Mkuu Goodrich,
Soon nita-conclude huyu mwenzetu amesha kengeuka. Na sifa ya mtu aliyekengeuka ni kuwa mmbishi na hakutaka kukubali kufikia kwenye muafaka. Anarudia maswali yale yale niliyokwisha mtolea ufafanuzi.
La muhimu umetimiza vyema wajibu wako wa kushare what you know.
Knowledge is sharing !
Kwenye used tunazingatia unene wa kashata
usisahau kuangalia pia zile tarakimu nne zinazoonyesha wiki na mwaka tyre ilipotengenezwa, inasaidia kujua tarehe ya hiyo ku expire. mara nyingi tyre nyingi baada ya miaka mitatu zinapoteza ubora wa rubber yake.
tarakimu zinakuwa mfano 4109, yani wiki ya 41 ya mwaka 2009, hivyo tarakimu mbili za mwanzo ni wiki ya mwaka na mbili za mwisho ni mwaka wenyewe.
usisahau kuangalia pia zile tarakimu nne zinazoonyesha wiki na mwaka tyre ilipotengenezwa, inasaidia kujua tarehe ya hiyo ku expire. mara nyingi tyre nyingi baada ya miaka mitatu zinapoteza ubora wa rubber yake.
tarakimu zinakuwa mfano 4109, yani wiki ya 41 ya mwaka 2009, hivyo tarakimu mbili za mwanzo ni wiki ya mwaka na mbili za mwisho ni mwaka wenyewe.
Kwenye used tunazingatia unene wa kashata
Bila kusahau kilometers baada ya kuanza kulitumia, hii inafuta miaka ya kuishi kwake ikiwa dukani tu, tairi nyingi hazizidi 7000kms
Bila kusahau kilometers baada ya kuanza kulitumia, hii inafuta miaka ya kuishi kwake ikiwa dukani tu, tairi nyingi hazizidi 7000kms
mdau, izo km nahisi umeteleza
kasome vizuri OVERDRIVE NI NINI......nina gari automatic ina gear sita na hakuna OVERDRIVE....
BMW 6 Series Convertible : Six-speed sports automatic transmission Steptronic
Itakuwa scania mkuu
Ni muhimu kuzingatia vipimo unaponunua tairi za gari yako for a safe and comfortable drive.
Tairi zikitofautiana even a single dimension ni tatizo.
Tairi mbili za mbele na tairi mbili za nyuma au tairi zote lazima zilingane vipimo.
Namna ya kuangalia vipimo vya tairi :
Mfano tairi imeandikwa 205/70R14 au P 205/70R14 maana yake;
P = Passenger ie gari binafsi au ya abiria
205 = Upana wa tairi ni 205mm
70 = Urefu wa tairi ( kutoka ardhini hadi inapoanza rim) ni 70% ya Upana.
R = Muundo wa tairi ni Radial
14 = Diameter ya rim ni 14 inch.
Vipimo vinakuwa kwa mfumo kama ilivyo katika mfano huo hapo juu na vinaandikwa pembeni kwenye tairi.
Angalia mfano wa picha hapo chini.
Pia waweza tembelea
How To Read Your Tire
Nimeangalia sijaona expiry date kwenye tairi za gari yangu