DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Endapo Umeamua kwenda kulewa pombe pamoja na Malaya uliemchagua , jitahidi Sana:-
1. Usiende kulewa na Malaya maeneo ambayo Ni jirani na kwako au sehemu unakofahamika Sana.
2. Hakikisha umekula umeshiba na unywe maziwa fresh ya kutosha kabla ujaenda kulewa na malaya. Inasaidia kupunguza Kasi ya ulevi, pia Hata akikuchanganyia dawa, zitachukua MDA Sana kufanya Kazi mwilini mwako
3. Ukijihisi pombe zinakuelemea Sana na uko na Malaya mezani mnalewa, jitahidi unywe maji mengi katikati ya ulevi, ukishakojoa inasaidia Sana kupunguza Kasi ya ulevi.
4. Usiende peke yako kulewa na Malaya kwenye kiwanja ambacho Malaya ndo amekichagua yeye mwenyewe.
5. Kua makini sana, unapoona Malaya wako anamchangamkia Sana mhudumu wenu anaewahudumia hapo mlipoamua kunywea pombe.
6. Kamwe usitumie glass ya bar kunywea pombe, tumia njia ya kunywea pombe kwenye chupa direct (kupiga tarumbeta).
7. Usiache chupa yenye pombe nusu, unapoamua kwenda msalani au nje kupokea simu. Nenda nayo au Malizia chupa Yako, ukirudi unafungua chupa mpya.
8. Usitafute sifa bar Kwa Malaya ulieamua kulewa nae , epuka kujiingiza gharama kubwa sana kumfurahisha Malaya mezani kabla ujapewa huduma stahiki.
9. Kua makini na invoice bills zinzoletwa mezani kwako. Malaya wengi ufanya deal na wahudumu kuongeza Bei ya Kila kinywaji kitachoagizwa pale mezani kwako. Bia ya elfu 2 utauziwa elfu 5, buku 3 Kwa Kila bia mliyokunywa wote, Malaya ataipitia kesho asbh hapo bar.
10. Jiepushe kulewa na Malaya wanaoshinda pale pale bar, hawana mishe zozote, au wanaotembea Kwa MAKUNDI, Hawa Mara nyingi Ni wezi.
11. Kua makini na Malaya anaekwenda msalani Mara Kwa Mara akiwa na simu yake. Hawa Mara nyingi Huwa na mipango ya uovu.
12. Malaya anapotoka kwenda msalani, jitahd upekue kijanja kilicho ndani ya mkoba wake aliouacha mezani. Malaya wengi Vibaka ubeba silaha, Kama kuna silaha au kitu kisicho cha kawaida, itakusaidia kujipanga kisaikolojia.
13. Jitahidi kutokuongea Sana mambo yako binafsi unapoamua kulewa na Malaya. Jitahidi uwe msikilizaji zaidi, malaya wengi Ni waongeaji Sana,hasa wakishalewa. Itakusaidia kumjua zaidi kiundani.
14. Kamwe Usitumie stick ya kuchokonolea meno uliyopewa na malaya ulieamua kulewa nae.
15. Jiepushe kunywa kichwani chochote ulicholetewa na Malaya mwenyewe kutokea kaunta Moja.
Karibuni Sana,
Wadau Wengine mnaweza kuongezea nondo muhimu.
Mada ijayo itakua:
"Namna ya kumchangua Malaya anaemwaga maji (squirt)"🙏
1. Usiende kulewa na Malaya maeneo ambayo Ni jirani na kwako au sehemu unakofahamika Sana.
2. Hakikisha umekula umeshiba na unywe maziwa fresh ya kutosha kabla ujaenda kulewa na malaya. Inasaidia kupunguza Kasi ya ulevi, pia Hata akikuchanganyia dawa, zitachukua MDA Sana kufanya Kazi mwilini mwako
3. Ukijihisi pombe zinakuelemea Sana na uko na Malaya mezani mnalewa, jitahidi unywe maji mengi katikati ya ulevi, ukishakojoa inasaidia Sana kupunguza Kasi ya ulevi.
4. Usiende peke yako kulewa na Malaya kwenye kiwanja ambacho Malaya ndo amekichagua yeye mwenyewe.
5. Kua makini sana, unapoona Malaya wako anamchangamkia Sana mhudumu wenu anaewahudumia hapo mlipoamua kunywea pombe.
6. Kamwe usitumie glass ya bar kunywea pombe, tumia njia ya kunywea pombe kwenye chupa direct (kupiga tarumbeta).
7. Usiache chupa yenye pombe nusu, unapoamua kwenda msalani au nje kupokea simu. Nenda nayo au Malizia chupa Yako, ukirudi unafungua chupa mpya.
8. Usitafute sifa bar Kwa Malaya ulieamua kulewa nae , epuka kujiingiza gharama kubwa sana kumfurahisha Malaya mezani kabla ujapewa huduma stahiki.
9. Kua makini na invoice bills zinzoletwa mezani kwako. Malaya wengi ufanya deal na wahudumu kuongeza Bei ya Kila kinywaji kitachoagizwa pale mezani kwako. Bia ya elfu 2 utauziwa elfu 5, buku 3 Kwa Kila bia mliyokunywa wote, Malaya ataipitia kesho asbh hapo bar.
10. Jiepushe kulewa na Malaya wanaoshinda pale pale bar, hawana mishe zozote, au wanaotembea Kwa MAKUNDI, Hawa Mara nyingi Ni wezi.
11. Kua makini na Malaya anaekwenda msalani Mara Kwa Mara akiwa na simu yake. Hawa Mara nyingi Huwa na mipango ya uovu.
12. Malaya anapotoka kwenda msalani, jitahd upekue kijanja kilicho ndani ya mkoba wake aliouacha mezani. Malaya wengi Vibaka ubeba silaha, Kama kuna silaha au kitu kisicho cha kawaida, itakusaidia kujipanga kisaikolojia.
13. Jitahidi kutokuongea Sana mambo yako binafsi unapoamua kulewa na Malaya. Jitahidi uwe msikilizaji zaidi, malaya wengi Ni waongeaji Sana,hasa wakishalewa. Itakusaidia kumjua zaidi kiundani.
14. Kamwe Usitumie stick ya kuchokonolea meno uliyopewa na malaya ulieamua kulewa nae.
15. Jiepushe kunywa kichwani chochote ulicholetewa na Malaya mwenyewe kutokea kaunta Moja.
Karibuni Sana,
Wadau Wengine mnaweza kuongezea nondo muhimu.
Mada ijayo itakua:
"Namna ya kumchangua Malaya anaemwaga maji (squirt)"🙏