Iwe inatoa baridi kwa maana ya coolling ili uijue kama iko vizuri zaidi mwambie muuzaji akuwashie griji kisha subiri dkk kumi lizime kisha baada ya dkk tano liwashe na usubiri kuangalia kama litaweka baridi ndani lisipofanya ivyo huo utakuwa ni mkeka achana nao utakuchanikia ndaniKwenye kompresa nini cha kuangalia ili kuijuwa kama iko vizuri?
Apana iyo haijalishi mkuu frost na defrost izo mifumo tu ya utengenezaj ni sawa na manual an auto ivyo iyo haimat kabisaHakikisha ni Frost Free...haligandi mabarafu kwenye kuta, kutoa chakula mpaka upasue barafu
Kuangalia na brand je?Apana iyo haijalishi mkuu frost na defrost izo mifumo tu ya utengenezaj ni sawa na manual an auto ivyo iyo haimat kabisa
Kwako wewe haijalishi. Ila tunaojua Quality tunajali.Apana iyo haijalishi mkuu frost na defrost izo mifumo tu ya utengenezaj ni sawa na manual an auto ivyo iyo haimat kabisa
Hahah umeme ukikatika mafuriko ndani.😀Kwako wewe haijalishi. Ila tunaojua Quality tunajali.
Namshangaa huyo muuza mafriji hajui umuhimu wa nilichosema.Hahah umeme ukikatika mafuriko ndani.😀
Johnhance umemaliza kila kitu.fuata ushauri wa ankai, cha kuongezea tu
raisi aghali: kuna vitu vya kununua kama 'used' sio friji! hujui iyo 'kompresa' ina 'age' gani, imezeeka kiasi gani, iandalie units 3 za umeme kwa siku kama ni friji izi za 50Watts
Mkuu trst me kwenye friji kinachomatter ni compressor haya mambo ya brand sijui samsung sijui boss sijui sharp hayana maana zaidi ya ufahari tu kwa washkaji na majirani wanaokuzunguka na kuja geto kwako lakini kinachomatter kwenye friji lolote lile ata iwe brand gani ni uhai wa compressor ni uzima wa compressor ni ukamilifu wa compressorKuangalia na brand je?
Binafsi nilienda dukani nikachukua SHARP na kuacha BOSS.
So far ipo good.
Kinachoharibika kwenye "Compressor" ni "Relay" dumu la compressor kama halijatoboka linaweza kukaa hata miaka mia moja 100yrs,kwahiyo hamna kuzeeka kwenye compressor.Relay ni kitu kiko juu ya compressor ambacho unaweza kukitoa na kukibadilisha,ubora wa Relay inatokanana nchi gani imetengenezwa..fuata ushauri wa ankai, cha kuongezea tu
raisi aghali: kuna vitu vya kununua kama 'used' sio friji! hujui iyo 'kompresa' ina 'age' gani, imezeeka kiasi gani, iandalie units 3 za umeme kwa siku kama ni friji izi za 50Watts
Mkuu sijajua unaongelea quality gani mimi si muuza mafriji tafadhali sana nafanya kazi nyingine lkn nina uzoefu na iyo kazi pia nishawahi kuifanya na naijua vizuri sana nje ndani ivyo.Kwako wewe haijalishi. Ila tunaojua Quality tunajali.
Alafu dogo una dharau za kipuuzi sana asee aya bhana prondo hongeraNamshangaa huyo muuza mafriji hajui umuhimu wa nilichosema.
Frost free uswahilini wapi na wapi mkuu sisi huku likitengeneza mabarafu ndio linafanya kazi sana,hiyo tabia ya kugonga freezer kupata barafu ni kawaida sana na kama zile line za gas zikitoboka tunafanya winding na zile copper tubes ! [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hakikisha ni Frost Free...haligandi mabarafu kwenye kuta, kutoa chakula mpaka upasue barafu