Mambo ya kuzingatia unapokunywa pombe na Malaya mwaka 2025

Mambo ya kuzingatia unapokunywa pombe na Malaya mwaka 2025

Jambo ni moja , aseme bei mkazagamuane ! Kama anatoza kwa idadi ya mabao sawa ! Kama anatoza kwa muda mfano one night stand aseme price yake !!

Hii naona ya kuanza kunywa pamoja , sijui mcheze mziki naona ni upotevu wa muda halafu ni kumfurahisha yeye ! Yaan ni kama niende mgahawani kula nikifika tu nianze kufuta meza nitakayolia chakula , kama kuna vyombo alibakisha mteja nivitoe ! Nimsaidie mama ntilie kuweka maji ya kunywa kwenye jagi , kama sabuni ya kunawia imeisha nimsaidie kufata 🤣🤣

Nadhani maana ya biashara ieleweke tusitie huruma yeye kaona uvivu kulima au kutengeneza juice kama wengine kaingia biashara hiyo ! We kula sema unayotaka kufanyiwa uenjoy lipa hela za watu tembea ! Kama utataka kumpa tip ni wewe !!
Kaona uvivu kulima 😂😂
 
Maisha yangekuwa mazuri sana kama kusinge kuwa na ngono!
Hii kitu imeharibu sana mantiki ya maisha,ni vile hamna njia nyingine ya uzazi ila nakchukia sana toka ndani ya moyo wangu.
Imagine mwanamke ambae ni dada mama bibi shangazi anaitwa malaya na anaonekana ni zaidi ya mtu mbaya kuliko hata ubaya wenyewe kisa ngono!
You are a true son of your father, a philosopher indeed!
 
Jambo ni moja , aseme bei mkazagamuane ! Kama anatoza kwa idadi ya mabao sawa ! Kama anatoza kwa muda mfano one night stand aseme price yake !!

Hii naona ya kuanza kunywa pamoja , sijui mcheze mziki naona ni upotevu wa muda halafu ni kumfurahisha yeye ! Yaan ni kama niende mgahawani kula nikifika tu nianze kufuta meza nitakayolia chakula , kama kuna vyombo alibakisha mteja nivitoe ! Nimsaidie mama ntilie kuweka maji ya kunywa kwenye jagi , kama sabuni ya kunawia imeisha nimsaidie kufata 🤣🤣

Nadhani maana ya biashara ieleweke tusitie huruma yeye kaona uvivu kulima au kutengeneza juice kama wengine kaingia biashara hiyo ! We kula sema unayotaka kufanyiwa uenjoy lipa hela za watu tembea ! Kama utataka kumpa tip ni wewe !!
Do inaonekana mzoefu kamanda
Riziki
 
Kuna dogo mmoja alivuna kibunda huku ugenini akajitupia bar flan kubwa tu
Kumbe kuna malaya alikuw anamsoma kila akienda basi siku hiyo dogo alinasa
Yule malaya alimfuata dogo kwenye meza yake wakawa wanapiga vitu bahati nzuri yule malaya alikuw anajiagizia vinywaji mwenyew na dogo ana agiza vyake
Yule dada akamuaga dogo anaenda msalani akaacha mkoba wake na simu janja yake mezani pale dogo kumbe anategwa yule malaya alifanya kama mara mbili hivi akatoka kwa mara ya mwisho kwenda kuongea na simu halafu mkoba na kinywaji chake ameacha mezani
Ilafika zamu ya dogo kwenda msalani akamuachia wallet na kiswaswadu mezani aliporudi 🤣 yule malaya hayupo na vitu pale mezani havipo
Dogo tafuta bar nzima wapi demu alishatembea mapema sana tulibaki kucheka tu bahati nzuri yule dogo alilipia mapema vinywaji alivyokunywa mwanzo
Walet ilikuw na elfu 20 tu
Kudadeki, Malaya wengi wezi, hasa unaowakuta bar wamekaa hawana mishe
 
Back
Top Bottom