Mambo ya kuzingatia unapokunywa pombe na Malaya mwaka 2025

Mambo ya kuzingatia unapokunywa pombe na Malaya mwaka 2025

DeepPond

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2017
Posts
41,728
Reaction score
103,997
Endapo Umeamua kwenda kulewa pombe pamoja na Malaya uliemchagua , jitahidi Sana:-

1. Usiende kulewa na Malaya maeneo ambayo Ni jirani na kwako au sehemu unakofahamika Sana.

2. Hakikisha umekula umeshiba na unywe maziwa fresh ya kutosha kabla ujaenda kulewa na malaya. Inasaidia kupunguza Kasi ya ulevi, pia Hata akikuchanganyia dawa, zitachukua MDA Sana kufanya Kazi mwilini mwako

3. Ukijihisi pombe zinakuelemea Sana na uko na Malaya mezani mnalewa, jitahidi unywe maji mengi katikati ya ulevi, ukishakojoa inasaidia Sana kupunguza Kasi ya ulevi.

4. Usiende peke yako kulewa na Malaya kwenye kiwanja ambacho Malaya ndo amekichagua yeye mwenyewe.

5. Kua makini sana, unapoona Malaya wako anamchangamkia Sana mhudumu wenu anaewahudumia hapo mlipoamua kunywea pombe.

6. Kamwe usitumie glass ya bar kunywea pombe, tumia njia ya kunywea pombe kwenye chupa direct (kupiga tarumbeta).

7. Usiache chupa yenye pombe nusu, unapoamua kwenda msalani au nje kupokea simu. Nenda nayo au Malizia chupa Yako, ukirudi unafungua chupa mpya.

8. Usitafute sifa bar Kwa Malaya ulieamua kulewa nae , epuka kujiingiza gharama kubwa sana kumfurahisha Malaya mezani kabla ujapewa huduma stahiki.

9. Kua makini na invoice bills zinzoletwa mezani kwako. Malaya wengi ufanya deal na wahudumu kuongeza Bei ya Kila kinywaji kitachoagizwa pale mezani kwako. Bia ya elfu 2 utauziwa elfu 5, buku 3 Kwa Kila bia mliyokunywa wote, Malaya ataipitia kesho asbh hapo bar.

10. Jiepushe kulewa na Malaya wanaoshinda pale pale bar, hawana mishe zozote, au wanaotembea Kwa MAKUNDI, Hawa Mara nyingi Ni wezi.

11. Kua makini na Malaya anaekwenda msalani Mara Kwa Mara akiwa na simu yake. Hawa Mara nyingi Huwa na mipango ya uovu.

12. Malaya anapotoka kwenda msalani, jitahd upekue kijanja kilicho ndani ya mkoba wake aliouacha mezani. Malaya wengi Vibaka ubeba silaha, Kama kuna silaha au kitu kisicho cha kawaida, itakusaidia kujipanga kisaikolojia.

13. Jitahidi kutokuongea Sana mambo yako binafsi unapoamua kulewa na Malaya. Jitahidi uwe msikilizaji zaidi, malaya wengi Ni waongeaji Sana,hasa wakishalewa. Itakusaidia kumjua zaidi kiundani.

14. Kamwe Usitumie stick ya kuchokonolea meno uliyopewa na malaya ulieamua kulewa nae.

15. Jiepushe kunywa kichwani chochote ulicholetewa na Malaya mwenyewe kutokea kaunta Moja.

Karibuni Sana,
Wadau Wengine mnaweza kuongezea nondo muhimu.

Mada ijayo itakua:
"Namna ya kumchangua Malaya anaemwaga maji (squirt)"🙏
 

Attachments

  • IMG_20241231_211533.png
    IMG_20241231_211533.png
    753.2 KB · Views: 10
Kwanini usinywe na washkaji kuepuka haya yote?

Ndio maana mimi huwa nasema watu wengi bar ni malaya na si walevi. Malaya wa kiume na kike.

Walevi hawahitaji kuzungukwa na wanawake ili kuenjoy pombe. Kama ilivyo kwa baadhi ya wanawake kwenda bar sio lazima wanaaume wawe around (kwenye hili kundi ndio wanapatikana walevi wa kweli na wapenda muziki )
 
S
Endapo Umeamua kwenda kulewa pombe pamoja na Malaya uliemchagua , jitahidi Sana:-

1. Usiende kulewa na Malaya maeneo ambayo Ni jirani na kwako au sehemu unakofahamika Sana.

2. Hakikisha umekula umeshiba na unywe maziwa fresh ya kutosha kabla ujaenda kulewa na malaya. Inasaidia kupunguza Kasi ya ulevi, pia Hata akikuchanganyia dawa, zitachukua MDA Sana kufanya Kazi mwilini mwako

3. Ukijihisi pombe zinakuelemea Sana na uko na Malaya mezani mnalewa, jitahidi unywe maji mengi katikati ya ulevi, ukishakojoa inasaidia Sana kupunguza Kasi ya ulevi.

