Mambo ya kuzingatia unaponunua tairi za gari

Mambo ya kuzingatia unaponunua tairi za gari

Mkuu Goodrich,
Soon nita-conclude huyu mwenzetu amesha kengeuka. Na sifa ya mtu aliyekengeuka ni kuwa mmbishi na hakutaka kukubali kufikia kwenye muafaka. Anarudia maswali yale yale niliyokwisha mtolea ufafanuzi.

La muhimu umetimiza vyema wajibu wako wa kushare what you know.
Knowledge is sharing !
 
Last edited by a moderator:
usisahau kuangalia pia zile tarakimu nne zinazoonyesha wiki na mwaka tyre ilipotengenezwa, inasaidia kujua tarehe ya hiyo ku expire. mara nyingi tyre nyingi baada ya miaka mitatu zinapoteza ubora wa rubber yake.
tarakimu zinakuwa mfano 4109, yani wiki ya 41 ya mwaka 2009, hivyo tarakimu mbili za mwanzo ni wiki ya mwaka na mbili za mwisho ni mwaka wenyewe.
 
usisahau kuangalia pia zile tarakimu nne zinazoonyesha wiki na mwaka tyre ilipotengenezwa, inasaidia kujua tarehe ya hiyo ku expire. mara nyingi tyre nyingi baada ya miaka mitatu zinapoteza ubora wa rubber yake.
tarakimu zinakuwa mfano 4109, yani wiki ya 41 ya mwaka 2009, hivyo tarakimu mbili za mwanzo ni wiki ya mwaka na mbili za mwisho ni mwaka wenyewe.

Good contribution !
 
usisahau kuangalia pia zile tarakimu nne zinazoonyesha wiki na mwaka tyre ilipotengenezwa, inasaidia kujua tarehe ya hiyo ku expire. mara nyingi tyre nyingi baada ya miaka mitatu zinapoteza ubora wa rubber yake.
tarakimu zinakuwa mfano 4109, yani wiki ya 41 ya mwaka 2009, hivyo tarakimu mbili za mwanzo ni wiki ya mwaka na mbili za mwisho ni mwaka wenyewe.

Bila kusahau kilometers baada ya kuanza kulitumia, hii inafuta miaka ya kuishi kwake ikiwa dukani tu, tairi nyingi hazizidi 7000kms
 
Bila kusahau kilometers baada ya kuanza kulitumia, hii inafuta miaka ya kuishi kwake ikiwa dukani tu, tairi nyingi hazizidi 7000kms

mdau, izo km nahisi umeteleza
 
Ni muhimu kuzingatia vipimo unaponunua tairi za gari yako for a safe and comfortable drive.

Tairi zikitofautiana even a single dimension ni tatizo.

Tairi mbili za mbele na tairi mbili za nyuma au tairi zote lazima zilingane vipimo.

Namna ya kuangalia vipimo vya tairi :

Mfano tairi imeandikwa 205/70R14 au P 205/70R14 maana yake;

P = Passenger ie gari binafsi au ya abiria
205 = Upana wa tairi ni 205mm
70 = Urefu wa tairi ( kutoka ardhini hadi inapoanza rim) ni 70% ya Upana.
R = Muundo wa tairi ni Radial
14 = Diameter ya rim ni 14 inch.

Vipimo vinakuwa kwa mfumo kama ilivyo katika mfano huo hapo juu na vinaandikwa pembeni kwenye tairi.

Angalia mfano wa picha hapo chini.
Tire-sizing.gif


Pia waweza tembelea
How To Read Your Tire

naomba nifafanulie hapa....samahani lakini....sijaelewa....
 
Mkuu,
Mbona majibu mazuri yameshatolewa khs swali lako.
Gia nyinginezo ambazo ni nzito zinatumika kuisaidia brake kwenye miteremko mikali.
Thats it.
Lakini pia ni kufanya mwendo uwe mzito kwenye barabara yenye mashimo, tuta, nk
 
Back
Top Bottom