Mambo ya kuzingatia unapokunywa pombe na Malaya mwaka 2025

Mambo ya kuzingatia unapokunywa pombe na Malaya mwaka 2025

MAGONJWA YA FIGO YAMEONGEZEKA KWASABABU YA ARV MTU ANAZOKULA DAILY FOR LIFE, KUISINGIZI POMBE NI UPOTOFU ULIOKITHIRI.

POMBE LABDA INASHIKA NAFASI YA SITA HUKO NA KUENDELEA ILA dali kimoko ndo ntiti📌
 
Umemjibu vizuri sana mkuu.
Mimi sinywi pombe na waka siyo mtu wa starehe,
lakini nimepata tatizo la kiafya ambalo siyo la kuambukizwa na wala halina tiba.
Kwahiyo kama uwezo wa kufanya starehe unao, kula bata tu, maisha yenyewe mafupi haya.
Umepatwa shida gani hiyo?
 
Ni kweli, narudi kwetu hakuna mambo ya kulima Wala kulewa pombe na wajasiriamwili.
Screenshot_20250124_153958_Gallery.jpg
 
Mimi kama nikimtaka malaya ataje bei tu kama ni one night au muda mfupi.

Akitaka pombe namwambia ntapunguza kiasi kwenye hela yako ulotaja.
 
S'tumii glass, tarumbeta kama kawa.. Siwapi nafasi ya kuniwekea madawa..R.I.P Langa Kileo

Anyway, nasubiri kwa hamu mada inayofuata mkuu
 
Back
Top Bottom