4. Usiende peke yako kulewa na Malaya kwenye kiwanja ambacho Malaya ndo amekichagua yeye mwenyewe.

5. Kua makini sana, unapoona Malaya wako anamchangamkia Sana mhudumu wenu anaewahudumia hapo mlipoamua kunywea pombe.

6. Kamwe usitumie glass ya bar kunywea pombe, tumia njia ya kunywea pombe kwenye chupa direct (kupiga tarumbeta).

7. Usiache chupa yenye pombe nusu, unapoamua kwenda msalani au nje kupokea simu. Nenda nayo au Malizia chupa Yako, ukirudi unafungua chupa mpya.

8. Usitafute sifa bar Kwa Malaya ulieamua kulewa nae , epuka kujiingiza gharama kubwa sana kumfurahisha Malaya mezani kabla ujapewa huduma stahiki.

9. Kua makini na invoice bills zinzoletwa mezani kwako. Malaya wengi ufanya deal na wahudumu kuongeza Bei ya Kila kinywaji kitachoagizwa pale mezani kwako. Bia ya elfu 2 utauziwa elfu 5, buku 3 Kwa Kila bia mliyokunywa wote, Malaya ataipitia kesho asbh hapo bar.

10. Jiepushe kulewa na Malaya wanaoshinda pale pale bar, hawana mishe zozote, au wanaotembea Kwa MAKUNDI, Hawa Mara nyingi Ni wezi.

11. Kua makini na Malaya anaekwenda msalani Mara Kwa Mara akiwa na simu yake. Hawa Mara nyingi Huwa na mipango ya uovu.

12. Malaya anapotoka kwenda msalani, jitahd upekue kijanja kilicho ndani ya mkoba wake aliouacha mezani. Malaya wengi Vibaka ubeba silaha, Kama kuna silaha au kitu kisicho cha kawaida, itakusaidia kujipanga kisaikolojia.

13. Jitahidi kutokuongea Sana mambo yako binafsi unapoamua kulewa na Malaya. Jitahidi uwe msikilizaji zaidi, malaya wengi Ni waongeaji Sana,hasa wakishalewa. Itakusaidia kumjua zaidi kiundani.

14. Kamwe Usitumie stick ya kuchokonolea meno uliyopewa na malaya ulieamua kulewa nae.

15. Jiepushe kunywa kichwani chochote ulicholetewa na Malaya mwenyewe kutokea kaunta Moja.

Karibuni Sana,
Wadau Wengine mnaweza kuongezea nondo muhimu.

Mada ijayo itakua:
"Namna ya kumchangua Malaya anaemwaga maji (squirt)"🙏
SHida zote hizo za nini?
 
Kutembea barabarani sio kuzuri, nenda Muhimbili kitengo Cha MOI uone vijana wenye Nguvu wanavyoaga dunia kisa ajali za barabarani
Umemjibu vizuri sana mkuu.
Mimi sinywi pombe na waka siyo mtu wa starehe,
lakini nimepata tatizo la kiafya ambalo siyo la kuambukizwa na wala halina tiba.
Kwahiyo kama uwezo wa kufanya starehe unao, kula bata tu, maisha yenyewe mafupi haya.
 
Jambo ni moja , aseme bei mkazagamuane ! Kama anatoza kwa idadi ya mabao sawa ! Kama anatoza kwa muda mfano one night stand aseme price yake !!

Hii naona ya kuanza kunywa pamoja , sijui mcheze mziki naona ni upotevu wa muda halafu ni kumfurahisha yeye ! Yaan ni kama niende mgahawani kula nikifika tu nianze kufuta meza nitakayolia chakula , kama kuna vyombo alibakisha mteja nivitoe ! Nimsaidie mama ntilie kuweka maji ya kunywa kwenye jagi , kama sabuni ya kunawia imeisha nimsaidie kufata 🤣🤣

Nadhani maana ya biashara ieleweke tusitie huruma yeye kaona uvivu kulima au kutengeneza juice kama wengine kaingia biashara hiyo ! We kula sema unayotaka kufanyiwa uenjoy lipa hela za watu tembea ! Kama utataka kumpa tip ni wewe !!
 
Maisha yangekuwa mazuri sana kama kusinge kuwa na ngono!
Hii kitu imeharibu sana mantiki ya maisha,ni vile hamna njia nyingine ya uzazi ila nakchukia sana toka ndani ya moyo wangu.
Imagine mwanamke ambae ni dada mama bibi shangazi anaitwa malaya na anaonekana ni zaidi ya mtu mbaya kuliko hata ubaya wenyewe kisa ngono!
 
Back
Top Bottom