Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nope, siko interested nao tu. Japo wengine tuna ishi nao.Tatzo Liko wapi, unaogopa kubargain Bei?
Kweli wee mgegedajiHamna raha Kama kumtoumber Malaya mwenye pombe kichwani, zinawafanya wanajua natural zaidi
Do inaonekana mzoefu kamanda
Riziki
Waliooa ndo wateja wakubwa Sana WA Malaya wanaojiuza, mi mwnyw mmojawapoHuwezi amini sijawahi kuopoa mrupo ! Na siwazi kama itatokea ninunue manzià 🤣 maana kwa kweli access ya kupata utelezi ni rahisi sana kwangu kwa sababu nimeoa ni logic tu mtu unatumia sasa mtu kashweka wazi ni biashara yaan tena mimi ndo nihangaike kumshawishi aniuzie 🤣
Halafu akija kufanya hii kazi yake ya umalaya bado mtoa mada anataka tumbembeleze ili atuuzie huduma. HaikubalikiKaona uvivu kulima 😂😂
nakubaliana na hilo kabis🤣🤣🤣Waliooa ndo wateja wakubwa Sana WA Malaya wanaojiuza, mi mwnyw mmojawapo
Nenda Juliana, K/Cheupe, Kidimbwi, Tips, Samaki, Kuku, Bambalaga, Rainbow, Kokoriko, Mbeya Pazuri, Oxygen nk walevi waliopo humo na wanaoshinda huko ni vijana tena GenZ majority. Hakuna watu walevi kama hawa vijana wa siku hizi, wakitoboa 50 wababe na wanakunywa midude migumu sijui jaga nini sijui nk. Milennials wengi wanawaiga baba zao wanakunywa kwa afya tuSafari tutatu kwa wiki wanaenda kulala, hawa madogo wanachangia pakubwa sana pato kupitia ulevinachpenda ni kwamba kwa Tanzania ile generation cha pombe ndo inaelekea uzeen kizazi cha walevi ni millennials wa 1989 rudi nyuma
vijana wa 1990+ wengi wapo smart no pombe no ulevi
Wakati kwenye kilimo hakuna mbembelezaji na serikali haitoi ruzuku!!Halafu akija kufanya hii kazi yake ya umalaya bado mtoa mada anataka tumbembeleze ili atuuzie huduma. Haikubaliki
Pole mkuuUmemjibu vizuri sana mkuu.
Mimi sinywi pombe na waka siyo mtu wa starehe,
lakini nimepata tatizo la kiafya ambalo siyo la kuambukizwa na wala halina tiba.
Kwahiyo kama uwezo wa kufanya starehe unao, kula bata tu, maisha yenyewe mafupi haya.
Mbona madaktari ndio watumiaji wakubwa wa mpimo unajua mpimo wwunywaji wa pombe sio mzuri nendeni muhimbili kitengo cha figo na moyo muone vijana wenye nguvu wanayoaga dunia kisa ulevi
Vijana wanabwia mataputapu na visunguraNenda Juliana, K/Cheupe, Kidimbwi, Tips, Samaki, Kuku, Bambalaga, Rainbow, Kokoriko, Mbeya Pazuri, Oxygen nk walevi waliopo humo na wanaoshinda huko ni vijana tena GenZ majority. Hakuna watu walevi kama hawa vijana wa siku hizi, wakitoboa 50 wababe na wanakunywa midude migumu sijui jaga nini sijui nk. Milennials wengi wanawaiga baba zao wanakunywa kwa afya tuSafari tutatu kwa wiki wanaenda kulala, hawa madogo wanachangia pakubwa sana pato kupitia ulevi
Ama nene?Kwanini usinywe na washkaji kuepuka haya yote?
Ndio maana mimi huwa nasema watu wengi bar ni malaya na si walevi. Malaya wa kiume na kike.
Walevi hawahitaji kuzungukwa na wanawake ili kuenjoy pombe. Kama ilivyo kwa baadhi ya wanawake kwenda bar sio lazima wanaaume wawe around (kwenye hili kundi ndio wanapatikana walevi wa kweli na wapenda muziki )