Goodrich
JF-Expert Member
- Jan 29, 2012
- 2,091
- 1,178
- Thread starter
- #81
Mkuu Goodrich,
Soon nita-conclude huyu mwenzetu amesha kengeuka. Na sifa ya mtu aliyekengeuka ni kuwa mmbishi na hakutaka kukubali kufikia kwenye muafaka. Anarudia maswali yale yale niliyokwisha mtolea ufafanuzi.
La muhimu umetimiza vyema wajibu wako wa kushare what you know.
Knowledge is sharing !
Last edited by a moderator: