hours, hazi apply tena!
 
kwanza COMPRESA ina Guarantee ya maisha jua hicho kwanza umeme wetu usokuwana msawazo ndo unaua compresa c

katika friji elf 1000 tunazonunua USED 10 tu ndo zinakufa upande wa MECHANICAL katika compresa nyingi tunaziua upande wa ELECTRICAL

then fliji ya 50watts inahitaji masaa 20 ya kuwaka mfululuzo bila kuzimwa ndo inaondoka unit 1 hapo themostart ukiwa umeiweka full speed
Nilinunua fridge mwanzo ikawa inakula umeme sana hata unit 5 kwa masaa 24.Nikaona hili jini nikatamani niiuze.Nikaona isiwe tatizo ngoja nimpigie mmakunduchi aliyeniuzia.Kumbe nilikua nakosea tokana na ulaji wa umeme usiku nalizima naliwasha asubuh nikujua na save umeme kumbe ndo naharibu.saiv nimeliwasha non stop atleast linakula unit mbili sio mbaya.
 
Hakikisha ni Frost Free...haligandi mabarafu kwenye kuta, kutoa chakula mpaka upasue barafu
Mabarafu yanaganda sana kutokana na temperature ndogo. Kwa hiyo unaongeza temperature na hili tatizo linapungua. Temp zinarange kutoka 0-5 degrees below 0. Kwa hiyo kutegemea na hali ya hewa unapunguza na kuongeza.
 
Frost free uswahilini wapi na wapi mkuu sisi huku likitengeneza mabarafu ndio linafanya kazi sana,hiyo tabia ya kugonga freezer kupata barafu ni kawaida sana na kama zile line za gas zikitoboka tunafanya winding na zile copper tubes ! [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
MKUU unajua hizo friji za NOFROST zinavyotengenezwa EVAPORATOR yake inavyofanya kazi kuleta baridi au unaongea tu kama wale watu wa magomeni na agray ili wauze oldschool zao
NO FROST au FROST free ndo friji bora ndo mana mzungu kaachana teknojia ya kizamani
mkuu ukienda kununua waambie unataka NO FROST wakikwambia hizo ni kwa nchi za baridi waambie ndio unaenda nayo Njombe
Afadhali mnisaidie kumuelewesha huyu mtu. Eti haoni umuhimu wa Frost Free Fridge Freezer.....
 
Back
Top Bottom